Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Tozo kaka🤣🤣🤣Duh uzi naona umegeuka watu wanatoleana mitusi
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tozo kaka🤣🤣🤣Duh uzi naona umegeuka watu wanatoleana mitusi
Ova
Ukijua thamani ya hilo gari usingeleta utoko wako.hadharani,unajua kanuni za Kodi?Kodi yote hiyo????!!! Lengo la serikali ni nn? Kwann isiwe milioni 20 tu???
Nini?Jini 🤣🤣🤣
Sina akili mimi, au wewe na wapuuzi wenzako baadhi wa ccm ndiyo hamna akili! Mnashindwa kutoza kodi stahiki kwenye raslimali kama madini na gesi, mnakimbilia kuwaumiza watu wanaonunua magari! Unaona ni ujanja kwa hao TRA kutoza kodi ya milioni 6 kwa gari iliyo agizwa kwa gharama hiyo hiyo ya milioni 6!Wewe huenda hauna akili. Magari karibu yote Kodi huwa sawa au karibu na bei unayonunulia.
Tena bora hizo za kifahari Kodi yake huwa 50% ya Bei uliyonunulia tofauti na magari haya ya kawaida IST kuinunua na kuifikisha Dar ni mil 6-7 Ila Kodi nayo inacheza humo humo kwenye 6.
Kodi inapaswa kuwa kubwa kwenye prestige goods. Dunia yote hufanya hivyo. Hata huko kwa matajiri ni hivyo
Kweli kabisa yaani unanunua gari hilo baadala ya kununua wake wawili wengine pisi kali unaweka ndani🤣🤣🤣🤣Gari yenyewe sura mbaya bei kubwa kodi mlima
Dah inaumiza kodi 100% ya bidhaaMkuu ukiagiza gari mfano bei yake ni 12,000$ yaani kodi na ushuru pia andaa same amount, hii iliwahi kunikuta mwaka 2015 niliogopa mno
Na hawataki kuwaambia ukweli kuwa, msinunue magari ila wanawabana kwa njia hiyo.Inawezekana. Tanzania Kodi huwa inakaribia kuwa sawa na thamani ya bidhaa
[emoji1] watu wamevurugwaTozo kaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vibaya mnoo yaani watu wamejaa hasira balaa🤣[emoji1] watu wamevurugwa
Ova
... to be safe, andaa 150% ya thamani ya bidhaa.Huyo jamaa amebarikiwa sana aisee. Ni pesa ndefu mno.
Daah TRA ni kama maajabu mengine ya dunia aisee[emoji16][emoji16]Hebu ona hapa chiniView attachment 2353107hiyo gari inauzwa usd 14,000 sawa na 32,000,000 lkn ushuru ni 41,00,00View attachment 2353108
Yaleyale ya kulazimisha kufanya Dodoma kuwa Makao Makuu ya nchi wakati SABABU zilizofanya maamuzi hayo yakatolewa mwaka 1973 HAZIKUWEPO tena 2017.Kudiscourage importations ya magari ya kifahari toka nje ni muendelezo wa akili za kimasikini nchini ni SAwa na Sheria ya ant dumping.
Una ant dumping nini SAsa wakati product yeyeto inaenda recycling baada ya matumizi yake kwisha.
Ant dumping principal ilikuwa na maana kabla ya ujio wa recycling industry.
Kwani kununua gari ni utajiri? Tuondokane na mawazo haya jamani!!! Gari ni kitendea kazi tu kama vifaa vingine. Halafu formula ya kodi ni moja hakuna hili gari kaagiza tajiri au mlalahoiHizi Kodi hazina mantiki,ni wizi mtupu kwa matajiri,maana hii Kodi sio kwamba inalinda viwanda vyetu vya magsri ya Benz,tungekuwa na kiwanda Cha magari hapa nyumbani,Ili kulinda viwanda vyetu basi unaweka Kodi kwa anayeamua kuagiza gari kutoka nje,sasa hiyo Kodi Haina maana,ni njia ya kuwakamua matajiri tu
Mawazo ya kimaskini hayoMkp mtu unanunua gar milinion Mia tano Kweli Kodi ikushibde mm nadhani magar y kifahari kwa nnchi zetu hz za kiafrica hazipazwi na mtu akiliingiza itozwwe Kodi sawasawa haswa hongera Zanzibar piga Kodi had akili iwakae saawa hao wanaonunua magar ya kifahar Mara nyingi ni wahujumu uchumi tu mm ningekuwa commissioner ningepiga mili400 kbsa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Naomba niulize, kwani kodi ina formula moja au inaangalia aliyeagiza ni tajiri au mtu wa kawaida?Hii kodi ni sawa kabisa. Gari la kifahari hili. Kama hana hizo fedha basi hata kumiliki hilo gari hapaswi. Makapuku wenzangu kama wewe badala ya kuunga mkono serikali inapotoza kodi kwa mambo ya kifahari ndiyo mnajifanya kupiga kelele. Huoni ni busara wanaotaka ufahari kulipa kodi ili makapuku kama wewe tozo ziondolewe?
Kodi HAINA formula moja. Kodi HAIANGALII sura. Kodi inaangalia BIDHAA. Kwa mfano maskini wa kutupwa akiokota sh bilioni moja akaamua kuagiza gari la kifahari aina ya Rolls Royce, atachajiwa kodi ile ile atakayochajiwa tajiri. Kwa hiyo basi sisemi huyu achajiwe kodi kubwa kwa sababu ni tajiri. Nasema achajiwe kodi kwa sababu ya aina ya gari alilonunua. Siku zote na popote duniani kodi inatoa unafuu kwa bidhaa muhimu na kutoza zaidi kwenye bidhaa za anaza. Tupo pamoja?Naomba niulize, kwani kodi ina formula moja au inaangalia aliyeagiza ni tajiri au mtu wa kawaida?