DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Serikali inatufanyia ujambazi wa mchana kweupe kupitia Kodi za magariChukua usd 214,660×2,300=555,818,000.
Yaani thamani ya gari ni nusu Billion.
Huo ushuru ni sahihi kwa mujibu wa Jini TRA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali inatufanyia ujambazi wa mchana kweupe kupitia Kodi za magariChukua usd 214,660×2,300=555,818,000.
Yaani thamani ya gari ni nusu Billion.
Huo ushuru ni sahihi kwa mujibu wa Jini TRA
Unautumia vizuri sana ubongo wako mkuu, basic needs ni nini? Huwezi kuta gari hapo, gari ni anasa.Hata wenye mkokoteni wenye akili Kama zako nao wanaombea Matajiri wanao milki Vitz nao wawe wanapigwa Kodi kubwa hadi washindwe kumiliki hizo vitz ili warudi kumiliki mkokoteni!!
Misheni town zinalipa Sana mkuu,Hatujui kuwa ni baraka au misheni town but ana mpunga for sure
Wangekuwa na akili wangepunguza kodi watu tungeagiza magari mengi ili wapate kodi kubwaSerikali inatufanyia ujambazi wa mchana kweupe kupitia Kodi za magari
Vipi kuhusu viwanda vya magari hayo? Mbona hao ndio huibuka multimillionaires huku serikali zetu zikiishia kuomba misaada huko huko tena? Tunachezwa.Serikali inatufanyia ujambazi wa mchana kweupe kupitia Kodi za magari
UPUMBAVU mtupu,hapana, nchi bado inaamini gari ni anasa, na gari inatakiwa kumikiwa na matajiri tu, nankununua gari inamaanisha una pesa hazina kazi
Shida misheni town ukilikoroga pesa zako zote zinapigwa pini...suala la dakika moja unajikuta ni maskini wa kutupwaMisheni town zinalipa Sana mkuu,
Habari za baraka waachie wasabato[emoji4]
Wewe ndio huna akili, gari sio maji bro, ukilihitaji utaagiza tu kwa wakati wako, acha serikali ikukamue vizuri kutuletea maji huku kambikatoto.Wangekuwa na akili wangepunguza kodi watu tungeagiza magari mengi ili wapate kodi kubwa
Unaletewa maji au mabomba ya maji?Wewe ndio huna akili, gari sio maji bro, ukilihitaji utaagiza tu kwa wakati wako, acha serikali ukikamue vizuri kutuletea maji huku kambikatoto.
Watu wa Mbeya si wameridhia kodi na tozo? Cc mkuu wa mkoaHivi siku gani walituuliza hizi kodi. Maana watasema wananchi wamekubali.
Hivi kumbe huwa Nalipa bill kila mwezi Idara ya maji kwa ajili ya mabomba! Taahira kabisa wewe na avatar ya suti za martini Kadinda.Unaletewa maji au mabomba ya maji?
Haya kilazza wa taifa
Umasikini ni moja ya vyanzo vya wivu na mtu masikini kamwe hapendi maendeleo ya wengine! Furaha yake watu wote wawe sawa na yeye! Bahati mbaya kwake hiyo haitatokea!Mungu anakimbia matatizo tena! Tena aliyoyaasisi yeye mwenyewe? Mungu gani weak hivyo, roho mbaya ndio msingi wa maendeleo ya dunia ya kale mpaka kesho… achana na siaza za dini kumrushia lawama shetani ingali una deal na mwanadamu… shetani/ Mungu ni theoretical work kwa wavivu kufikiria na waoga na kusonga mbele no matter the obstacles.
Kuna gari ukiendesha ukiwa na mwili mkubwa Ni fedhea sanaNa Passo, unakuta baba zima.na likitambi lake limejikunja kwenye Passo
Hahahahah TRA sikuhizi ni sawa na chuma ulete, kodi zao wamejiwekea btn 90% to 110% of the C.I.F price.Hata kwa gari zingine utaratibu uko hivyohivyo. Yaan ukiagiza IST labda CIF to Dar ni 5.5mil basi mjomba TRA akija na calculator yake anapita nae anga hizo hizo, tofauti kidogo sana
Nikuulize wewe kati ya Serikali ya Tanzania inayoagiza magari 600 kwa ajili ya wabunge tu achilia mbali MaRC, DC majeshi na idara zote VS huyo jamaa yako wa G-Wagon moja tena yakuomba msamaha wa kodi nani tajiri hapo, nani anamuonea wivu mwenzie? Be realistic basi.Umasikini ni moja ya vyanzo vya wivu na mtu masikini kamwe hapendi maendeleo ya wengine! Furaha yake watu wote wawe sawa na yeye! Bahati mbaya hiyo haitatokea!
Sawa vizuriJf kila mtu ana gari me pia nilikuwa na hilo nimeuza hapo malawi , kwa sasa nasukuma S class moja 2016
milion 14 ndogo sana inategemea ni brand gan,mwaka na cc, nilitaka kuchukua volvo c60 cc 1600 ya mwaka 2010 ilikuwa clearance hapo befoward,mpaka bongo 9m ila nilipongia kwenye calcutor ya tra ushuru ulifika 16m na pointHahahahah TRA sikuhizi ni sawa na chuma ulete, kodi zao wamejiwekea btn 90% to 110% of the C.I.F price.
Kama gari hadi kufika DSM ni milioni 15 hakikisha una million 14 za kuwapa TRA yani hio ni given. Gari ikiwa latest ndio ujiandae na kuwapa kodi ya 16M wanakula kuliko Mjapani.
Hili swala ilitakiwa ifikie mahala gari zichajiwe kwa % tu ya manunuzi. Na hio % isizidi nusu ya bei ya gari maana hili ndio linawafanya watu waminyane kununua gari za mwaka 1998! Mtu anataka RAV 4 ila akiangalia inayonunulika kirahisi na kodi laini ni RAV mchaga ya mwaka 1999. Akitaka Kili time bei mkasi kodi mnazi anakuwa hana jinsi. of
Ina maana CIF waliojiwekea kwenye system ilikuwa inazidi bei ulioikuta beforwardmilion 14 ndogo sana inategemea ni brand gan,mwaka na cc, nilitaka kuchukua volvo c60 cc 1600 ya mwaka 2010 ilikuwa clearance hapo befoward,mpaka bongo 9m ila nilipongia kwenye calcutor ya tra ushuru ulifika 16m na point