TRA yafafanua ongezeko la ushuru wa magari

TRA yafafanua ongezeko la ushuru wa magari

Serikali inapata faida kubwa kwenye magari kuliko waliotengeneza. Ukiwekeza kiwanda cha kutengeneza magari hapa, wanaweza kukuombea ufe manake utakuwa unawakosesha riziki.
 
... Mkuu style ya ufanyaji kazi ya TRA ni kuviziana; kushindwa kwa mlipa kodi ndio fahari yao. Na usikute wamelia timing makusudi kipindi hiki ili wanase wengi kwani kule Japan Novemba na Desemba ni kipindi wanaita BIG SALE.

Wana clear stock zao wanauza kwa bei chee so wabongo wengi wanavizia pia msimu huo. Kumbe monster mfilisi wananchi anawacheki tu kwa jicho baya la husda. Na atanasa wengi.
Taifa gumu hili kutoboa, tutabaki wote masikini, tutazidiana kitu kidogo tu
 
... Mkuu style ya ufanyaji kazi ya TRA ni kuviziana; kushindwa kwa mlipa kodi ndio fahari yao. Na usikute wamelia timing makusudi kipindi hiki ili wanase wengi kwani kule Japan Novemba na Desemba ni kipindi wanaita BIG SALE.

Wana clear stock zao wanauza kwa bei chee so wabongo wengi wanavizia pia msimu huo. Kumbe monster mfilisi wananchi anawacheki tu kwa jicho baya la husda. Na atanasa wengi.
Taifa gumu hili kutoboa, tutabaki wote masikini, tutazidiana kitu kidogo tu
 
Nilikuwa na mpango wa kuuza haka kakiberenge na kuagiza kengine. Nimebadili mawazo nitakomaa nako hadi mambo yatakapokuwa sawa.
 
We acha tu, ndo naikokotoo kwenye website ya TRA hapa, nimeishiwa nguvu!

Niwe mkweli sijui kama ataweza jamaa, sijui[emoji134][emoji134][emoji1751]...yaaan ni balaa

Ngoja nikuletee screenshot ya hiyo kodi now....


Update..

Hiyo hapo chini nilibargain na wajapa wakatushushia hadi 16000 USD ( mwanzo walikomaa na 19000)

Sasa basi mpaka hili ndinga litue hapa total amount ilikuwa tsh 52m, kodi sasa imeongezeka hapo 11m 52+ 11= 63m

Pa kuipata hiyo 11m ndo komesha

Na hujahesabu wharfage hapo ili abananishe angalau ka mkopo huku na kule, sijui kwa kweli sijui[emoji1751][emoji1751][emoji134]View attachment 1673419View attachment 1673420
Dadekii wataua watu dahh
 
Roho mbaya ...gari sio chombo cha anasa ni kitendea kazi kama penseli ...maroho ya kimaskini shida sana....
 
Asante kwa tusi langu Mungu akuongezee hekima ili uwe unajibu kwa hekima! Ongezeko limekuja wakati huyo mtu wako hajalipa hiyo kodi hivyo mfano wako haiendani. Vehicle valuation inabadirika kila ikifika mwanzo mwa mwaka.
Halali ya kutukanwa...mmeja roho mbaya na UPUMBAVU wa maroho ya kimaskni....gari ni kama penseli au kitendea kazi na wala sio ANASA....noomyelilesana
 
Kuna wengi sana ambao hili litawakumba hasa waliokopa ili waagize vyuma maana wengi hupukutisha account 😂😂😂 unakuta mtu kakomba hela zote kwenye account kabakisha mill.4 tu
Suluhisho ni kufufua magari ya zamani.
 
Asante kwa tusi langu Mungu akuongezee hekima ili uwe unajibu kwa hekima! Ongezeko limekuja wakati huyo mtu wako hajalipa hiyo kodi hivyo mfano wako haiendani. Vehicle valuation inabadirika kila ikifika mwanzo mwa mwaka.
Ibadirika mwanzoni mwa mwaka kwa bajeti ipi ya bunge? CCM acheni uwendawazimu aisee.
 
Kwa wenzangu tuliolowea kwenye magari ya mzungu tunawaambia wakaze tu na sisi tutakaza tunavyojua hapo TRA wataendelea kutuona nayo road kama kawa. Mi5 tena
 
Kodi ya gari ndogo IST imeongezeka kwa wastani wa Tsh 1,800,000.

Mwaka jana gari IST kodi yake ilikuwa watani wa Tsh 4,708,662 lakini kuanzia January mwaka huu 2020 kodi yake ni Wastani wa Tsh 6,441,722.
20210110_154308.jpg
Screenshot_20210110-153845_DU%20Browser.jpg
 
Usione watu wanazungumza peke yao 🤣 🤣barabarani ukadhani ni wehu!?
 
Asante kwa tusi langu Mungu akuongezee hekima ili uwe unajibu kwa hekima! Ongezeko limekuja wakati huyo mtu wako hajalipa hiyo kodi hivyo mfano wako haiendani. Vehicle valuation inabadirika kila ikifika mwanzo mwa mwaka.
We jamaa ka mkumer vile! Nimekusoma tangu mwanzo upumbavu wako naona bado unatiririkia humo humo tu mbwa we
 
Washauri wa waziri mpango wangekua na akili kama zako nchi ingesonga mbele sana
Binafsi nahisi kupima ubora wa gari kwa kuzingatia miaka ni technologia iliyopitwa na wakati
Haiingii akilini eti mtu aagize gari ndogo (mf: premio ) ya mwaka 2005 lenye kms 30,000 ionekane imechakaa au itachafua mazingira kuliko Premio ya mwaka 2013 iliyo tembea kms 320,000+ ambayo kwa mafundi wanao jua magari vizuri wanajua kuwa Engine ndogo ikifikia hizo kms zaidi ya laki tatu imesha chakaa, na inaweza kutoa moshi kama trekta......
Lakini pia hii yaweza kushawishi watu kuagiza magari chakavu kwa kuangalia mwaka na sio ubora....
 
Back
Top Bottom