TRA yafafanua ongezeko la ushuru wa magari

We ndo punda kabisaaa maana vanguard ya mwaka huo ni kama mtangulizi alivyosema wewe hata hujaingia kwenye website unaleta ujinga
Uongo huo ingia kwenye website ya TRA uweke chassis number ya gari yako hiyo Vanguard uone kodi unayotakiwa kulipa acha uongo au hata gari huna!!
 
Nini kinatokea kwamba taifa linategemea kodi hii sana kuliko vyanzo vingine vya mapato
si wanajua wabongo wanapenda sana magari kwa gharama yeyote, so wame capitalize kwenye huo udhaifu wetu.
 
Usisahau bunge pia ni la kwao
 
Jamani ... Toyota Harrier 2006 kodi imeongezeka kwa kiasi gani ????
 
Serikali ya wanyonge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…