TRA yadaiwa kuvamia Waturuki na kufunga Ofisi jioni ya Leo (Desemba 14, 2020)

Unajua maana ya biashara?
 
Lazima ulipe makadirio ndo upewe Tax Clearance

Hiki kitu nakifahamu lakini ni unyanyasaji tunafanyiwa wewe haujaanza biashara ukajua faida yake halafu ukadiriwe kodi means wanakadiria kodi kwenye mtaji wakati uhalisia wanatakiwa kukadiria kodi kwenye Faida, unapokadiria kodi kwenye mtaji unaandaa mazingira ya kuua mtaji.
 

Umesikiliza vizuri upande wa hao Waturuki?
 
Eee Mungu tunajua unayaona haya na unajua tunaloelekea, tunasubiri uamuzi wako.
 
Mwambe soma uzi huu kama Waziri wa Viwanda uingilie kati ingawa naamini siku hizi hata afisa mdogo tu humkomalia mkubwa
 
Kuna wimbo wa Vijana jazi

Ogopa tapeli
Unapo ona tajiri anawapunguza wafanyakazi kwa visa
Anaanza kuwaa

Ambia waliobaki nitawapunguzia mishahara
Ujuwe hata Wazabuni alio wapa miradi mikubwa atakuja kuwageuka either katika mikataba au kutafuta njia ya kutanchi malizao pawepo na mizozo ndio unakuwa mwisho wa utajiri wake Ndiyo maana
 
Huu nao ni upumbavu, unakusanya vipi mapato kikanda, halafu pesa hizohizo unazipeleka hazina zote!
 
Na wasiporudi hao Waturuki itakuwaje?....
Ona huyu.... chuki na husda ni mbaya kwa afya yako. Kama nyie ni wajanja si mngefungua aina hyo ya kiwanda. Umewaza hicho kiwanda kingefunguliwa hata kama ni vijana 10 si wangeajiriwa.

kodi si ingelipwa kwa maendeleo ya nyie wa TZ... haya wameshindwa kufungua je pesa n ajira vimehamia kwako? MATAGA sijui mnakula maharage ya wapi nyie. mfyuuuu
 
MATAGA hawawezi kukuelewa.... ukienda kukadiriwa kodi hata mwezi wa 11 kwa mara ya kwanza unaambiwa ulipe kodi ya robo zote nne...yamenikuta haya
 
MATAGA hawawezi kukuelewa.... ukienda kukadiriwa kodi hata mwezi wa 11 kwa mara ya kwanza unaambiwa ulipe kodi ya robo zote nne...yamenikuta haya

Si bado upo ndan ya quarter? Sheria ndo inakutaka hivo. Kuepuka hayo nenda mwakani 1/1/2021
 
Kabla hujafanya biashara ya halali, ufanye utafiti kwanza! Usishindwe wewe, ukaanza kulaumu TRA. Umesema biashara haikufanya vizuri kwa sababu ya eneo! Je! Na hilo ni kosa la TRA?
 
Mwingereza na habari ya Mturiki.
TRA hawanaga shida wakiwauliza maswali muwajibu tu na wakiwaomba docs na mahisabati ya biashara yenu wapatieni ila wakiwaomba rushwa muwaitie TAKUKURU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…