TRA ya USA waruhusiwa kuua ikibidi kukusanya kodi ya Serikali

TRA ya USA waruhusiwa kuua ikibidi kukusanya kodi ya Serikali

Umefafanya generalization..kufanya execution wamesema ni kwenye dangerous assignments nani asiyejua kuna mahali ili mambo yaende lazima nguvu ya ziada itumike?

Hii haina tofauti na kwa daktari unapoambiwa utafuata miiko ila kuna nyakati lazima urudi kuangalia "ubinadamu" walio madaktari wamenielewa.

Kwani nimeandikaje? Nimeandika TRA wa USA wanaruhusiwa kuua ikibidi kwenye kukusanya kodi ya Serikali, sasa kipi ni kigumu hapo kuelewa?
 
hapa Tanzania inafaa kutumia njia kama hiyo, maaana huku watukutu ni wengi sana, mabingwa wa kulalamika wanataka barabara nzuri, afya , maji lkn watata kulipa kodi.
 
Tulinganishe mapato,matumizi na matokeo ya wale mliokuwa mnaua vs ambao hawaui..

Tuanzie hapa, Mwendazake aliingia 2015 mapato bil.850 kwa mwezi anatoka baada ya miaka 5 mapato ya TRA ni Til.1.35 , difference=bil.500

Samia Kwa mwaka mmja mapato kutoka 1.3 T hadi 1.8Til. Bila kuua wala.kupora., difference=Bil.500

Kwa hesabu hizo mmja kaleta tofauti ndani ya mwaka mmja na mwingine Kwa kiasi kile kile alitumia miaka 5..

Ajili kichwani sio mihemko [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mmoja katuwekea tozo juu ya tozo juu ya tozo kwenye pesa ambazo tumezipokea baada ya kodi.
 
Kwani nimeandikaje? Nimeandika TRA wa USA wanaruhusiwa kuua ikibidi kwenye kukusanya kodi ya Serikali, sasa kipi ni kigumu hapo kuelewa?
Kwani kuua hapo ni ajabu?

Wauza madawa na majambazi watadeal nao vipi bila kuwapoteza?
 
Demokrasia inaishia kwenye kodi ya Serikali hapo hakuna mchezo na ndiyo maana wanaruhusiwa kushoot na hata kuuwa linapokuja swala la kodi, …

Lakini kodi zao hazichezewi kama hizi za kwetu
 
Tangazo la kazi IRS ya USA ambayo ndiye mkusanyaji kodi wa USA kama TRA kwetu, ukisoma majukumu na masharti ya mkusanyaji kodi kwamba awe tayari kutumia nguvu ikibidi kuua ili kukusanya kodi, tangazo la kazi hilo hapo chini. Nchi hazijengwi kilelemama na kwa kubembelezana!


View attachment 2322078
Hakuna TRA Marekani,tafuta jina la Revenue Authority ya Marekani ndipo uandike.
Huwa mnawahi kuandika posti bila kujipanga.
 
Tangazo la kazi IRS ya USA ambayo ndiye mkusanyaji kodi wa USA kama TRA kwetu, ukisoma majukumu na masharti ya mkusanyaji kodi kwamba awe tayari kutumia nguvu ikibidi kuua ili kukusanya kodi, tangazo la kazi hilo hapo chini. Nchi hazijengwi kilelemama na kwa kubembelezana!


View attachment 2322078

Leta link ya tangazo zima la hiyo kazi; acha kuleta vipande vipande hapa kwa nia ya kupotosha watu!

Unlike Tanzania (ambayo ina police force moja tu), Marekani ina police wa aina nyingi (decentralized law enforcement system). Kila agency ina law enforcement unit yake. Sasa sijui wewe unataka police wa IRS wasitekeleze majukumu ya kipolisi? Yaani wawe na duties zinazofanana na za tax audit personnel?
 
Tulinganishe mapato,matumizi na matokeo ya wale mliokuwa mnaua vs ambao hawaui..

Tuanzie hapa, Mwendazake aliingia 2015 mapato bil.850 kwa mwezi anatoka baada ya miaka 5 mapato ya TRA ni Til.1.35 , difference=bil.500

Samia Kwa mwaka mmja mapato kutoka 1.3 T hadi 1.8Til. Bila kuua wala.kupora., difference=Bil.500

Kwa hesabu hizo mmja kaleta tofauti ndani ya mwaka mmja na mwingine Kwa kiasi kile kile alitumia miaka 5..

