Ndicho anachotaka TRA wawe wanazurura mitaani kutafuta Nani anapangosha chumba kina umeme au hakina ? Cha uani au Cha ndani?
Wanapewaga nauli elf20 or 30k ujue..!Nauli ya kuzunguka kukutafutia nyumba nzuri dalali huwa unamlipa wewe?
Kutumia dalali hujalazimishwa katafute mwenyewe basi hujazuiwa pita kila nyumba gonga hodi uliza Kama wanapangisha Kama unaona kazi ya dalali haina maana
Si kila dalali hupewa kazi ya kutafuta mpangaji na mwenye nyumba .Yeye aweza tu kukutafutia ukampa chake Kodi yote ukamalizana na mwenye nyumba yeye hapati hata Mia toka kwa mwenye nyumba
Siku ukihamia mji mgeni na wewe humjui mtu Ndipo utakapojua umuhimu wa dalali iwe utatafuta nyumba ya kupanga ,fremu au kiwanja
Hata akipata pesa kote kote shida iko wapi so ndio kujiajiri kwenyewe? Inaposemwa watu wajiajiri maana yake Nini?
Nauli ya kuzunguka kukutafutia nyumba nzuri dalali huwa unamlipa wewe?
Kutumia dalali hujalazimishwa katafute mwenyewe basi hujazuiwa pita kila nyumba gonga hodi uliza Kama wanapangisha Kama unaona kazi ya dalali haina maana
Si kila dalali hupewa kazi ya kutafuta mpangaji na mwenye nyumba .Yeye aweza tu kukutafutia ukampa chake Kodi yote ukamalizana na mwenye nyumba yeye hapati hata Mia toka kwa mwenye nyumba
Siku ukihamia mji mgeni na wewe humjui mtu Ndipo utakapojua umuhimu wa dalali iwe utatafuta nyumba ya kupanga ,fremu au kiwanja
Hata akipata pesa kote kote shida iko wapi so ndio kujiajiri kwenyewe? Inaposemwa watu wajiajiri maana yake Nini?
Mtumishi wa umma mwenye mshahara wa shilingi 300,000 kwa mwezi, analipa kodi, halafu dalali anaepangisha na kulipwa kodi ya mwezi(shilingi 300,000, 400,000 na kuendelea) halipi chochote na tunaona sawa tu.Inawezekana kabisa kukawa na kanzi data (database) ya nyumba zote zinazopangishwa zilizopo Tanzania then zikawepo kwenye website fulani ambapo picha za nyumba, vyumba, mazingira, mtaa nyumba ilipo na details zingine nyiingi zitaonekana peupeeeee. infact kama serikali ingekuwa makini inatakiwa namba ya mtu ya NIDA ikibofya ionyeshe detail nyingi za mtu huyo mwenye namba hiyo na nyumba majengo anayomiliki yakiwemo status yake kuhusu ulipaji wa kodi. Ni kweli ni kazi nzito kuwa na database ya aina hii but kidogokidogo serikali ikianza kwa mfano na wilaya let say ya Ilala, then ikaroll out project nzima kwa maeneo mengine kidogokidogo naamini inawezekana baada ya miaka michache TRA itakuwa imeongeza mapato (yatokanayo na kodi ya zuio kwenye kodi za majengo kwa kiasi kikubwa tu. Tatizo viongozi wa kiafrika huwaza kwanza 50% ya rushwa kwenye project kama hii toka kwa wakandarasi/wadhabuni atapata kiasi gani anaacha kuangalia manufaa ya vizazi na vizazi yatakoyotokana na utekelezaji wa project kama hii. Sasa hivi ile kodi ya zuio kwenye kodi na ushuru wa stemp wanalipia makampuni, NGOs na baadhi ya biashara maana hawa hawana namna inabidi wakomply maana watapigwa penalti wasipocomply na pia hubanwa na TRA (kuwa je ushuru wa stamp wa mkataba wa nyuma na kodi ya zuio kuhusu nyumba/ofisi waliyopanga vimelipwa?) pindi kwa mfano wanapotaka kupata huduma fulanifulani toka TRA. Nenda kwa wabunge wenye nyumba dodoma chunguza ni wangapi ambao wapangaji wao hawawakati kodi ya zuio na kuipeleka TRA utakuta ni wengi sana na wabunge si rahisi kuunga mkono hili maana itapunguza mapato yao yatokanayo na biashara zao za nyumba/majengo ya kupangisha. Wanasiasa wanafiki sana eti Lukuvi ansema alikuwa hajui kama madalali huchukua kodi ya mwezi mmoja!!!! na hapa ndipo Mange anapopataga umaarufu wa burebure maana anaoneka kawasemea watanzania
Tatizo Ni kwamba mfumo mzima was biashara ya upangishaji hapa bongo hauko rasmi.Sasa kama hela unajua ni ngumu, kati ya dalali na mpangaji, nani anastahili kutetewa?
Mtoa mada anaongea akidhani kujenga nyumba Ni rahisi Kama kuvaa boxa.Tafuta Hera Ujenge then Jipereke TRA , Kama unaona Kujenga Nyumba ni Kitu rahisi kihivyo.
Nenda kwingine kwani lazima iwe hapo? Ulijuaje kuwa hiyo nyumba inapangoshwa taarifa ulipata wapi?Acha ujuaji babu kuna hoja za msingi za jamaa hujajibu, yaani kwa kutumia gharama zangu mwenyewe nitafute nyumba, nimepata mwenye nyumba kasema anapangisha kwa mwezi laki2 na nusu kwa mwezi, ila kabla sijafunga naye mkataba analazimisha dalali wake awepo na nimlipe laki2 na nusu huyo dalali kwa kazi gani aliyofanya? Huu ndo upumbavu tunaukataa sie.
