TRA yaendelea kumkaba koo Toufiq Salum Turky kodi ya gari milioni 308.5

TRA yaendelea kumkaba koo Toufiq Salum Turky kodi ya gari milioni 308.5

Chukua usd 214,660×2,300=555,818,000.
Yaani thamani ya gari ni nusu Billion.
Huo ushuru ni sahihi kwa mujibu wa Jini TRA
Mimi nilidhani ushuu wake ni sawa na thamani ya gari lenyewe Yani nusu billion kapunguziwa Hadi million mia tatu huko Bado kashindwa
 
Mtoto wa hayati Turky, si amwambie ndugu yake Zakaria amlipie tu...
 
Yani hiyo hela ya gari ukinipa mimi, najenga mjengo mkali na magari matatu makali kabisa afu namtafunia mzabzab michepuko yake kiroho safi kabisa

Afu sitaenda mbinguni
Haya ni matumizi mabaya ya hela. Bora kidume ambaye anatumia hela yake kuwa na wake wengi kuliko hawa wanao nunu magari kama haya.
 
Kwaiyo katozwa kiwango kikubwa tunalinda viwanda vyetu vya NYUMBU au KP MOTORS?

Wale NYUMBU wanatengeneza kwengwe sio gari.
UGDA-protection-5536.jpg
 
Mwaka 2014 ndugu yangu alilipishwa 9.4M kwa gari ya M20 kutoka UK
Hii nchi tunanyooshwa sana. Mlienda mwenyewe Bank M kudeposite na ushuru wa 5.60K wa Bandari
Ndiyo maana watu wengi wanashindwa kuingiza magari mapya na magari chakavu yanachangia
Ndoa yetu itafutwana ziraili pekee. Tena akifanya masihara namdedisha yeye kwanza
😂😂😂😂😂
 
Hivi kwa nini zisiwepo kodi rasmi kulingana na manunuzi? Haya mambo ya makadirio ni kuumizana tu
 
Hivi G-Wagon iwe tax exempted kwa Sababu gani hasa?
Sio G Wagon hiyo. Angalia nembo ya gari sio alichosema mwandishi.

Ila nashangaa tajiri kapewa nafuu ya:

/ kulipa kwa awamu
/ kupewa namba za usajiri
/ kuachiwa aitoe bandarini
/ kuepushiwa storage charges za serikali kukaa na gari

Kwa kisharti mbuzi eti asiiendeshe. Sasa mmeitoa ya nini ?

Masikini mchafu na ki PREMIO chako kimefika bado unazingua kukichukua kigari chako kinapigwa mnada kabla hakijashuka kwenye meli...
 
Sio G Wagon hiyo. Angalia nembo ya gari sio alichosema mwandishi.

Ila nashangaa tajiri kapewa nafuu ya:

/ kulipa kwa awamu
/ kupewa namba za usajiri
/ kuachiwa aitoe bandarini
/ kuepushiwa storage charges za serikali kukaa na gari

Kwa kisharti mbuzi eti asiiendeshe. Sasa mmeitoa ya nini ?

Masikini mchafu na ki PREMIO chako kimefika bado unazingua kukichukua kigari chako kinapigwa mnada kabla hakijashuka kwenye meli...
Hiyo ni brabus g wagon sheikh
 
Kwa mujibu wa Mamlaka ya Mapato hatua hiyo inafuatia Mbunge na Mfanyabiashara huyo kushindwa kulipa ushuru wa gari aina ya Marcedes Benz G Wagon aliloliingiza nchini Januari 2022.

TRA imesema mbali na kodi ya gari hilo, kampuni nyingine ya Mifuko ya Mbunge huyo inadaiwa Tsh. Milioni 170.5 huku msamaha wa kodi alioomba Serikalini ukikataliwa mara mbili na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango.

Waziri wa Fedha na Mipango wa Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya alisema msamaha huo wa kodi ulikataliwa kwa sababu ni ukiukaji wa Sheria za Uwekezaji.

=======================

Zanzibar businessman and politician Toufky Salum Turky could lose his property to the Tanzania Revenue Authority should he fail to pay taxes that amount to Sh308.5 million. According to the Tanzania revenue Authority, (TRA) Turky’s assets will be seized should he fail the tax payment for the Marcedes Benz G wagon which he imported in January, 2022.

Speaking to Reporters TRA’s deputy commissioner Juma Bakary Hassan said the businessman on October 3,had requested to pay the taxes in installments, something that the taxman has rejected.

“We have instructed him to pay as required by the law and should he fail to do so we shall seize his property through his guarantor to ensure that government tax is paid,” said the deputy commissioner.

According to the authority’s official, apart from the car, Turky’s bag company also owes TRA some Sh170.5 million.

Tax exemption applications which he applied for have been rejected twice by the minister of state in the President’s Office, finance and planning despite being approved by the executive director of the Zanzibar Investment Promotions Authority (ZIPA) Sharif Ali Sharif.

TRA says that the car was released to the businessman before completing tax payments after he was guaranteed by a financial institution as they continued to process a tax exemption through the Zanzibar Bag Factory project. The officials, however, say they did not allow the businessman to use the car, instead he was allowed to take it away from the port to avoid attracting further port charges.

Zanzibar’s finance and planning Minister Dr Saada Mkuya said the tax exemption was rejected because it was in violation of the investment laws of Zanzibar. Tax exemption in Zanzibar is granted to an investor during the construction of the project and not after the project is completed.

THE CITIZEN
 
Angekuwepo Magufuli mengi yangesemwa, ooh! hapendi matajiri ,pumzika kwa amani jemedali wetu
 
Back
Top Bottom