Ajili kichwani sio mihemko [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kumjazia mnyonge matozo kila sehemu, kumsababishia gharama kubwa ya kuishi hadi mlo kwake kuonekana kitu cha anasa, hiyo ni kiwango cha juu cha mauaji ya halaiki na ukiukwaji wa haki za binadamu.

Leo hii unapangiwa hadi kuumwa isizidi mara tatu ili utibiwe nhif, wakati huduma unalipia.
 
Sasa baba mwenye chuki zake hiyo figure imetoka wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Mzee angekuwa hakusangi ajira angelipa kamasi zako? Sgr angelipa matapishi yako? Maelfu ya miradi ya maji yanayoendelea analipa uji?

Barabara je ,analipa mkojo wako? Tarehe 14 atashuhudia utiaji Saini wa mikataba ya miradi Zaid ya 1000 ya Tarura..

Umeona mabilioni ya ruzuku za kilimo,mafuta kote huko analipa mavi yako Mzee?

Ni hivi ameshawafunika kwa hiyo hapa unatapatapa tuu kujifariji.[emoji116]
Juzi hapa kashindwa kulipa 23%. Ikabaki story tu
 
Tulinganishe mapato,matumizi na matokeo ya wale mliokuwa mnaua vs ambao hawaui..

Tuanzie hapa, Mwendazake aliingia 2015 mapato bil.850 kwa mwezi anatoka baada ya miaka 5 mapato ya TRA ni Til.1.35 , difference=bil.500

Samia Kwa mwaka mmja mapato kutoka 1.3 T hadi 1.8Til. Bila kuua wala.kupora., difference=Bil.500

Kwa hesabu hizo mmja kaleta tofauti ndani ya mwaka mmja na mwingine Kwa kiasi kile kile alitumia miaka 5..

Ajili kichwani sio mihemko 😆😆😆😆
Bila kusahau kuwa ndani ya hiyo tr 1.8 kuna tozo hadi kero.
 
Tangazo la kazi IRS ya USA ambayo ndiye mkusanyaji kodi wa USA kama TRA kwetu, ukisoma majukumu na masharti ya mkusanyaji kodi kwamba awe tayari kutumia nguvu ikibidi kuua ili kukusanya kodi, tangazo la kazi hilo hapo chini. Nchi hazijengwi kilelemama na kwa kubembelezana!


View attachment 2322078
"To use deadly force,if necessary"hii haimaniishi kuua,hii idara ni zaidi ya idsra ya mapato,hawa wanabeba siraha,TRA bongo sio polisi Wala hawana mafunzo ya kutumia siraha kama takes la kazi,
Be willing to arrests,execution of warrants,Hili ni takwa kama la takukuru,sio TRA,
Hawa kazi yao sio kukusanya mapato,kazi yao ni kuzuia magendo,utakatishaji pesa,wanafanya kazi kama polisi,kwa hapa bongo ni Sawa na kikosi Cha KMKM,kikosi maalum Cha kuzuia magendo,kule Zenj,na kule Zenj idara ya mapato ni ZRB,ZRB hawabebi siraha,Wala hawaenendi kama idara ya polisi,ni civilian entity,kwenye majukumu yao huwa na polisi,lakini KMKM Hawa Wana vaaa combat Wana mafunzo ya kijeshi,Wana zuia magendo na pesa haramu,Sawa sawa na IRS,
IRS sio idsra ya mapato,kwa sababu ni law enforcement entity,Wana haki ya kubeba siraha,na kukamata kipolisi,Hawa ni Sawa na KMKM sio kama ZRB,Zanzibar revenue bureau,au TRA ya bara.
 
Tangazo la kazi IRS ya USA ambayo ndiye mkusanyaji kodi wa USA kama TRA kwetu, ukisoma majukumu na masharti ya mkusanyaji kodi kwamba awe tayari kutumia nguvu ikibidi kuua ili kukusanya kodi, tangazo la kazi hilo hapo chini. Nchi hazijengwi kilelemama na kwa kubembelezana!


