TRA wanatumia migambo kama 10 kwenye kafrem kadogo

Titi nikikueleza kilichojiri nafikiri ungeshika tama...
Kwa kweli ndo nimemalizana nao jion hii ila uwii bora ukutane na panya road sio tra
 
Aisee hawa watu ni laaana.
Yaaani hawataki hata kukuelewesha wala kukusikiliza kwa chocote.
Nafanya biashara manispaa siwez acha kulipa leseni...huo udambwi mwingine wa mashine na makadirio na ujinga mwingi jamani..hilusikilizwiiii hata kidogo ni msobe msobe mpaka sero lao hapo temeke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…