Umefafanya generalization..kufanya execution wamesema ni kwenye dangerous assignments nani asiyejua kuna mahali ili mambo yaende lazima nguvu ya ziada itumike?
Hii haina tofauti na kwa daktari unapoambiwa utafuata miiko ila kuna nyakati lazima urudi kuangalia "ubinadamu" walio madaktari wamenielewa.
Mmoja katuwekea tozo juu ya tozo juu ya tozo kwenye pesa ambazo tumezipokea baada ya kodi.Tulinganishe mapato,matumizi na matokeo ya wale mliokuwa mnaua vs ambao hawaui..
Tuanzie hapa, Mwendazake aliingia 2015 mapato bil.850 kwa mwezi anatoka baada ya miaka 5 mapato ya TRA ni Til.1.35 , difference=bil.500
Samia Kwa mwaka mmja mapato kutoka 1.3 T hadi 1.8Til. Bila kuua wala.kupora., difference=Bil.500
Kwa hesabu hizo mmja kaleta tofauti ndani ya mwaka mmja na mwingine Kwa kiasi kile kile alitumia miaka 5..
Ajili kichwani sio mihemko [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kwani kuua hapo ni ajabu?Kwani nimeandikaje? Nimeandika TRA wa USA wanaruhusiwa kuua ikibidi kwenye kukusanya kodi ya Serikali, sasa kipi ni kigumu hapo kuelewa?
Ndio ulitaka akapore wafanyabiashara pesa? Ulitaka auzie maskini vitambulisho walivyoita vya ujasiriamali?Mmoja katuwekea tozo juu ya tozo juu ya tozo kwenye pesa ambazo tumezipokea baada ya kodi.
Demokrasia inaishia kwenye kodi ya Serikali hapo hakuna mchezo na ndiyo maana wanaruhusiwa kushoot na hata kuuwa linapokuja swala la kodi, β¦
Hakuna TRA Marekani,tafuta jina la Revenue Authority ya Marekani ndipo uandike.Tangazo la kazi IRS ya USA ambayo ndiye mkusanyaji kodi wa USA kama TRA kwetu, ukisoma majukumu na masharti ya mkusanyaji kodi kwamba awe tayari kutumia nguvu ikibidi kuua ili kukusanya kodi, tangazo la kazi hilo hapo chini. Nchi hazijengwi kilelemama na kwa kubembelezana!
View attachment 2322078
Tangazo la kazi IRS ya USA ambayo ndiye mkusanyaji kodi wa USA kama TRA kwetu, ukisoma majukumu na masharti ya mkusanyaji kodi kwamba awe tayari kutumia nguvu ikibidi kuua ili kukusanya kodi, tangazo la kazi hilo hapo chini. Nchi hazijengwi kilelemama na kwa kubembelezana!
View attachment 2322078
Kwa hiyo tukuamini wewe?Acha ujinga Samia hakusanyi hiyo hela! Nakwambia huyu bibi hana uwezo hui ni uongo wa hali ya juu! Usiamini sana data za huyu bibiyenu ni utaahira mtupu!
Kumjazia mnyonge matozo kila sehemu, kumsababishia gharama kubwa ya kuishi hadi mlo kwake kuonekana kitu cha anasa, hiyo ni kiwango cha juu cha mauaji ya halaiki na ukiukwaji wa haki za binadamu.Tulinganishe mapato,matumizi na matokeo ya wale mliokuwa mnaua vs ambao hawaui..
Tuanzie hapa, Mwendazake aliingia 2015 mapato bil.850 kwa mwezi anatoka baada ya miaka 5 mapato ya TRA ni Til.1.35 , difference=bil.500
Samia Kwa mwaka mmja mapato kutoka 1.3 T hadi 1.8Til. Bila kuua wala.kupora., difference=Bil.500
Kwa hesabu hizo mmja kaleta tofauti ndani ya mwaka mmja na mwingine Kwa kiasi kile kile alitumia miaka 5..
Ajili kichwani sio mihemko [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Juzi hapa kashindwa kulipa 23%. Ikabaki story tuSasa baba mwenye chuki zake hiyo figure imetoka wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mzee angekuwa hakusangi ajira angelipa kamasi zako? Sgr angelipa matapishi yako? Maelfu ya miradi ya maji yanayoendelea analipa uji?
Barabara je ,analipa mkojo wako? Tarehe 14 atashuhudia utiaji Saini wa mikataba ya miradi Zaid ya 1000 ya Tarura..
Umeona mabilioni ya ruzuku za kilimo,mafuta kote huko analipa mavi yako Mzee?
