Naona utaratibu unazidi kubadirika.
Kuanzia tar 20 Jan, 2025 unavoagiza gari kutoka nje ya Tanzania, lazima utume na TIN number, sio kama zamani ulikua unaitumia wakati wa kutoa gari.
View attachment 3210407
Admin kutoka Mapato TRA Tanzania njoo ufafanue.
Ok. NimekupataHii wameweka ili kujua mfanyabsiahara wa magari na mnunuzi wa gari binafsi, kwa ajiri ya kukamua Kodi. Wakishaona TIN inaingiza sana magari wanajua huyu ni biashara, so wanaenda kumkaba Kodi..
Kama ni Hivyo inaweza kusaidia Kwa wanaoagiza za matumizi binafsi kupunguziwa Kodi ambazo si rafiki Kwa sasaHii wameweka ili kujua mfanyabsiahara wa magari na mnunuzi wa gari binafsi, kwa ajiri ya kukamua Kodi. Wakishaona TIN inaingiza sana magari wanajua huyu ni biashara, so wanaenda kumkaba Kodi..
Sababu ya hii ni niniWatu watanunua magari used ya kitanzania, magari ya mkononi yatakuwa dili. Na yenyewe inasemekana tra wanayalia timing
Pesa ya kampeni inatafutwaSababu ya hii ni nini
TIN inatafuta vipi pesa ya KampeniPesa ya kampeni inatafutwa
TRA ni wezi wa hatari sana ,kuna kitu niliagiza nje kidogo sana ,kinauzwa Tsh 1500 ,kilivyokuja Bongo ofisi ya Posta kikakatwa Tsh 3000 yaani kodi ni mara mbili ya bei ya kununulia..Pesa ya kampeni inatafutwa
Hawa jamaa ni kiboko Land Cruiser 70 model zipo zinasoma kodi 79m na pick up single cabin za 2014 wanataka zaidi ya 40m wanapata faida kuliko watengenezaji wa hizo gari..TRA ni wezi wa hatari sana ,kuna kitu niliagiza nje kidogo sana ,kinauzwa Tsh 1500 ,kilivyokuja Bongo ofisi ya Posta kikakatwa Tsh 3000 yaani kodi ni mara mbili ya bei ya kununulia..
Hawa jamaa ni kiboko Land Cruiser 70 model zipo zinasoma kodi 79m na pick up single cabin za 2014 wanataka zaidi ya 40m wanapata faida kuliko watengenezaji wa hizo gari..
Tanzania ni tatizo kubwa sana, complications za Kodi ni nyingi sana kupita kiasi.Naona utaratibu unazidi kubadirika.
Kuanzia tar 20 Jan, 2025 unavoagiza gari kutoka nje ya Tanzania, lazima utume na TIN number, sio kama zamani ulikua unaitumia wakati wa kutoa gari.
View attachment 3210407
Admin kutoka Mapato TRA Tanzania njoo ufafanue.
Kodi nyingi na ni kubwa kubwa, matumizi ndipo majuto !Tanzania ni tatizo kubwa sana, complications za Kodi ni nyingi sana kupita kiasi.