Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona rahisi, si anasema tu ni gari kwa ajili ya matumizi ya kampuni?Hivi G-Wagon iwe tax exempted kwa Sababu gani hasa?
Hii nchi ina watu wengi wapumbavu Sana. Kabla ya gari kuagizwa kila kitu kinakuwa wazi hadi Kodi utayolipa. Wala sio kwamba kashtukizwa.Ni ajabu mkuu. Maskini wanalalamika eti tajiri katozwa kodi kubwa kwa kuingiza gari la kifahari ambalo bei yake ni zaidi ya nusu bilioni! Tena mtu mwenyewe alitaka kufanya ujanja ujanja aingize bure serikali ikagundua. Wanataka nini sasa? Waendelee kulipa tozo huku matajiri wakiingiza magari ya kifahari bila kodi?
Kama umeweza nunua gari ya dola laki mbil nje why usilipe kodi kwani hujuwi starwhe gharama mjomba..Kodi yote hiyo????!!! Lengo la serikali ni nn? Kwann isiwe milioni 20 tu???
😂😂Hili nalo mwanangu Kamishina Mkuu Kidata muende mkalitizame wewe na timu yako,mkandamizeni mpaka gari alisuse,na akisusa lileteni Chamwino nami nitembelee Benzi,nimechoka kutembelea mijigari ya Toyota".
Ndio hivyo mkuu tena TRA wanafanya kumbembeleza.Kwanini wengine huwa hatupewi fursa kulipa kodi kwa awamu tuagizapo magari?
Bongo tuna viwanda kibao vya sukari, lakini sukari inayotoka nje ni rahisi.Jengeni viwonder vya magari bongo kuepuka hizo kodi
[emoji28][emoji28][emoji28]Hili nalo mwanangu Kamishina Mkuu Kidata muende mkalitizame wewe na timu yako,mkandamizeni mpaka gari alisuse,na akisusa lileteni Chamwino nami nitembelee Benzi,nimechoka kutembelea mijigari ya Toyota".
Mbona miaka yote kodi za magari hata yasiyo ya kifahari imekuwa karibu sawa na thamani ya gari?Kwamba hiyo USD 214,660 ambayo ni kama tsh 500,607,430 ndio iwe na kodi tsh 308,000,000?
Ikiwekwa 0.18 alafu mwisho makusanyo yakawa bil 200 kwa mwezi, serikali itaeendeshwaje?Hoja hapa ni why 18% na siyo 0.18% ??
Wewe mpumbavu nimetolea mfanoAcha upumba. Vu wewe tra kwanza wanabadili badili sana ushuru, na kigezo wanacho angalia demand.. Kuna kipindi Audi A4! Usuhuru ulikuwa chini sana, walipo ona watu wengi wana ziingiza wakapandiaha ushuhuru haraka haraka
Nilishakuwaambiabwe mshenz, huna akili. Haya mambo yamekuzidi sana kimo, unakunya kunya tu hapa.. Kichwa maji kabisa wewe. Mfano wako ni makamasi matupuWewe mpumbavu nimetolea mfano
Gari la mil 600 ulitegemea ushuru uwe kiasi gan?Ushuru wa gari million 300 soo poa
Wewe mpumbavu wa mwisho usiye na akili hata mfano mdogo huelewi. Uolewe tu basiNilishakuwaambiabwe mshenz, huna akili. Haya mambo yamekuzidi sana kimo, unakunya kunya tu hapa.. Kichwa maji kabisa wewe. Mfano wako ni makamasi matupu
Very unfair though. Kwa mawazo yangu, kodi ya gari tena likiwa la mwaka wa karibuni haitakiwi izidi 15% ya bei ya gari. Maana bado utalipa kodi utakaponunua mafuta kujaza gari, na utakafanya serives au kununua vifaa vya gari for maintenance.You must be able to buy it twice🤣🤣
Unaona namna ulivyo hasara we mpumb.avu 🦍 Mie mwanaume naolewaje? Akili zako taka taka tu.. Nakutazama shenz kabisa wewe, ulia za leta thread ya ku promote ushoga, badae ukaleta thread ya ku promote anal sex upo sawa kweli we kinyesi 😳😳.. Na ndio mataka taka kama nyie mmejaza ccm huko bladifakini kabisaWewe mpumbavu wa mwisho usiye na akili hata mfano mdogo huelewi. Uolewe tu basi
Hiyo ni G-Wagon, tena BRABUS. Kwenye viwango vya ufahari, Hata Land Cruser ya Mh.Mwitozo sio saizi yake.Labda na kodi zingine. Hio benzi Ina kipi ziada cha kuitwa gari ya kifahari hata kodi yote hio
Jini 🤣🤣🤣Chukua usd 214,660×2,300=555,818,000.
Yaani thamani ya gari ni nusu Billion.
Huo ushuru ni sahihi kwa mujibu wa Jini TRA