View attachment 2322078
Acha ujinga tofautisha idara ya mapato na vikosi vya kuzuia magendo,fedha haramu,
Zenj Kuna KMKM na ZRB,KMKM huzuia fedha haramu na magendo Hawa Wana mafunzo ya kijeshi,huendesha operation zao kama polisi to law enforcement agency,ZRB ndio hukusanya mapato kama ilivyo TRA Bara.
Kutumia "deadly force",haimaanishi kill or murder,hii ni kutumia nguvu za ziada zenye kuweza kuleta madhara pale inapobidi ktk kuzuia magendo na fedha haramu kuingizwa kwenye uchumi.
"Execution"hapa imetumika kumaniisha kutekeleza,sio kuua,
 
Tangazo la kazi IRS ya USA ambayo ndiye mkusanyaji kodi wa USA kama TRA kwetu, ukisoma majukumu na masharti ya mkusanyaji kodi kwamba awe tayari kutumia nguvu ikibidi kuua ili kukusanya kodi, tangazo la kazi hilo hapo chini. Nchi hazijengwi kilelemama na kwa kubembelezana!


View attachment 2322078


Nchi inajengwa kiharamia??!!, kweli Wahenga walisema; "Usione utajiri wa mtu ukautamani kwani huwezijua undani wake".

Amerika licha ya kujidai kwamba inalinda haki na demokrasia za watu na Raia lakini wakati fulani inashindwa kufuata njia za kimahakama kuwahukumu watu wake bali inawakung'uta risasi Kwa ajili ya utajiri !!, utajiri unayo thamani kubwa kuliko utu!!!--- yawezekana ni katika muktadha huo huo ndivyo alivyofanyiwa George Floyd na ni katika muktadha huo huo Amerika wamekuwa wakivamia nchi mbalimbali na kuua raia kwa kisingizio cha kuleta Demokrasia kumbe ni kwa ajili kupora mali kwa njia ya; "kukusanya kodi/mapato popote hata ikibidi kuua", The USA is a satanic bloody hands rich country.
 
Sasa baba mwenye chuki zake hiyo figure imetoka wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Mzee angekuwa hakusangi ajira angelipa kamasi zako? Sgr angelipa matapishi yako? Maelfu ya miradi ya maji yanayoendelea analipa uji?

Barabara je ,analipa mkojo wako? Tarehe 14 atashuhudia utiaji Saini wa mikataba ya miradi Zaid ya 1000 ya Tarura..

Umeona mabilioni ya ruzuku za kilimo,mafuta kote huko analipa mavi yako Mzee?

Ni hivi ameshawafunika kwa hiyo hapa unatapatapa tuu kujifariji.[emoji116]
Asante kwa kutujulisha wananchi,unatulitea data, kiutalaam,wewe utakuwa ni msomi wa hali ya juu.
 

Attachments

  • 20220723_204139.jpg
    20220723_204139.jpg
    105.9 KB · Views: 3
Tulinganishe mapato,matumizi na matokeo ya wale mliokuwa mnaua vs ambao hawaui..

Tuanzie hapa, Mwendazake aliingia 2015 mapato bil.850 kwa mwezi anatoka baada ya miaka 5 mapato ya TRA ni Til.1.35 , difference=bil.500

Samia Kwa mwaka mmja mapato kutoka 1.3 T hadi 1.8Til. Bila kuua wala.kupora., difference=Bil.500

Kwa hesabu hizo mmja kaleta tofauti ndani ya mwaka mmja na mwingine Kwa kiasi kile kile alitumia miaka 5..

Ajili kichwani sio mihemko 😆😆😆😆
Kwa uchumi wa Tanzania,,TRA INGEKUWA INAKUSANY TRILLION 30..WANJISIFIA KWA KUJIWEKEA TARGET KIDOGO
 
Kumjazia mnyonge matozo kila sehemu, kumsababishia gharama kubwa ya kuishi hadi mlo kwake kuonekana kitu cha anasa, hiyo ni kiwango cha juu cha mauaji ya halaiki na ukiukwaji wa haki za binadamu.

Leo hii unapangiwa hadi kuumwa isizidi mara tatu ili utibiwe nhif, wakati huduma unalipia.
Mnyonge gani ambae anakuwa na account bank? Pili kwenye miamala ya simu tozo ni 42% tuu..

Jingine mapato ya mnyonge wako yameongezeka mara dufu kufuatia kuongeka Kwa bei ya Mazao ambayo mliharibu..

Kamuulize leo mnyonge WA kijijini kwamba anataka kipi Bei ya Mazao iwe mbaya au iwe juu atakujibu.

Kwenye kilimo Cha mnyonge kafuta tozo 52 na katoa ruzuku juu..Wewe si unajua kusoma haya niambie hapa chini pameandikwaje👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220812-133429.png
    Screenshot_20220812-133429.png
    237.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom