Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Unajua maana ya biashara?Pamoja na mapungufu ya TRA Ila wachangiaji wengi hapa wanakimbilia kuleta Siasa. Wewe kama mtanzania unaweza kwenda uturuki au nchi yoyote hata Kenya bila mtaji wa kutosha ukitegemea benki zao zikukopeshe na ukaachwa tu!??, Hao sio wawekezaji ni wababaishaji tu Ila Kama ilivyo kawaida wale wanaoipinga serikali ya awamu hii tayari wataleta story za CCM na CDM. Naona kuna mpumbavu ameshaanza kutamka Lissu, sijui anaingiaje.
Lazima ulipe makadirio ndo upewe Tax Clearance
Pamoja na mapungufu ya TRA Ila wachangiaji wengi hapa wanakimbilia kuleta Siasa. Wewe kama mtanzania unaweza kwenda uturuki au nchi yoyote hata Kenya bila mtaji wa kutosha ukitegemea benki zao zikukopeshe na ukaachwa tu!??, Hao sio wawekezaji ni wababaishaji tu Ila Kama ilivyo kawaida wale wanaoipinga serikali ya awamu hii tayari wataleta story za CCM na CDM. Naona kuna mpumbavu ameshaanza kutamka Lissu, sijui anaingiaje.
Huu nao ni upumbavu, unakusanya vipi mapato kikanda, halafu pesa hizohizo unazipeleka hazina zote!Kwa sababu ukusanyaji wa mapato unafanyika kikanda, kama ulichukulia TIN yako Dar na biashara yako ipo dar na unataka kuhamishia biashara yako tuseme Mbeya inabidi utoe taarifa ili waihamishie TIN yako huko na utalipa kodi huko ulikohamishia biashara yako
Ona huyu.... chuki na husda ni mbaya kwa afya yako. Kama nyie ni wajanja si mngefungua aina hyo ya kiwanda. Umewaza hicho kiwanda kingefunguliwa hata kama ni vijana 10 si wangeajiriwa.Na wasiporudi hao Waturuki itakuwaje?....
Ndio, nauza Sangara wa kukaanga, Mbagala Kizuiani. What's the point?Umewahi kufanya biashara yoyote hata yakumiliki genge?
MATAGA hawawezi kukuelewa.... ukienda kukadiriwa kodi hata mwezi wa 11 kwa mara ya kwanza unaambiwa ulipe kodi ya robo zote nne...yamenikuta hayaHiki kitu nakifahamu lakini ni unyanyasaji tunafanyiwa wewe haujaanza biashara ukajua faida yake halafu ukadiriwe kodi means wanakadiria kodi kwenye mtaji wakati uhalisia wanatakiwa kukadiria kodi kwenye Faida, unapokadiria kodi kwenye mtaji unaandaa mazingira ya kuua mtaji.
Sema utamkumbukaLissu aliyasema sana haya kwenye kampeni. Tutamkumbuka tena sana tu.
According to wewe.Stupid move.
Hapo mnataka kuniambia kuna mturuki ataleta pua yake tena hapa TZ?
They will come when meko is gone
Kwa hio according to wewe watakuja wengi sana ee?According to Wewe.
MATAGA hawawezi kukuelewa.... ukienda kukadiriwa kodi hata mwezi wa 11 kwa mara ya kwanza unaambiwa ulipe kodi ya robo zote nne...yamenikuta haya
Kabla hujafanya biashara ya halali, ufanye utafiti kwanza! Usishindwe wewe, ukaanza kulaumu TRA. Umesema biashara haikufanya vizuri kwa sababu ya eneo! Je! Na hilo ni kosa la TRA?Nilifungua biashara nikapewa makadirio kama kawaida nikalipa awamu ya kwanza, biashara haikufanya vizuri kutokana na eneo awamu ya pili wakaendelea kunidai, biashara ikafa kwa kulipa mikodi na nadaiwa mpaka sahivi mapato mengine, nimefunga biashara, sijui kwanini TRA wasiwe USER FRIEND na walipa kodi, sahivi nataka kufungua biashara ingine mkoa mwingine naambiwa maliza kwanza deni la awali na uombe maombi ya kuhamisha TIN
Mwingereza na habari ya Mturiki.Jioni ya leo, TRA imevamia na kufunga ofisi moja ambayo ilikuwa bado haijaanza kufanya kazi wakidai kodi. Hii ni kampuni ya waturuki inayohusika na kutengeneza tiles za majengo. Mashine zililetwa lakini kwa bahati mbaya jamaa walishindwa kuanza kufanya kazi kutokana na mtaji kutokutosha.
Waturuki walitegemea kupata mkopo kwenye moja ya mabenki ya ndani, kitu ambacho kimechelewa. Mategemeo yao ilikuwa ni kupata mkopo mwezi wa 4 lakini hadi December mkopo ulikuwa bado haujapitishwa. Kwa maana hiyo hawakuwa na jinsi ya kuanza operations zao.
Hii kampuni hipo maeneo ya Mbezi Afrikana, na kwa bahati mbaya, magari ya TRA wamevamia jioni hii na kufunga ile ofisi na kumchukua mtu anayesimamia ile mali maana wengine inaonekana wako nje ya nchi. Na kwa sababu hakuna kazi, ni mmoja wao amebakia pale kulinda mali.
Kama Bakhresa na hela zake zote anaweza kuingiza bidhaa sokoni na ikaflop itakuwa mtu wa kawaida?Kabla hujafanya biashara ya halali, ufanye utafiti kwanza! Usishindwe wewe, ukaanza kulaumu TRA. Umesema biashara haikufanya vizuri kwa sababu ya eneo! Je! Na hilo ni kosa la TRA?