Acha waupige mwingi na chief au daktari maana mwendazake yeye pekee na TRA yake walikuwa makatili siyo friendly kwa wafanya bia na shara.
Ile hotuba flani amazing ya kuwa kuna na kuwapulizia mgongoni wafanya bia na shara walipe kodi kwa matakwa yao bila shuruti au kuharakaishwa tunao ona mbali tulijua ni furahisha genge kutafuta umaarufu (popularity) uhalisia hakuna mtu au mfanya bia na shara anapenda kulipa kodi /ushuru/tozo kwa hiyari akiwa na furaha.
Muda ndiyo jibu mtaelewa tu mwamba JIWE alikuwa sahihi na mzalendo hasa.
Hivi nani anapenda kodi ikusanywe kikatili kisha waitumbue mafisadi watu wachache huku hakuna maji, umeme, bei za mafuta na vyakula juu?
AU ikusanywe kibabe lakini irudi kuwajengea wananchi wote barabara, miundombinu ya umeme, masoko, miundombinu ya maji na huduma za faya na elimu kwa wote?
Demokrasia ni illusion kwa ajili ya delusional people kwa manufaa ya wanaojidai ni watetezi wa demokrasia.