TRA yadaiwa kuvamia Waturuki na kufunga Ofisi jioni ya Leo (Desemba 14, 2020)

TRA yadaiwa kuvamia Waturuki na kufunga Ofisi jioni ya Leo (Desemba 14, 2020)

Na wasiporudi hao Waturuki itakuwaje?

READ! Taarifa inasema Waturuki wamekosa mkopo wa benki za ndani

Maana yake hawakuja na mtaji!

Ndio haya Marehemu Mengi alikuwa anayasema wakati ana bifu na Wahindi, walikuwa wanamwambia tumekuja na briefcase la makaratasi ya business plan za kutajirikia hapa hapa kwenu! Yani sisi ni vichwa panzi.

Magufuli fukuza hao Waturuki!

Thank God Almighty tumepata kichaa mzalendo Ikulu hapapatikii wazungu, hafagilii wageni!

ALHAMDULLILAH ALA KULLI HAAAL
HADHA MIN FADLI RABBI
Hata mimi hili la kusema eti " Waturuki walikuwa wanasubilia mkopo kutoka Benki za ndani" umenishangaza sana ina maana Waturuki wanakuja Tanzania
 
Pamoja na mapungufu ya TRA Ila wachangiaji wengi hapa wanakimbilia kuleta Siasa. Wewe kama mtanzania unaweza kwenda uturuki au nchi yoyote hata Kenya bila mtaji wa kutosha ukitegemea benki zao zikukopeshe na ukaachwa tu!?

Hao sio wawekezaji ni wababaishaji tu Ila Kama ilivyo kawaida wale wanaoipinga serikali ya awamu hii tayari wataleta story za CCM na CDM. Naona kuna mpumbavu ameshaanza kutamka Lissu, sijui anaingiaje.
mzee hizo si ndio fikra za ccm ujuwe huu ni mwaka wa 60 wa utawala wao hawana fikra nyengine Zaidi ya kunganganiya madaraka
 
Kodi zinariba Kama ilivyo mikopo ya chuo, hakuna tofauti Kati ya Kodi na mkopo afadhali mkopo wa bank una riba nafuu kuliko Kodi. Uwe umepata hasara au faida Kodi yao ipo pale pale
 
Waziri mpango fukuza wengine wale 22 hawatoshi wapo wengi mno waliojirundikia mali nyingi kwa njia za Rushwa
 
Pamoja na mapungufu ya TRA Ila wachangiaji wengi hapa wanakimbilia kuleta Siasa. Wewe kama mtanzania unaweza kwenda uturuki au nchi yoyote hata Kenya bila mtaji wa kutosha ukitegemea benki zao zikukopeshe na ukaachwa tu!?

Hao sio wawekezaji ni wababaishaji tu Ila Kama ilivyo kawaida wale wanaoipinga serikali ya awamu hii tayari wataleta story za CCM na CDM. Naona kuna mpumbavu ameshaanza kutamka Lissu, sijui anaingiaje.
Huelewi uwekezaji kibiashara mkuu, omba ufafanuzi upate kuelewa.

Kwa hiyo benki za ndani kazi yake nini?

Fuatilia viwanda vilivyowekezwa hapa nchini ujue.
 
Hata mimi hili la kusema eti " Waturuki walikuwa wanasubilia mkopo kutoka Benki za ndani" umenishangaza sana ina maana Waturuki wanakuja Tanzania
Unashangaa nini mkuu? Kujua wanasubiria mkopo?

Kwa hiyo unataka hawa jamaa waanze uzalishaji ndio benki ziende kuomba kuwakopesha?

Uwekezaji haoupo hivyo kama unavyofikiria.

Si ushawahi kusikia investment cost..working capital...

Hebu jiweke wewe kwenye hiyo nafasi ya kuanzisha kiwanda,afu utuambie utaenda benki wakati gani.
 
Huo utetezi wa huyo TRA ni wa kizushi, utakuta mfanyabiashara kafanyiwa ukaguzi na maofisa wa TRA na ana Tax Clearence safi cha ajabu eti wanaenda kumkagua tena? Ukaguzi juu ya ukaguzi kwanza ni dharau kwa wakaguzi wa TRA waliopita na hii ndiyo kero namba one kwani huzalisha Rushwa kukomoana pindi mfanyabiashara akigoma kutoa Rushwa hubambikiwa kodi kubwa na hata kesi haramu za kishetani za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi, TRA ifumuliwe isukwe upya vinara wa kufunga Account za wafanyabiashara wote wachunguzwe na Takukuru.
Mkuu naona uelewa wako juu nini maana ya Tax clearance unamashaka kidogo. Hii kitu wengi wanaamini wakishaipata wapo waived na tax liabilities zozote zile ambazo zinaweza kupatikana.

Hii hata maafisa wengi wa TRA wanaitumia kama fimbo vyq adhabu kukusanya kodi.
 
Nilifungua biashara nikapewa makadirio kama kawaida nikalipa awamu ya kwanza, biashara haikufanya vizuri kutokana na eneo awamu ya pili wakaendelea kunidai, biashara ikafa kwa kulipa mikodi na nadaiwa mpaka sahivi mapato mengine, nimefunga biashara, sijui kwanini TRA wasiwe USER FRIEND na walipa kodi, sahivi nataka kufungua biashara ingine mkoa mwingine naambiwa maliza kwanza deni la awali na uombe maombi ya kuhamisha TIN
Wewe ni mwongo huwezi ukaanzisha bishara na kuanza kulipa kodi kabla hata haujapata kipato. Acha uzushi wa namna hiyo. Umesha wahi sikia kitu kinachoitwa Grace period?

Wakoko kama nyie ni shida sana. Mnapenda sana mambo ya uongo uongo tuu na kuwadanganya watu wengine ili wakate tamaa ya kufanya biashara kama nyinyi.

Hivyo wewe kwa kufanya hivyo unafikiri, unamkoa nani? Rais Magufuli? Yeye huwezi ukamkomoa hata mara moja. Yeye ni Rais na maisha yake na yale ya familia yake amesha yaweka katika mkondo unao eleweka. Watakao suffer ni wewe, vizazi vyako na watanzania wengine ambao watahathirika na uongo wako.

Nyie watu mbona mnakuwa mizoga? Mnauwezo wa kuwaza kweli nyie? Mbona mnakuwa masokwe hivyo? Kwanini mnapenda kutiana uoga usio kuwa na maana?
 
Back
Top Bottom