TRA wana jambo lao, Sio kwa watu maarufu tu, ndugu yangu alieanza biashara 2015 kwa mara ya kwanza kapigwa faini nzito ya kukwepa kodi,

Unaongea vitu vipo out of context kuhusu vat na inaonekana wazi hujui hata vat inavyofanya kazi.

Hata mfuko wa cement uuzwe elf 50, kama mtu kanunua kwa risiti ya tra yenye vat na akaenda kuuza kwa kutoa risiti ya tra yenye vat atapata faida + kukomboa vat aliyolipia..

Nilichoona ni kwamba suala zima la vat bado huna elimu ya kutosha.

Halafu kuwa na akili hata kidogo basi, kwa akili yako umeona makampuni makubwa kama ya soda ndio yakwepe vat!! Haupo serious kuwafananisha cocacola / pepsi na wafanyabiashara ambao hawana hata wahasibu.
 
Kuna muda hata wateja wenyewe hawataki risiti kwa madai ya kwamba kodi zao zatumika vibaya
 
Ujio wa TRA kuwepo Benki umekaribia .mtafurahi na rohoo zenu.
sasa wauza madawa,matapeli,mnaouziana magari,nyumba na n.k wekeni pesa zenu ndani [emoji1787].
Wakiendelea na mchezo wa kugusa account za watu bank itakuwa ni sawa na kugusa papasi za konokono.

Haraka sana wenye pesa zao watazihamishia wanakojua, jambo ambalo litakuwa ni hatari sana kwa uchumi wa nchi. Rejea tozo kwenye miamala si simu.
 
Afu kibaya zaidi kuna watu kibao wanakula hela za umma lakini mpaka sasa hatujasikia aliewajibishwa,hakika huwez pata nguvu za kulipa kodi
 
Hawajui ABC za biashara wengi ni waajiriwa
 
Wafanyabiashara wengi wanakwepa kodi huo ndiyo ukweli...Hata Dainamo yumo kwenye huo mkumbo.
 
Ujio wa TRA kuwepo Benki umekaribia .mtafurahi na rohoo zenu.
sasa wauza madawa,matapeli,mnaouziana magari,nyumba na n.k wekeni pesa zenu ndani [emoji1787].
hapo pagumu hatari maana wengine tunauza mpaka gari 3 kwa siku na hatulipi sh 10 sku wakifukunyua na kukuta zipo m kadhaa bank wanapita nazo zote kama upepo ukipambana wanakula kodi 20% na fine juu nchi ngumu hii[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
hapo pagumu hatari maana wengine tunauza mpaka gari 3 kwa siku na hatulipi sh 10 sku wakifukunyua na kukuta zipo m kadhaa bank wanapita nazo zote kama upepo ukipambana wanakula kodi 20% na fine juu nchi ngumu hii[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Kimsingi kila malipo yanatakiwa yalipiwe na kodi, huo ndio ukweli lazima tuwe na utamaduni wa kulipa kodi wenyewe sio hadi mkimbizane na TRA hapana sema watanzania ni wakwepa kodi in nature bila kufahamu ile kodi ndio maendeleo ya nchi yetu
 
Ujio wa TRA kuwepo Benki umekaribia .mtafurahi na rohoo zenu.
sasa wauza madawa,matapeli,mnaouziana magari,nyumba na n.k wekeni pesa zenu ndani [emoji1787].
Kibaka akikuvamia utalia na polisi ambao kodi yako ingesaidia kuboresha utendaji kazi wao (vitendea kazi)

Nyumba ikiungua utalia na zimamoto ambao umewazurumu kwa kukwepa kulipa kodi ambayo ingesaidia sana ktk kuokoa nyumba, uhai, mali na pesa zako huko ndani
 
Kimsingi kila malipo yanatakiwa yalipiwe na kodi, huo ndio ukweli lazima tuwe na utamaduni wa kulipa kodi wenyewe sio hadi mkimbizane na TRA hapana sema watanzania ni wakwepa kodi in nature bila kufahamu ile kodi ndio maendeleo ya nchi yetu
kwaiyo nikiuza gari yangu natakiwa kulipa kodi?
 
ILA WATANZANIA JAMANII KWA NINI TUNA HULKA YA KUKWEPA KODI SANA,!! HATA KAMA CHANZO NI MATUMIZI MABAYA YA SERIKALI ILA TUMEZIDI BANA.
Usipokwepa kodi faida unatoa wp ww!!??
ulishawahi kufanya biashara ww!!??
 
Kimsingi kila malipo yanatakiwa yalipiwe na kodi, huo ndio ukweli lazima tuwe na utamaduni wa kulipa kodi wenyewe sio hadi mkimbizane na TRA hapana sema watanzania ni wakwepa kodi in nature bila kufahamu ile kodi ndio maendeleo ya nchi yetu
Unaijua viete,unaijua viete wewe ?
Mtu anajigamba kwa dharau wakati hiyo v8 kodi yangu imetumika kuinunua.
Utapata wapi moyo wa kulipa Kodi kikamilifu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…