masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
- Thread starter
- #21
Hakiyanani dah sijaamini nilichokishuhudia leo eeePole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakiyanani dah sijaamini nilichokishuhudia leo eeePole sana
Titi nikikueleza kilichojiri nafikiri ungeshika tama...Idadi ya migambo wakati wa kukusanya kodi siyo kigezo cha uhalali wa ulipaji au ukwepaji kodi.
Wakija migambo 1000 kama umelipa kila unasho paswa kulipa hautaona shida yoyote ya uwingi wa migambo.
Suala la msingi la kujadili ni makadirio ya kodi yanakuwa na uhalisia au yana umiza tu wafanyabiashra?
Suala la pili kodi ikikusanywa inatumikaje?
Tulipe kodi tusitafute huruma za wananchi tunaposhindwa kutimiza wajibu wetu kama walipa kodi.
Aisee hawa watu ni laaana.Acha waupige mwingi na chief au daktari maana mwendazake yeye pekee na TRA yake walikuwa makatili siyo friendly kwa wafanya bia na shara.
Ile hotuba flani amazing ya kuwa kuna na kuwapulizia mgongoni wafanya bia na shara walipe kodi kwa matakwa yao bila shuruti au kuharakaishwa tunao ona mbali tulijua ni furahisha genge kutafuta umaarufu (popularity) uhalisia hakuna mtu au mfanya bia na shara anapenda kulipa kodi /ushuru/tozo kwa hiyari akiwa na furaha.
Muda ndiyo jibu mtaelewa tu mwamba JIWE alikuwa sahihi na mzalendo hasa.
Hivi nani anapenda kodi ikusanywe kikatili kisha waitumbue mafisadi watu wachache huku hakuna maji, umeme, bei za mafuta na vyakula juu?
AU ikusanywe kibabe lakini irudi kuwajengea wananchi wote barabara, miundombinu ya umeme, masoko, miundombinu ya maji na huduma za faya na elimu kwa wote?
Demokrasia ni illusion kwa ajili ya delusional people kwa manufaa ya wanaojidai ni watetezi wa demokrasia.