Ni hivi ameshawafunika kwa hiyo hapa unatapatapa tuu kujifariji.[emoji116]
Sasa ukimuua mlipa Kodi utapataje Kodi?Demokrasia inaishia kwenye kodi ya Serikali hapo hakuna mchezo na ndiyo maana wanaruhusiwa kushoot na hata kuuwa linapokuja swala la kodi, β¦
Bila kusahau kuwa ndani ya hiyo tr 1.8 kuna tozo hadi kero.Tulinganishe mapato,matumizi na matokeo ya wale mliokuwa mnaua vs ambao hawaui..
Tuanzie hapa, Mwendazake aliingia 2015 mapato bil.850 kwa mwezi anatoka baada ya miaka 5 mapato ya TRA ni Til.1.35 , difference=bil.500
Samia Kwa mwaka mmja mapato kutoka 1.3 T hadi 1.8Til. Bila kuua wala.kupora., difference=Bil.500
Kwa hesabu hizo mmja kaleta tofauti ndani ya mwaka mmja na mwingine Kwa kiasi kile kile alitumia miaka 5..
Ajili kichwani sio mihemko ππππ
"To use deadly force,if necessary"hii haimaniishi kuua,hii idara ni zaidi ya idsra ya mapato,hawa wanabeba siraha,TRA bongo sio polisi Wala hawana mafunzo ya kutumia siraha kama takes la kazi,Tangazo la kazi IRS ya USA ambayo ndiye mkusanyaji kodi wa USA kama TRA kwetu, ukisoma majukumu na masharti ya mkusanyaji kodi kwamba awe tayari kutumia nguvu ikibidi kuua ili kukusanya kodi, tangazo la kazi hilo hapo chini. Nchi hazijengwi kilelemama na kwa kubembelezana!
View attachment 2322078
Acha ujinga tofautisha idara ya mapato na vikosi vya kuzuia magendo,fedha haramu,Tangazo la kazi IRS ya USA ambayo ndiye mkusanyaji kodi wa USA kama TRA kwetu, ukisoma majukumu na masharti ya mkusanyaji kodi kwamba awe tayari kutumia nguvu ikibidi kuua ili kukusanya kodi, tangazo la kazi hilo hapo chini. Nchi hazijengwi kilelemama na kwa kubembelezana!
View attachment 2322078
Tangazo la kazi IRS ya USA ambayo ndiye mkusanyaji kodi wa USA kama TRA kwetu, ukisoma majukumu na masharti ya mkusanyaji kodi kwamba awe tayari kutumia nguvu ikibidi kuua ili kukusanya kodi, tangazo la kazi hilo hapo chini. Nchi hazijengwi kilelemama na kwa kubembelezana!
View attachment 2322078
Asante kwa kutujulisha wananchi,unatulitea data, kiutalaam,wewe utakuwa ni msomi wa hali ya juu.Sasa baba mwenye chuki zake hiyo figure imetoka wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mzee angekuwa hakusangi ajira angelipa kamasi zako? Sgr angelipa matapishi yako? Maelfu ya miradi ya maji yanayoendelea analipa uji?
Barabara je ,analipa mkojo wako? Tarehe 14 atashuhudia utiaji Saini wa mikataba ya miradi Zaid ya 1000 ya Tarura..
Umeona mabilioni ya ruzuku za kilimo,mafuta kote huko analipa mavi yako Mzee?
Ni hivi ameshawafunika kwa hiyo hapa unatapatapa tuu kujifariji.[emoji116]
Hizi hapa amelipa Baba yako? Au hujui kusoma? πJuzi hapa kashindwa kulipa 23%. Ikabaki story tu
Kwa uchumi wa Tanzania,,TRA INGEKUWA INAKUSANY TRILLION 30..WANJISIFIA KWA KUJIWEKEA TARGET KIDOGOTulinganishe mapato,matumizi na matokeo ya wale mliokuwa mnaua vs ambao hawaui..
Tuanzie hapa, Mwendazake aliingia 2015 mapato bil.850 kwa mwezi anatoka baada ya miaka 5 mapato ya TRA ni Til.1.35 , difference=bil.500
Samia Kwa mwaka mmja mapato kutoka 1.3 T hadi 1.8Til. Bila kuua wala.kupora., difference=Bil.500
Kwa hesabu hizo mmja kaleta tofauti ndani ya mwaka mmja na mwingine Kwa kiasi kile kile alitumia miaka 5..
Ajili kichwani sio mihemko ππππ
Mnyonge gani ambae anakuwa na account bank? Pili kwenye miamala ya simu tozo ni 42% tuu..Kumjazia mnyonge matozo kila sehemu, kumsababishia gharama kubwa ya kuishi hadi mlo kwake kuonekana kitu cha anasa, hiyo ni kiwango cha juu cha mauaji ya halaiki na ukiukwaji wa haki za binadamu.
Leo hii unapangiwa hadi kuumwa isizidi mara tatu ili utibiwe nhif, wakati huduma unalipia.