NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
- Thread starter
- #41
Unaongea vitu vipo out of context kuhusu vat na inaonekana wazi hujui hata vat inavyofanya kazi.Mkuu,
Achana na uchumi wa makaratasi,
Twende kwenye vitu vyenye uhalisia.
Ndo maana nmekuuliza hivi unajua
1. cement mfuko mmoja unauzwaje nawe unapaswa ukauzeje?
2. Soda/bia kreti moja Inauzwa sh. Ngapi na Ina faida sh ngapi?
3. Sukari kiroba kimoja kinauzwa sh. Ngap,unatakiwa kuuza sh. Ngap na faida itakua Kias gani.
4. Mchele kiroba kimoja kg100 kinanunuliwa sh ngapi, unatakiwa kuuza sh ngapi na faida Kia's gani?
Hivi unadhan wafanyabiashara wakiamua kuuza kwa kutaka faida unazosema wewe kwenye makaratasi, unadhan Kuna mwananchi atalimika uko mtaani?
Au Ndo mtakuja mitandaoni kulalamika makali ya maisha, serikali itangaze Bei elekezi na iweke taski force kukamata na kuonea wafanyabiashara.
Hata mfuko wa cement uuzwe elf 50, kama mtu kanunua kwa risiti ya tra yenye vat na akaenda kuuza kwa kutoa risiti ya tra yenye vat atapata faida + kukomboa vat aliyolipia..
Nilichoona ni kwamba suala zima la vat bado huna elimu ya kutosha.
Halafu kuwa na akili hata kidogo basi, kwa akili yako umeona makampuni makubwa kama ya soda ndio yakwepe vat!! Haupo serious kuwafananisha cocacola / pepsi na wafanyabiashara ambao hawana hata wahasibu.