Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Yeah. Huyu nahisi ni mtoto wa Tajiri wa Sukari Marehemu Turky, aliyekuwa Mbunge wa CCM akitokea Zanzibar.Aisee watu wana hela sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah. Huyu nahisi ni mtoto wa Tajiri wa Sukari Marehemu Turky, aliyekuwa Mbunge wa CCM akitokea Zanzibar.Aisee watu wana hela sana.
Hizi Kodi hazina mantiki,ni wizi mtupu kwa matajiri,maana hii Kodi sio kwamba inalinda viwanda vyetu vya magsri ya Benz,tungekuwa na kiwanda Cha magari hapa nyumbani,Ili kulinda viwanda vyetu basi unaweka Kodi kwa anayeamua kuagiza gari kutoka nje,sasa hiyo Kodi Haina maana,ni njia ya kuwakamua matajiri tuKodi yote hiyo????!!! Lengo la serikali ni nn? Kwann isiwe milioni 20 tu???
Mazingira rafiki ya ulipaji kodi yanafikiwaje namna hii?View attachment 2353083
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mfanyabishara maarufu wa Zanzibar, Toufiq Salum Turky, bado hajalipa Sh. milioni 308.5 za kodi kutokana na kuingiza gari la kifahari aina ya Benzi, Januari, mwaka huu.
Naibu Kamishina wa TRA Zanzibar, Juma Bakary Hassan, aliwaambia waandishi wa habari jana ofisini kwake, Kinazini, Unguja kuwa gari hilo ilingizwa na mfanyabishara huyo kupitia kampuni yake ya Mifuko Turky ya Zanzibar.
Juma alisema, kiwango hicho cha kodi kinatakiwa kulipwa baada ya maombi ya masamaha wa kodi kukataliwa mara mbili na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, Dk. Saada Mkuya Salum.
View attachment 2353084
“Baada ya maombi ya msamaha wa kodi kukataliwa mara mbili na kutakiwa alipe, waliomba kufanyike tathmini upya baada ya kutia shaka kiwango walichokuwa wanatakiwa kulipa kwamba ni kikubwa lakini hesabu ilikuja ile ile ya mwanzo kulingana na thamani ya gari,” alisema Juma.
Alisema, baada ya kutakiwa alipe, aliomba wapewe muda wa kulipa kidogo kidogo kwa madai hali ya kifedha si nzuri na kulazimika kupewa miezi mitatu kuanzia Mei hadi Agosti, mwaka huu.
“Mpaka muda unamalizika Agosti, amelipa Sh. milioni 138 na bado wanadaiwa Sh. milioni 170 kati ya Sh. milioni 308 .5 alizopaswa kulipa. Tunajiandaa kuhakikisha fedha hizo zinalipwa kupitia bodi ya dhamana aliyokuwa ameweka kwa kutumia taasisi moja ya fedha,” alisema.
Barua mbili za maombi ya msamaha wa kodi zilizotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa wa Mamlaka ya Uwekezaji Zanzibar (ZIPA), Sheriff Ali Sharif, ziliweka wazi kwamba, mdaiwa anapaswa kunufaika na msamaha wa kodi kupitia Kampuni ya Mifuko Turky kama mwekezaji.
Hata hivyo, maombi hayo yalikataliwa na Waziri Mkuya kwa sababu muda wa kunufaika kisheria ulikuwa umemalizika baada ya ujenzi wa kiwanda cha mifuko kuwa umekamilika na uzalishaji kuanza muda mrefu.
“Unaweza kunufaika na msamaha wa kodi kama mwekezaji wakati wa ujenzi wa mradi na si baada ya ujenzi kukamilika na uzalishaji unaendelea kufanyika,” alisema ofisa mmoja mwandamizi wa ZIPA.
Wakati hayo yakiendelea, Bodi ya Mapato Zanzibar ilishasajili gari hilo la kifahari na kutoa namba Z-1 kwa malipo ya Sh. milioni 15, na kuonekana likitembea barabarani kabla ya kukamilisha malipo ya kodi.
