Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa amelinunua×2 ya bei ya kununulia.Hivi TRA huwa inawauzia waagizaji magari yanapoingia nchini?Kwamba hiyo USD 214,660 ambayo ni kama tsh 500,607,430 ndio iwe na kodi tsh 308,000,000?
Enzi za Nyerere siku ya jumapili ilikuwa marufuku gari kuonekana barabaraniNi utaratibu aliouweka Nyerere kuwabana watu wasimiliki magari ndo wanaendelea nayo
Hapa Tanzania anayestahili kuendesha au kumiliki gari za bei kama hiyo ni waliopo Serikalini tu?Tatizo lako umejaa uchawi na roho mbaya
Kodi ya gari hutokana na thamani ya gari. Ni Kama ilivyo VAT 18% ya bilioni 1 ni tofauti na 18% ya Milion 1Kodi yote hiyo????!!! Lengo la serikali ni nn? Kwann isiwe milioni 20 tu???
Hoja hapa ni why 18% na siyo 0.18% ??Kodi ya gari hutokana na thamani ya gari. Ni Kama ilivyo VAT 18% ya bilioni 1 ni tofauti na 18% ya Milion 1
La 4D ni kisanga 🤠🤠🤠🤠
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na Passo, unakuta baba zima.na likitambi lake limejikunja kwenye Passo
Acha upumba. Vu wewe tra kwanza wanabadili badili sana ushuru, na kigezo wanacho angalia demand.. Kuna kipindi Audi A4! Usuhuru ulikuwa chini sana, walipo ona watu wengi wana ziingiza wakapandiaha ushuhuru haraka harakaKodi ya gari hutokana na thamani ya gari. Ni Kama ilivyo VAT 18% ya bilioni 1 ni tofauti na 18% ya Milion 1
😄😄😄😄😄 AiseeLa 4D ni kisanga 🤠🤠🤠🤠
Lisu ashirikiane na Kibatala wake hawawezi kutoboa.Sasa ni wakati wa Wakili Msomi Lisu kuingilia kati huo mgogoro kupitia Mahakamani amtetee Dogo ili apunguziwe Kodi,alipe fadhila za Mzee!!
Ushuru unakuwa uniform tu kwa muundo wa body au kwa muundo wa injini, mtu aumie kwenye kununua gari lenyewe na sio kwenye kulipa ushuruKweli kabisa mkuu
Toufiq Turky ni misheni town? Huyo ni mtoto wa tajiri mkubwa sana hapa Tanzania Salim Turky(marehemu) na ndio aanaendesha biashara zote alizoacha baba yake zikiwemo boti za dar zanzibar zan fast ferries.Hatujui kuwa ni baraka au misheni town but ana mpunga for sure
😄😄 Naona huyo bila kufokewa haelewi somoAcha upumba. Vu wewe tra kwanza wanabadili badili sana ushuru, na kigezo wanacho angalia demand.. Kuna kipindi Audi A4! Usuhuru ulikuwa chini sana, walipo ona watu wengi wana ziingiza wakapandiaha ushuhuru haraka haraka
Yote yamepita imebaki historia.Ndo maana nawapenda waislamu wao awacomplicate mambo wanajua soon watayaacha haya Dunia sio umileleEnzi za Nyerere siku ya jumapili ilikuwa marufuku gari kuonekana barabarani
Ova
Sijamnyoshea kidole kuwa ni mishe mishe au ni halali...nimesema sijui na sijui kweli.Toufiq Turky ni misheni town? Huyo ni mtoto wa tajiri mkubwa sana hapa Tanzania Salim Turky(marehemu) na ndio aanaendesha biashara zote alizoacha baba yake zikiwemo boti za dar zanzibar zan fast ferries.
Alafu si ndio chadema mlimuomba ndege iliyompeleka Lissu huko Nairobi.
Wewe huenda hauna akili. Magari karibu yote Kodi huwa sawa au karibu na bei unayonunulia.Nchi za kiafrika zitaendelea baada ya miaka mingi sana kupita! Yaana mpaka hawa wapumbavu wachache na vizazi vyao vyote kuisha.
Kwa hiyo ni dhambi kumiliki gari la kifahari! Ukinunua tu basi na wewe unalipishwa kodi kandamizi!!
Kwa kuwa huko dunia ya kwanza hakuna Kodi?Huwa nikiona hapa bongo mtu ana gari kali la kifahari pamoja na hizi kodi huwa namuwazia kama angekuwa kwenye dunia ya kwanza si angekuwa na magari ya kutosha tu
Kwanini wengine huwa hatupewi fursa kulipa kodi kwa awamu tuagizapo magari?Hao ndio matajiri wa Tanzania na huu ni ushahidi namna wasivyopenda kulipa kodi halali.
Hapo unakuta wafanyakazi wake anawapunja mishahara halafu fedha anatumia kununulia magari ya kifahari.
Na kuna watu hawa wanamtetea mkwepa kodi.
Shame.