Asikuelewa Basi akapimweNauli ya kuzunguka kukutafutia nyumba nzuri dalali huwa unamlipa wewe?
Kutumia dalali hujalazimishwa katafute mwenyewe basi hujazuiwa pita kila nyumba gonga hodi uliza Kama wanapangisha Kama unaona kazi ya dalali haina maana
Si kila dalali hupewa kazi ya kutafuta mpangaji na mwenye nyumba .Yeye aweza tu kukutafutia ukampa chake Kodi yote ukamalizana na mwenye nyumba yeye hapati hata Mia toka kwa mwenye nyumba
Siku ukihamia mji mgeni na wewe humjui mtu Ndipo utakapojua umuhimu wa dalali iwe utatafuta nyumba ya kupanga ,fremu au kiwanja
Hata akipata pesa kote kote shida iko wapi so ndio kujiajiri kwenyewe? Inaposemwa watu wajiajiri maana yake Nini?
Kwani mpangaji anaokota hiyo hela?Mtoa mada anaongea akidhani kujenga nyumba Ni rahisi Kama kuvaa boxa.
Vuuup tayar ishakaa matakoni[emoji2]
Ni jambo la kawaida kabisaa kwa madalali wa mikocheni, masaki, upanga, kumkuta anapata dollar mpaka 2,000 kiulaini kabisaa kama kodi ya mwezi mmoja toka kwa mpangaji na wala halipi kodi popote.Mtumishi wa umma mwenye mshahara wa shilingi 300,000 kwa mwezi, analipa kodi, halafu dalali anaepangisha na kulipwa kodi ya mwezi(shilingi 300,000, 400,000 na kuendelea) halipi chochote na tunaona sawa tu.
Tanzania nchi ya ajabu sana!
Nishakwambia,Unadhani hatuna nyumba?
Hela upate mwenye nyumba, halafu dalali uliempa kazi alipwe na mpangaji?
Mnapolalamika serikali kuwatoza tozo/kodi mara mbili mbili, mjiulize mnachokifanya kina tofauti gani na kumtoza mwananchi gharama kubwa isio na uhalali?
Unaongelea habari ya vijijini wakati humu mijini tu kulikojaa majumba ya kupangisha wameshindwa kukusanya hiyo kodi licha ya kuwa na sheria inayowaruhusu kukusanya kodi?Wazo lako zuri ila hebu fikiria haya.
1.TRA hawako kila mahali, usiwaze mjini mjini tuu.
2.Dalali ni middleman kama agent wengine sema hajarasmishwa.
3.Hayo magari hayaendi bure, hiyo pesa unayomlipa dalali inaweza kuwa ndio hiyo hiyo au zaidi ukichanganua
4.Uswahilini chumba cha 15,000 cha giza unaiingiza TRA.
Yaboreshwe maisha ya wananchi kwanza then menginw yatakuja
Na serikali ipo na inaona sawa tu.Ni jambo la kawaida kabisaa kwa madalali wa mikocheni, masaki, upanga, kumkuta anapata dollar mpaka 2,000 kiulaini kabisaa kama kodi ya mwezi mmoja toka kwa mpangaji na wala halipi kodi popote.
Nishakwambia,Kwani mpangaji anaokota hiyo hela?
Hata kuuziwa vocha na makampuni ya simu ni huduma.Nishakwambia,
Kupangisha Nyumba kwa bongo hii Ni huduma na sio biashara.
Kwaiyo,
Hailipi Kama unavodhani.
Pale umepewa TU pango ujisitiri Kama mjusi.
Ndo maana pesa unayomlipa mwenye nyumba yako kiserikali inatambulika kama PESA YA PANGO.
Pango Ni sehemu TU ya kujisitiri kwa muda.
Mifumo ikiwekwa vizuri hata nyumba iliyopo nyayoni mwa Tanzania ikipangishwa, kodi TRA watalipwa tu nielewe nimesema mifumo ikiwekwa vizuri. Aisee kuna nchi wana msemo wao kuwa ukikanyaga ardhi ya nchi yao kuna vitu viwili hakika huwezi kwepa hata ufanyeje ni suala la muda tu vitu hivi vitakupata kwanza ni kifo pili ni kulipa kodi. Hivi kwa mfano wabunge watunge sheria kuwa mpangaji akikwepa kupeleka kodi ya zuio toka kwenye kodi aliyomlipa mwenye nyumba atapata kifungo cha miaka kadhaa jela au let say atalipa faini ambayo ni sawa na kodi ya hiyo nyumba aliyopanga ya miezi sita au mwaka we unafikiri nan kweupeee atakwepa kupeleka hiyo kodi ya zuio?Wazo lako zuri ila hebu fikiria haya.
1.TRA hawako kila mahali, usiwaze mjini mjini tuu.
2.Dalali ni middleman kama agent wengine sema hajarasmishwa.
3.Hayo magari hayaendi bure, hiyo pesa unayomlipa dalali inaweza kuwa ndio hiyo hiyo au zaidi ukichanganua
4.Uswahilini chumba cha 15,000 cha giza unaiingiza TRA.
Yaboreshwe maisha ya wananchi kwanza then menginw yatakuja
Makamouni ya simu yanafanya biashara yenye kupata faidaHata kuuziwa vocha na makampuni ya simu ni huduma.
Wapangaji wengi hawawezi kulipa kodi juu ya miezi mitatu. Wangepewa 10%. Mwenye nyumba 5% na mpangaji 5%.udalali ni ajira labda waweke regulation dhidi yao sio TRA kuchukua jukumu vijana wengi wamejiajiri huku acheni mawazo potofu ukilipa ya mwezi ni fresh kwani unalipa tena