“Sisi tumesajili na kutoa namba kwa masharti gari lisitembee mpaka wakamilishe taratibu za kodi tukazo kutoa kibali cha umiliki wa gari,” alisema Meneja Uhusiano na Huduma kwa Walipakodi ZRB, Makame Mohammed Khamis.
Gari hilo lenye thamani ya Dola za Marekani 214,668.71, liliingizwa kupitia bandari ya Malindi na kampuni ya uwakala wa mizigo ya Kimataifa HT Motors Group LTD (UK) kwa kushirikiana na kampuni ya uwakala wa mizigo ya ZARA Freight Forwaders ya Malindi, Zanzibar.
Mkp mtu unanunua gar milinion Mia tano Kweli Kodi ikushibde mm nadhani magar y kifahari kwa nnchi zetu hz za kiafrica hazipazwi na mtu akiliingiza itozwwe Kodi sawasawa haswa hongera Zanzibar piga Kodi had akili iwakae saawa hao wanaonunua magar ya kifahar Mara nyingi ni wahujumu uchumi tu mm ningekuwa commissioner ningepiga mili400 kbsaKodi karibu na bei uliyonunulia, yaani upumbavu wetu umetufanya tuwe watumwa kwa misheria ya kijinga tuliyojiwekea wenyewe, kila kona ni hivyo hivyo tuu na mitozo isiyo na akili ndio maana hakuna siku tutaendelea
Hivi ni TRA au ZRA? Aliagizia bongo?Ama kweli TRA ni jini.
Hii kodi ni sawa kabisa. Gari la kifahari hili. Kama hana hizo fedha basi hata kumiliki hilo gari hapaswi. Makapuku wenzangu kama wewe badala ya kuunga mkono serikali inapotoza kodi kwa mambo ya kifahari ndiyo mnajifanya kupiga kelele. Huoni ni busara wanaotaka ufahari kulipa kodi ili makapuku kama wewe tozo ziondolewe?Kabisa yaani. We acha tu.
Maskini ndiyo mnapiga kelele kumtetea tajiri aliyeamua kununua gari la la kifahari la karibu sh milioni mia saba asilipe kodi! Huu ni unyumbu wa hali ya juu. Mimi nadhani mngeunga mkono serikali itoze kodi kubwa zaidi matajiri wanaotaka kufanya mambo ya kifahari na maskini kama wewe mpunguziwe kodi! Duniani kote magari ya kifahari au vitu vya kifahari kodi yake huwa kubwa.Kodi karibu na bei uliyonunulia, yaani upumbavu wetu umetufanya tuwe watumwa kwa misheria ya kijinga tuliyojiwekea wenyewe, kila kona ni hivyo hivyo tuu na mitozo isiyo na akili ndio maana hakuna siku tutaendelea
Alikuwa mwanaccm bora kabisa mwenye roho nzuri aliyemdhamini Tundu Lissu Ndege iliyompeleka Nairobi.Yeah. Huyu nahisi ni mtoto wa Tajiri wa Sukari Marehemu Turky, aliyekuwa Mbunge wa CCM akitokea Zanzibar.
Simple answer! Mwenye pesa!Ñajiuliza MBNA sis Huwa hatuchukui gar hadi tukamilishe Kodi, imekuaje ya akapewa na usajili juu...
Mm nadhni kwa magar ya kifahar kama lake walime Kodi na Kodi hyo Ni sahih kbsa aliyokadiriwaHuyo ni mbunge,mtoto wa marehemu Turky aka Mr White alirithi ubunge wa baba yake,baada ya baba yake kufa ,yeye na wabunge wenzake wanatakiwa walitazame hilo suala la kodi.Kodi haitakiwi iwe sawa au ikaribiane na thamani ya bidhaa.Wakati wa kutunga sheria wao wanapiga makofi tu na kupongeza matokeo yake ndiyo hayo.
View attachment 2353083
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mfanyabishara maarufu wa Zanzibar, Toufiq Salum Turky, bado hajalipa Sh. milioni 308.5 za kodi kutokana na kuingiza gari la kifahari aina ya Benzi, Januari, mwaka huu.
