Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Hata mimi hili la kusema eti " Waturuki walikuwa wanasubilia mkopo kutoka Benki za ndani" umenishangaza sana ina maana Waturuki wanakuja TanzaniaNa wasiporudi hao Waturuki itakuwaje?
READ! Taarifa inasema Waturuki wamekosa mkopo wa benki za ndani
Maana yake hawakuja na mtaji!
Ndio haya Marehemu Mengi alikuwa anayasema wakati ana bifu na Wahindi, walikuwa wanamwambia tumekuja na briefcase la makaratasi ya business plan za kutajirikia hapa hapa kwenu! Yani sisi ni vichwa panzi.
Magufuli fukuza hao Waturuki!
Thank God Almighty tumepata kichaa mzalendo Ikulu hapapatikii wazungu, hafagilii wageni!
ALHAMDULLILAH ALA KULLI HAAAL
HADHA MIN FADLI RABBI
mzee hizo si ndio fikra za ccm ujuwe huu ni mwaka wa 60 wa utawala wao hawana fikra nyengine Zaidi ya kunganganiya madarakaPamoja na mapungufu ya TRA Ila wachangiaji wengi hapa wanakimbilia kuleta Siasa. Wewe kama mtanzania unaweza kwenda uturuki au nchi yoyote hata Kenya bila mtaji wa kutosha ukitegemea benki zao zikukopeshe na ukaachwa tu!?
Hao sio wawekezaji ni wababaishaji tu Ila Kama ilivyo kawaida wale wanaoipinga serikali ya awamu hii tayari wataleta story za CCM na CDM. Naona kuna mpumbavu ameshaanza kutamka Lissu, sijui anaingiaje.
Huelewi uwekezaji kibiashara mkuu, omba ufafanuzi upate kuelewa.Pamoja na mapungufu ya TRA Ila wachangiaji wengi hapa wanakimbilia kuleta Siasa. Wewe kama mtanzania unaweza kwenda uturuki au nchi yoyote hata Kenya bila mtaji wa kutosha ukitegemea benki zao zikukopeshe na ukaachwa tu!?
Hao sio wawekezaji ni wababaishaji tu Ila Kama ilivyo kawaida wale wanaoipinga serikali ya awamu hii tayari wataleta story za CCM na CDM. Naona kuna mpumbavu ameshaanza kutamka Lissu, sijui anaingiaje.
Unashangaa nini mkuu? Kujua wanasubiria mkopo?Hata mimi hili la kusema eti " Waturuki walikuwa wanasubilia mkopo kutoka Benki za ndani" umenishangaza sana ina maana Waturuki wanakuja Tanzania
Mkuu naona uelewa wako juu nini maana ya Tax clearance unamashaka kidogo. Hii kitu wengi wanaamini wakishaipata wapo waived na tax liabilities zozote zile ambazo zinaweza kupatikana.Huo utetezi wa huyo TRA ni wa kizushi, utakuta mfanyabiashara kafanyiwa ukaguzi na maofisa wa TRA na ana Tax Clearence safi cha ajabu eti wanaenda kumkagua tena? Ukaguzi juu ya ukaguzi kwanza ni dharau kwa wakaguzi wa TRA waliopita na hii ndiyo kero namba one kwani huzalisha Rushwa kukomoana pindi mfanyabiashara akigoma kutoa Rushwa hubambikiwa kodi kubwa na hata kesi haramu za kishetani za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi, TRA ifumuliwe isukwe upya vinara wa kufunga Account za wafanyabiashara wote wachunguzwe na Takukuru.
Wewe ni mwongo huwezi ukaanzisha bishara na kuanza kulipa kodi kabla hata haujapata kipato. Acha uzushi wa namna hiyo. Umesha wahi sikia kitu kinachoitwa Grace period?Nilifungua biashara nikapewa makadirio kama kawaida nikalipa awamu ya kwanza, biashara haikufanya vizuri kutokana na eneo awamu ya pili wakaendelea kunidai, biashara ikafa kwa kulipa mikodi na nadaiwa mpaka sahivi mapato mengine, nimefunga biashara, sijui kwanini TRA wasiwe USER FRIEND na walipa kodi, sahivi nataka kufungua biashara ingine mkoa mwingine naambiwa maliza kwanza deni la awali na uombe maombi ya kuhamisha TIN