Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakati kodi inazidi bei ya gari Tanzania miyeyusho sanaKodi karibu na bei uliyonunulia, yaani upumbavu wetu umetufanya tuwe watumwa kwa misheria ya kijinga tuliyojiwekea wenyewe, kila kona ni hivyo hivyo tuu na mitozo isiyo na akili ndio maana hakuna siku tutaendelea
Na hapo kuna mikodi ya sijui delivery order port charges wharfage na upuuzi mwengineHebu ona hapa chiniView attachment 2353107hiyo gari inauzwa usd 14,000 sawa na 32,000,000 lkn ushuru ni 41,00,00View attachment 2353108
PichaYule nasikia alilipia 700 million.. Kama sipo sawa nitasahihishwa 🤠🤠
Ailipie tu kodi huyo
Hela anayo
Ova
Duuuh aiseee, Hesabu za kunyonyana damu kabisa hizi
Unafikiri ni vitumbua hivyo unavyorudisha Kwa mama Chausiku!Alirudishe alipoagiza shida iko Wapi.
Muhimu kwako kujua ni kuwa Tanzania hatujapoteza bandari zetu tulizonazo, we’re not a landlocked country, lazima hayo mapato kupitia bandari zetu yatunufaishe zaidi ya Rwanda, Uganda, Malawi na landlocked nations nyinginezo.Sina maana asamehewe hebu soma nilichoandika
Ifike mahali tutafute pia vyanzo vingi vya kutuingizia mapato ila kama tutaendeleza Tozo tu ni ukilema huo
Amini hamtaweza hata kutengeneza toothpicks kwa miaka 100 ijayo
Tozo ya miamala mnajengea zahanati
Kwanini msiwe na vyanzo vya kuingiza hela kuliko kuonea watu kwa kulipa kodi Mara 3 mshahara uliopo bank?
Be serious
Eti Zanzibar hamna tozoBara Kodi ingemcost million 618 Kwa gari hiyo hiyo
Ukifa ndio gharama zitaongezeka maradufu, kwani lilikotoka hawajakata ushuru wao?Huu muungano ufe tu
Kuna watu wana wivu zaidi ya shetani!Ukifa ndio gharama zitaongezeka maradufu, kwani lilikotoka hawajakata ushuru wao?
Shetani ni kiumbe cha Mungu kwa mujibu wa maandiko, Mungu kaiumba Dunia na ulimwengu from utupu… bottom line, tabia zote za shetani zinaakisi uumbaji wa Mungu… sio mimi nasema ni maandiko.Kuna watu wana wivu zaidi ya shetani!
Sasa ni wakati wa Wakili Msomi Lisu kuingilia kati huo mgogoro kupitia Mahakamani amtetee Dogo ili apunguziwe Kodi,alipe fadhila za Mzee!!Baba yake huyu Kijana ndio aligharimia safari ya Tundu Lissu kutoka Dodoma hadi Nairobi na kuchangia jumla ya Dola laki moja wakati huo (2017)
Mungu amrehemu Mbunge huyo wa Zamani Hayati Turky
Ndiyo kisa Mungu alimtupa duniani ili aungane na watu ambao hawatauona ufalme wa mbinguni!Shetani ni kiumbe cha Mungu kwa mujibu wa maandiko, Mungu kaiumba Dunia na ulimwengu from utupu… bottom line, tabia zote za shetani zinaakisi uumbaji wa Mungu… sio mimi nasema ni maandiko.
Achaa ujinga wako, hata IST ni Gari ya kifahari kwa mtu anaemiliki bodaboda au Baiskeli! Na Matajiri wa IST nao pia wako humu na wanalia pia wao wanatozwa Kodi kubwa sana kwa ki IST chake alicho aagiza kutoka Japani!!Hii kodi ni sawa kabisa. Gari la kifahari hili. Kama hana hizo fedha basi hata kumiliki hilo gari hapaswi. Makapuku wenzangu kama wewe badala ya kuunga mkono serikali inapotoza kodi kwa mambo ya kifahari ndiyo mnajifanya kupiga kelele. Huoni ni busara wanaotaka ufahari kulipa kodi ili makapuku kama wewe tozo ziondolewe?
Hata wenye mkokoteni wenye akili Kama zako nao wanaombea Matajiri wanao milki Vitz nao wawe wanapigwa Kodi kubwa hadi washindwe kumiliki hizo vitz ili warudi kumiliki mkokoteni!!Maskini ndiyo mnapiga kelele kumtetea tajiri aliyeamua kununua gari la la kifahari la karibu sh milioni mia saba asilipe kodi! Huu ni unyumbu wa hali ya juu. Mimi nadhani mngeunga mkono serikali itoze kodi kubwa zaidi matajiri wanaotaka kufanya mambo ya kifahari na maskini kama wewe mpunguziwe kodi! Duniani kote magari ya kifahari au vitu vya kifahari kodi yake huwa kubwa.
Mungu anakimbia matatizo tena! Tena aliyoyaasisi yeye mwenyewe? Mungu gani weak hivyo, roho mbaya ndio msingi wa maendeleo ya dunia ya kale mpaka kesho… achana na siaza za dini kumrushia lawama shetani ingali una deal na mwanadamu… shetani/ Mungu ni theoretical work kwa wavivu kufikiria na waoga na kusonga mbele no matter the obstacles.Ndiyo kisa Mungu alimtupa duniani ili aungane na watu ambao hawatauona ufalme wa mbinguni!