Naibu Kamishina wa TRA Zanzibar, Juma Bakary Hassan, aliwaambia waandishi wa habari jana ofisini kwake, Kinazini, Unguja kuwa gari hilo ilingizwa na mfanyabishara huyo kupitia kampuni yake ya Mifuko Turky ya Zanzibar.
Juma alisema, kiwango hicho cha kodi kinatakiwa kulipwa baada ya maombi ya masamaha wa kodi kukataliwa mara mbili na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, Dk. Saada Mkuya Salum.
View attachment 2353084
“Baada ya maombi ya msamaha wa kodi kukataliwa mara mbili na kutakiwa alipe, waliomba kufanyike tathmini upya baada ya kutia shaka kiwango walichokuwa wanatakiwa kulipa kwamba ni kikubwa lakini hesabu ilikuja ile ile ya mwanzo kulingana na thamani ya gari,” alisema Juma.
Alisema, baada ya kutakiwa alipe, aliomba wapewe muda wa kulipa kidogo kidogo kwa madai hali ya kifedha si nzuri na kulazimika kupewa miezi mitatu kuanzia Mei hadi Agosti, mwaka huu.
“Mpaka muda unamalizika Agosti, amelipa Sh. milioni 138 na bado wanadaiwa Sh. milioni 170 kati ya Sh. milioni 308 .5 alizopaswa kulipa. Tunajiandaa kuhakikisha fedha hizo zinalipwa kupitia bodi ya dhamana aliyokuwa ameweka kwa kutumia taasisi moja ya fedha,” alisema.
Barua mbili za maombi ya msamaha wa kodi zilizotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa wa Mamlaka ya Uwekezaji Zanzibar (ZIPA), Sheriff Ali Sharif, ziliweka wazi kwamba, mdaiwa anapaswa kunufaika na msamaha wa kodi kupitia Kampuni ya Mifuko Turky kama mwekezaji.
Hata hivyo, maombi hayo yalikataliwa na Waziri Mkuya kwa sababu muda wa kunufaika kisheria ulikuwa umemalizika baada ya ujenzi wa kiwanda cha mifuko kuwa umekamilika na uzalishaji kuanza muda mrefu.
“Unaweza kunufaika na msamaha wa kodi kama mwekezaji wakati wa ujenzi wa mradi na si baada ya ujenzi kukamilika na uzalishaji unaendelea kufanyika,” alisema ofisa mmoja mwandamizi wa ZIPA.
Wakati hayo yakiendelea, Bodi ya Mapato Zanzibar ilishasajili gari hilo la kifahari na kutoa namba Z-1 kwa malipo ya Sh. milioni 15, na kuonekana likitembea barabarani kabla ya kukamilisha malipo ya kodi.
“Sisi tumesajili na kutoa namba kwa masharti gari lisitembee mpaka wakamilishe taratibu za kodi tukazo kutoa kibali cha umiliki wa gari,” alisema Meneja Uhusiano na Huduma kwa Walipakodi ZRB, Makame Mohammed Khamis.
Gari hilo lenye thamani ya Dola za Marekani 214,668.71, liliingizwa kupitia bandari ya Malindi na kampuni ya uwakala wa mizigo ya Kimataifa HT Motors Group LTD (UK) kwa kushirikiana na kampuni ya uwakala wa mizigo ya ZARA Freight Forwaders ya Malindi, Zanzibar.h
Hela ndogo sana Kwa Toufiq,nadhani Kuna siasa za kuchafuana hapa.View attachment 2353083
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mfanyabishara maarufu wa Zanzibar, Toufiq Salum Turky, bado hajalipa Sh. milioni 308.5 za kodi kutokana na kuingiza gari la kifahari aina ya Benzi, Januari, mwaka huu.
Naibu Kamishina wa TRA Zanzibar, Juma Bakary Hassan, aliwaambia waandishi wa habari jana ofisini kwake, Kinazini, Unguja kuwa gari hilo ilingizwa na mfanyabishara huyo kupitia kampuni yake ya Mifuko Turky ya Zanzibar.
Juma alisema, kiwango hicho cha kodi kinatakiwa kulipwa baada ya maombi ya masamaha wa kodi kukataliwa mara mbili na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, Dk. Saada Mkuya Salum.
