Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari la Tshs 504,469,800.00Gari hilo lenye thamani ya Dola za Marekani 214,668.71, liliingizwa kupitia bandari ya Malindi na kampuni ya uwakala wa mizigo ya Kimataifa HT Motors Group LTD (UK) kwa kushirikiana na kampuni ya uwakala wa mizigo ya ZARA Freight Forwaders ya Malindi, Zanzibar.
Ndiyo maana nashangaa watu wanaoomboleza eti kwanini atozwe kodi kubwa.Nani kasema hivyo. Jamaa ana pesa za kutosha tu wiki hii hii inalipiwa yote
Haujui magari wewe, kaa kimya. G wagon hiyoGari yenyewe sura mbaya bei kubwa kodi mlima
Ushuru kandamizi hata kama wamepitisha, haku uwiano wa million mitano na miatatu.. Wataalamu wetu wa kodi warekebishe baadhi ya mambo.. Sie hatuzalishi magari lazima tununue nje.. Wamenichosha nilitaka na mie kuagiza la hivyo acha nitulie na ist yangu 🤠🤠🤠.. TRA wana mchezo wa kubadiri ushuru mala kwa malaChukua usd 214,660×2,300=555,818,000.
Yaani thamani ya gari ni nusu Billion.
Huo ushuru ni sahihi kwa mujibu wa Jini TRA
Hebu ona hapa chiniView attachment 2353107hiyo gari inauzwa usd 14,000 sawa na 32,000,000 lkn ushuru ni 41,00,00View attachment 2353108
Mwana acha kukazia basi na mie nataka agiza hilo, ebu tuteteeni wazalendo muwe mnayaona mengi mengi 🤠🤠🤠🤠🤠 kitu cha Brabus.. Dar paka mwanza masaa flani hivi nipo maeneo ya matukioHivi G-Wagon iwe tax exempted kwa Sababu gani hasa?
Nadhani hii nchi tuna utaahira fulani hivi
Acha kabisa, kuna mtu alinunua porsche panamera.. Alishindwa lipia ushuru limeishia kaa bonded warehouse 🤠🤠Hebu ona hapa chiniView attachment 2353107hiyo gari inauzwa usd 14,000 sawa na 32,000,000 lkn ushuru ni 41,00,00View attachment 2353108
Kuna watu huko Mgodini Geita wanasukuma ma ndinga kama hayo, wale jamaa nikiwaonaga na mm nasema kama ulivosema,kuna watu wanaishiWatu wanaishi aseeeh
Nisome vizuri ninachotetea usikurupuke tu kama huelewi uliza.Kudiscourage importations ya magari ya kifahari toka nje ni muendelezo wa akili za kimasikini nchini ni SAwa na Sheria ya ant dumping.
Una ant dumping nini SAsa wakati product yeyeto inaenda recycling baada ya matumizi yake kwisha.
Ant dumping principal ilikuwa na maana kabla ya ujio wa recycling industry.
Acha mindset ya kitoto hii Mkuu, watu wanapinga kodi za TRA kwa maslahi ya watu wote matajiri na masikini, hozo kodi ndio zinafanya tuendeshe vi IST,unadhani hatutamani kusukuma Range Rover ?Sahih kbsa walime Kodi haswa mambo ya kifahar ipigwe kod vzr
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwanini ume conclude hivyo?
Nimejikunjaaaaaa nimenunua virtz nasumbua kijiji kizima natembea na funguo mkononi kila niendakoHebu ona hapa chiniView attachment 2353107hiyo gari inauzwa usd 14,000 sawa na 32,000,000 lkn ushuru ni 41,00,00View attachment 2353108
Pinga pinga utawaweza?Umenene vyema sana mkuu watu Happ wanaongeaongea eti kod kubwa alfu gar imeagizwa kupitia kampuni
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Inasikitisha sna jmn mam Ni Bora uchukiwe na wote Ila kuwa na msimamo duh inchi hii Ina endeshwa kwa kelele na mlkila kitu kilalmikiweMnaopinga matajiri kulipa kodi, mbona wame distribute kodi kwa watu wote kwa njia ya tozo lakn mmepiga kelele hamtaki? Wafanyeje sasa kila kitu hamtaki?
Hii bwana RRONDO ushuru wake anaumudu 🤠🤠 hutosikia kelele za TRAView attachment 2353334machine ya aina bado sijafanikiwa kuiiona hapa nchini...... nafikiri bado ni za moto sana kwenye bei