robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
Uzuri v8 za wakubwa haziguswi, L/Cruiser na hilux 00km za vivuli vya dini haziguswi. Kweli aliyesema hii nchi ni tajiri hakukosea!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa ana hela ya kulipia ushuru hizo gari hata 20 ila kawaida ya matajiri hela Yao haitoki kirahisi kama kuna njia ya KUEPUKA Kodi lazima itumike.Hii bwana RRONDO ushuru wake anaumudu 🤠🤠 hutosikia kelele za TRAView attachment 2353334
Huyo jamaa ana hela ya kulipia ushuru hizo gari hata 20 ila kawaida ya matajiri hela Yao haitoki kirahisi kama kuna njia ya KUEPUKA Kodi lazima itumike.
NB: KUEPUKA Kodi ni halali kabisa, KUKWEPA Kodi ndio kosa la jinai.
Ubahili tuAisee watu wana hela sana.
Kwenye hio ushuru 300m sehemu kubwa ni VAT na kwasababu gari imesajiliwa na kampuni hela hio itarudi. TRA wanajitahidi kukusanya maanake wasipokaza wataambulia hela ya IST kwenye gari yenye thamani ya IST 50.Hata hao ZRA wanamkomalia kwasababu wanajua anaweza maliza hiyo hela, ila zenj gari kiabo watu wana zintumia kwa ushuru nusu nusu ule wa kulipa kidogo kidogo
Huyo ni mfanya biashara, na wasio wafanya biashara ( usajiri wake usio wa kampuni bali ni mtu binafsi) hela inarudi vipi? Mwisho wa siku mifumo yetu ya kodi si rafiki ni kandamizi, hatuna viwanda vya magari, lazima tununue nje, kodi zinabidi ziwe fair sio 5 kwa 3 hakuna uwianoKwenye hio ushuru 300m sehemu kubwa ni VAT na kwasababu gari imesajiliwa na kampuni hela hio itarudi. TRA wanajitahidi kukusanya maanake wasipokaza wataambulia hela ya IST kwenye gari yenye thamani ya IST 50.
Mimi ndiyo huwa nashangaa sana mfumo wetu wa kodi kwa vyombo vya moto (magari)..Kwamba hiyo USD 214,660 ambayo ni kama tsh 500,607,430 ndio iwe na kodi tsh 308,000,000?
Fair wewe unaona ni ngapi?Huyo ni mfanya biashara, na wasio wafanya biashara ( usajiri wake usio wa kampuni bali ni mtu binafsi) hela inarudi vipi? Mwisho wa siku mifumo yetu ya kodi si rafiki ni kandamizi, hatuna viwanda vya magari, lazima tununue nje, kodi zinabidi ziwe fair sio 5 kwa 3 hakuna uwiano
Hela chafu balaa.
Ikiwa 0.55B unanunulia gari tu, sasa pesa anazo kiasi gani?
Tafsiri yake ni kuwa, huyu kachoka kutumia gari za 50M, 100M nk nk
1/3 Inapendeza. Ila iwe na condition kutokana na thamani ya gari. Gari kuanzia thamani kiasi flani ifit hiyo 1/3 na zingine hata 1/4 zichezee humo humoFair wewe unaona ni ngapi?
Kigezo gani umetumia au utashi wako tu? Maanake hio 1/3 mwingine atasema kubwa. Kwa hio G wagon ushuru ungekuwa 150m hivi.1/3 Inapendeza. Ila iwe na condition kutokana na thamani ya gari. Gari kuanzia thamani kiasi flani ifit hiyo 1/3 na zingine hata 1/4 zichezee humo humo
Kigezo cha uagizaji na cha ki bishara. Unapata 308 moja kwa interval kubwa au 150 nyingi kwa mda wa ukaribu karibu?Kigezo gani umetumia au utashi wako tu? Maanake hio 1/3 mwingine atasema kubwa. Kwa hio G wagon ushuru ungekuwa 150m hivi.
Unafikiri hio ni G wagon ya kwanza kuingia Tz? Kama 300m anaona nyingi angeagiza gari nyingine. Kaagiza hio anajua nini atalipia.Kigezo cha uagizaji na cha ki bishara. Unapata 308 moja kwa interval kubwa au 150 nyingi kwa mda wa ukaribu karibu?
Baba yake ndio alitowa cash kuwakopesha Chadema ili kukodi ndege ya kumpeleka Lisu Nairobi kutibiwa., wana maboti na viwanda.Hatujui kuwa ni baraka au misheni town but ana mpunga for sure
Ushuru ungekuwa chini, kuna uwezekano wa kuwepo nyingi zaidi ya zilizopo. Na sio kwa Brabus peke yake hata kwa brand zingine ambazo ni latest zingekuwepo nyingi na za miaka ya hivi karibuniUnafikiri hio ni G wagon ya kwanza kuingia Tz? Kama 300m anaona nyingi angeagiza gari nyingine. Kaagiza hio anajua nini atalipia.
Yule nasikia alilipia 700 million.. Kama sipo sawa nitasahihishwa 🤠🤠Duh hiyo kodi balaa, wivu tu wamemkomalia.
Yule muzishyan Royce Royce alilipa ngapi?