View attachment 2353084
“Baada ya maombi ya msamaha wa kodi kukataliwa mara mbili na kutakiwa alipe, waliomba kufanyike tathmini upya baada ya kutia shaka kiwango walichokuwa wanatakiwa kulipa kwamba ni kikubwa lakini hesabu ilikuja ile ile ya mwanzo kulingana na thamani ya gari,” alisema Juma.
Alisema, baada ya kutakiwa alipe, aliomba wapewe muda wa kulipa kidogo kidogo kwa madai hali ya kifedha si nzuri na kulazimika kupewa miezi mitatu kuanzia Mei hadi Agosti, mwaka huu.
“Mpaka muda unamalizika Agosti, amelipa Sh. milioni 138 na bado wanadaiwa Sh. milioni 170 kati ya Sh. milioni 308 .5 alizopaswa kulipa. Tunajiandaa kuhakikisha fedha hizo zinalipwa kupitia bodi ya dhamana aliyokuwa ameweka kwa kutumia taasisi moja ya fedha,” alisema.
Barua mbili za maombi ya msamaha wa kodi zilizotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa wa Mamlaka ya Uwekezaji Zanzibar (ZIPA), Sheriff Ali Sharif, ziliweka wazi kwamba, mdaiwa anapaswa kunufaika na msamaha wa kodi kupitia Kampuni ya Mifuko Turky kama mwekezaji.
Hata hivyo, maombi hayo yalikataliwa na Waziri Mkuya kwa sababu muda wa kunufaika kisheria ulikuwa umemalizika baada ya ujenzi wa kiwanda cha mifuko kuwa umekamilika na uzalishaji kuanza muda mrefu.
“Unaweza kunufaika na msamaha wa kodi kama mwekezaji wakati wa ujenzi wa mradi na si baada ya ujenzi kukamilika na uzalishaji unaendelea kufanyika,” alisema ofisa mmoja mwandamizi wa ZIPA.
Wakati hayo yakiendelea, Bodi ya Mapato Zanzibar ilishasajili gari hilo la kifahari na kutoa namba Z-1 kwa malipo ya Sh. milioni 15, na kuonekana likitembea barabarani kabla ya kukamilisha malipo ya kodi.
“Sisi tumesajili na kutoa namba kwa masharti gari lisitembee mpaka wakamilishe taratibu za kodi tukazo kutoa kibali cha umiliki wa gari,” alisema Meneja Uhusiano na Huduma kwa Walipakodi ZRB, Makame Mohammed Khamis.
Gari hilo lenye thamani ya Dola za Marekani 214,668.71, liliingizwa kupitia bandari ya Malindi na kampuni ya uwakala wa mizigo ya Kimataifa HT Motors Group LTD (UK) kwa kushirikiana na kampuni ya uwakala wa mizigo ya ZARA Freight Forwaders ya Malindi, Zanzibar.
Nchi za kiafrika zitaendelea baada ya miaka mingi sana kupita! Yaana mpaka hawa wapumbavu wachache na vizazi vyao vyote kuisha.View attachment 2353083
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mfanyabishara maarufu wa Zanzibar, Toufiq Salum Turky, bado hajalipa Sh. milioni 308.5 za kodi kutokana na kuingiza gari la kifahari aina ya Benzi, Januari, mwaka huu.
Naibu Kamishina wa TRA Zanzibar, Juma Bakary Hassan, aliwaambia waandishi wa habari jana ofisini kwake, Kinazini, Unguja kuwa gari hilo ilingizwa na mfanyabishara huyo kupitia kampuni yake ya Mifuko Turky ya Zanzibar.
Juma alisema, kiwango hicho cha kodi kinatakiwa kulipwa baada ya maombi ya masamaha wa kodi kukataliwa mara mbili na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, Dk. Saada Mkuya Salum.
View attachment 2353084
“Baada ya maombi ya msamaha wa kodi kukataliwa mara mbili na kutakiwa alipe, waliomba kufanyike tathmini upya baada ya kutia shaka kiwango walichokuwa wanatakiwa kulipa kwamba ni kikubwa lakini hesabu ilikuja ile ile ya mwanzo kulingana na thamani ya gari,” alisema Juma.
