melusine8
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 6,299
- 7,746
Huyo jamaa amebarikiwa sana aisee. Ni pesa ndefu mno.
Mkorofi sana usiombe kukutana naye walahi [emoji35]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa amebarikiwa sana aisee. Ni pesa ndefu mno.
Ni mmiliki wa kampuni ya VIGOR GROUP ( Golden Tulip stone town na ile ya posts mpya , Wana V-gas, V Cement n.k) na pia ni mbunge wa jimba la Mpendae. I short pesa ipoHuyo jamaa amebarikiwa sana aisee. Ni pesa ndefu mno.
Kodi karibu na bei uliyonunulia, yaani upumbavu wetu umetufanya tuwe watumwa kwa misheria ya kijinga tuliyojiwekea wenyewe, kila kona ni hivyo hivyo tuu na mitozo isiyo na akili ndio maana hakuna siku tutaendelea
Ndo maana hatuendelei, hela inayotozwa Kodi ni kubwa kuliko faida waliyopata waliotengeneza Hilo gari,Inawezekana. Tanzania Kodi huwa inakaribia kuwa sawa na thamani ya bidhaa
Kodi Ni kubwa Sana,inakaribiana na thamani ya gari, kwann isingekuwa hata milion Mia tu.Chukua usd 214,660×2,300=555,818,000.
Yaani thamani ya gari ni nusu Billion.
Huo ushuru ni sahihi kwa mujibu wa Jini TRA
Hi hatari kubwa sanaHebu ona hapa chiniView attachment 2353107hiyo gari inauzwa usd 14,000 sawa na 32,000,000 lkn ushuru ni 41,00,00View attachment 2353108
Si tunalinda viwanda vyetu vya kutengeneza Magari,kuna kile kinachotengeneza gari aina Nyumbu na kingine kiwanda kipya Cha Masoud Kipanya! Ndiyo mnatakiwa mkanunuwe huko,umkileta Magari kutoka nje mtapigwa sana kwenye Kodi hadi wenyewe mtakimbilia kununua Nyumbu au kile kigari cha Kipanya!!![emoji3][emoji2][emoji1][emoji38]Tax unazotakiwa kulipa ukiingiza gari Tanzania ni Import duty, excise duty, excise duty based on age, VAT, registration, rushwa etc hii ni kukomoana au nini? huu ni zaidi ya uwendawazimu...unalipa tax zaidi ya bei uliyonunulia
Kwamba hiyo USD 214,660 ambayo ni kama tsh 500,607,430 ndio iwe na kodi tsh 308,000,000?
jeuli ya pesa, na alipe tu
Dola za Marekani 214,668.71= 500, 607,431.72 Mshana Jr mnaojua taratibu za kodi is he to pay all that kodi, is it the right kodi?
Mimi naona ufahari upo. Kulikuwa kuna sababu gani ya kununua mgari wa bei mbaya hivyo wakati gari za bei rahisi zipo na zingeweza kufanya kazi ile ile ukizingatia hiyo gari imenunuliwa kwa matumizi ya kampuni na itapata depreciation allowance kwenye ukokotoaji wa kodi mwishoni mwa kila mwaka wa mapato.Labda na kodi zingine. Hio benzi Ina kipi ziada cha kuitwa gari ya kifahari hata kodi yote hio
Kudiscourage importations ya magari ya kifahari toka nje ni muendelezo wa akili za kimasikini nchini ni SAwa na Sheria ya ant dumping.Mimi naona ufahari upo. Kulikuwa kuna sababu gani ya kununua mgari wa bei mbaya hivyo wakati gari za bei rahisi zipo na zingeweza kufanya kazi ile ile ukizingatia hiyo gari imenunuliwa kwa matumizi ya kampuni na itapata depreciation allowance kwenye ukokotoaji wa kodi mwishoni mwa kila mwaka wa mapato.
Ni njia moja wapo ya kudiscourage importation za aina hiyo na kuokoa fedha za Serikali ambazo zingekuwa exempted through depreciation allowances kwa huyo mfanyabiashara au investor.
aiseeGari hilo lenye thamani ya Dola za Marekani 214,668.71
Dah kwa hiyo jamaa anatembealea gari la 0.9billion.Chukua usd 214,660×2,300=555,818,000.
Yaani thamani ya gari ni nusu Billion.
Huo ushuru ni sahihi kwa mujibu wa Jini TRA
Umeiona thamani ya gari lakini? Yaani kwako wewe ni sawa kwa Ronaldo kulipa kodi sawa na Mdhungu wa Thimba?Kodi yote hiyo????!!! Lengo la serikali ni nn? Kwann isiwe milioni 20 tu???
Una kichaa weweMimi naona ufahari upo. Kulikuwa kuna sababu gani ya kununua mgari wa bei mbaya hivyo wakati gari za bei rahisi zipo na zingeweza kufanya kazi ile ile ukizingatia hiyo gari imenunuliwa kwa matumizi ya kampuni na itapata depreciation allowance kwenye ukokotoaji wa kodi mwishoni mwa kila mwaka wa mapato.
Ni njia moja wapo ya kudiscourage importation za aina hiyo na kuokoa fedha za Serikali ambazo zingekuwa exempted through depreciation allowances kwa huyo mfanyabiashara au investor.
Kwa matumizi binafsi ya gari ambayo si ya kifahari siungi mkono hoja.
Agiza gari la million kumi uone Kodi inakuja sh ngapi?? Inazidi hata bei ya kulifikisha dar au zanzibar.. sembuse Hilo jipya