Alisema, baada ya kutakiwa alipe, aliomba wapewe muda wa kulipa kidogo kidogo kwa madai hali ya kifedha si nzuri na kulazimika kupewa miezi mitatu kuanzia Mei hadi Agosti, mwaka huu.
“Mpaka muda unamalizika Agosti, amelipa Sh. milioni 138 na bado wanadaiwa Sh. milioni 170 kati ya Sh. milioni 308 .5 alizopaswa kulipa. Tunajiandaa kuhakikisha fedha hizo zinalipwa kupitia bodi ya dhamana aliyokuwa ameweka kwa kutumia taasisi moja ya fedha,” alisema.
Barua mbili za maombi ya msamaha wa kodi zilizotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa wa Mamlaka ya Uwekezaji Zanzibar (ZIPA), Sheriff Ali Sharif, ziliweka wazi kwamba, mdaiwa anapaswa kunufaika na msamaha wa kodi kupitia Kampuni ya Mifuko Turky kama mwekezaji.
Hata hivyo, maombi hayo yalikataliwa na Waziri Mkuya kwa sababu muda wa kunufaika kisheria ulikuwa umemalizika baada ya ujenzi wa kiwanda cha mifuko kuwa umekamilika na uzalishaji kuanza muda mrefu.
“Unaweza kunufaika na msamaha wa kodi kama mwekezaji wakati wa ujenzi wa mradi na si baada ya ujenzi kukamilika na uzalishaji unaendelea kufanyika,” alisema ofisa mmoja mwandamizi wa ZIPA.
Wakati hayo yakiendelea, Bodi ya Mapato Zanzibar ilishasajili gari hilo la kifahari na kutoa namba Z-1 kwa malipo ya Sh. milioni 15, na kuonekana likitembea barabarani kabla ya kukamilisha malipo ya kodi.
“Sisi tumesajili na kutoa namba kwa masharti gari lisitembee mpaka wakamilishe taratibu za kodi tukazo kutoa kibali cha umiliki wa gari,” alisema Meneja Uhusiano na Huduma kwa Walipakodi ZRB, Makame Mohammed Khamis.
Gari hilo lenye thamani ya Dola za Marekani 214,668.71, liliingizwa kupitia bandari ya Malindi na kampuni ya uwakala wa mizigo ya Kimataifa HT Motors Group LTD (UK) kwa kushirikiana na kampuni ya uwakala wa mizigo ya ZARA Freight Forwaders ya Malindi, Zanzibar.
Kweli. Na hakuficha kuhusu hilo. Tena alisema kuwa hakulipia pesa kama inavyosemwa bali aliwadhamini Chadema kwa mdomo tu wapewe ndege watalipa baadae. Na Chadema hawakumwangusha Mzee huyu aliyependa kuvaa nguo nyeupe muda mwingi.Alikuwa mwanaccm bora kabisa mwenye roho nzuri aliyemdhamini Tundu Lissu Ndege iliyompeleka Nairobi.
Let the family be blessed
Inabidi hayo magar yachomwe Moto pindi yanavyoonekana barabarani hkn namna watayakimbia magari ya anaza na kubaki na mkonge tu zile za zamaniKesi hii inafaa pia kutoa mwanga wa gharama za magari ya kifahari ambayo vigogo wa serikali hulilia kununuliwa ili waende na wanachoita 'hadhi' yao wakati nchi na wananachi wake ni masikini wa kutupwa.
Lakini ukweli ni kuwa viongozi vigogo wa serikali kuu, mikoa na wilaya wanataka kufanana na mabilionea ambao wananunua kwa pesa zao lakini vigogo wa serikali wanatumia fedha za wananchi kujifariji.
Tanzania ina mikoa zaidi 31 hivyo ni wakuu wa mikoa wenye magari ya kifahari ni 31. Mikoa ina maRAS 31 hivyo magari. Mikoa ina jumla ya magari 62 kwa vigogo wa mikoa.
Tanzania ina wakuu wa wilaya 184 hivyo magari wa kifahari kwa maDC ni 184. Wilaya zina maDED 184 hivyo vigogo wa wilaya kwa ujumla wao wana magari 184x2= 368
Tukiongeza na makatibu wakuu, manaibu katibu wakuu, viongozi wa tume, majaji, wakurugenzi n.k
Serikali inatumia shilingi siyo chini ya 200,000,000,000 hapa kwa ni kwa uchache ajili ya viongozi kununuliwa magari lakini gharama inaweza kufikia nusu triliioni shilingi za kiTanzania.
REJEA CASE YA GARI LA MKURUGENZI WA HALMASHAURI
Geita: Mwenyekiti aomba gari lililochukuliwa na TAMISEMI kurejeshwa
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Geita Constantine Morandi ameiomba Jumuiya ya Serikali za amitaa Nchini ALAT kusaidia kurejeshwa kwa gari la Mkurugenzi ambalo lilinunuliwa mwaka 2020 kwa shilingi milioni 400 kurudishwa Ili lifanya kazi kama ilivyotarajiwa. Gari hilo lilichukuliwa na...www.jamiiforums.com
Kweli. Na hakuficha kuhusu hilo. Tena alisema kuwa hakulipia pesa kama inavyosemwa bali aliwadhamini Chadema kwa mdomo tu wapewe ndege watalipa baadae. Na Chadema hawakumwangusha Mzee huyu aliyependa kuvaa nguo nyeuoe muda mwingi.
Kwa gara za kifahar zenye cc 2500 + Kodi iwe maradufu isipo kuwa kwa malorryKama taifa hii ni kasoro kubwa,tumerithi mfumo wa kodi kandamizi kutoka mfumo wa kijamaa,mpaka leo kumiliki gari inatafsiriwa (Sheria ya kodi)kuwa ni anasa.
Gari ni vyombo muhimu katika kuharakisha shughuli za kiuchumi.
Wizara ya fedha ione UMUHIMU wa kutafsiri gari kuwa sio anasa Bali ni muhimu hata mwananchi wa kawaida kumiliki.
Tujifunze kwenye boda boda, zimesaidia ajira,mafuta kununuliwa na hivyo kuchangia kodi kwa wingi.
Makusanyo ya Kodi kutokana na uagizaji magari haijawahi kuzidi makusanyo ya kodi ya bia na sigara bado TRA hamjifunzi kuwa tupunguze kodi magari yaagizwe kwa wingi ili tupate kodi mara 2(kodi kwenye uagizaji na kodi ya mafuta wakati matumizi ya gari).
Tulivyokubali kuruhusu boda boda uchumi wa vijana na ajira uliongezeka.Umeme na maji tunapeleka vijijini kinachofuata ni kuendelea kumletea mwananchi unafuu wa kumiliki vyombo vya moto(punguzo la kodi iwe kwa magari chini ya cc 3000).
Wizara ya fedha rekebisheni viwango vya tozo(import duty),ili tufikie uchumi wa kati mapema zaidi.
Fanyeni tathimini idadi ya wamiliki wa magari ikiongezeka na matumizi ya mafuta ya kiongezeka,pato litaongezeka!
1.Angalau kwenye kila kijiji chenye kaya 200 ,kaya 30 zimiliki gari, kwanini hatuangalii namna ya kuleta unafuu wa maisha hadi kijijini lengo ni kupata mchango wa kiuchumi utokee kijijini kwa kumiliki na kutumia vyombo vya moto.
2.Hizi nchi za kiafrika zinazotuzidi kiuchumi,wao kodi ya uagizaji magari ipo vipi?
3.Kwa nini kodi na tozo zilingane na gharama ya kununua gari?hii ni aibu kwa zama hizi za sasa,hii ifanyiwe kazi tuondoe aibu hii,tunaonekana kama hatuna ubunifu na mbinu sahihi za kutoza kodi.
Bas pengine wanamkomoa kwann Bab ake alimuokoa lissuPlivate jet yao ndo iliyompeleke Tundu Lisu Nairobi alipopigwa Risasi na Wasiojulikana
Prado j150 enyewe ni mil 40 Kodi latest hiziKodi yote hiyo????!!! Lengo la serikali ni nn? Kwann isiwe milioni 20 tu???