mliverpool
JF-Expert Member
- Jan 6, 2015
- 1,565
- 2,944
Kwani kuna kodi mpya imeanzishwa kumiliki hela nyingi??Tatizo ni siasa, kodi ilipwe
Kwa sasa TRA wanafatilia account zote zenye pesa nyingi ila kodi hawalipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna kodi mpya imeanzishwa kumiliki hela nyingi??Tatizo ni siasa, kodi ilipwe
Kwa sasa TRA wanafatilia account zote zenye pesa nyingi ila kodi hawalipi
Wapambe wa mundi naona mnampambania.Kwa zamu wakati wafanyabiashara wengine wanalia awamu ya 5 ye alikuwa ametulia ndiyo mana tunasema mwenzako anapotendewa sivyo usikae kimya paza sauti ili wakati ujao ikitokea kwako tupaze sauti pamoja.Ama kwa hakika uonevu na unyama huu uliofanyika na taasisi kubwa ya serikali yani TRA sio wa kufumbiwa macho.
Imepora sh million 700 kwenye akaunti binafsi za msanii Diamond Platnumz.
Hii imefanya Diamond aamue kulalamika baada ya uonevu huu kuzidi.
Haya mambo ndio yanafanya watu waichukie serikali ya Mama Samia sababu kuna watendaji wanamchonganisha na raia.
Mama Samia tunaomba uingilie kati tuondolee huyo DG wa TRA.
ewaaaaa.Ccm Hoyee
Kazi Iendelee
Let's video ya Mondi hapa tumuone na sisi akiwa analalamikia huyu Bi Husna kwa kumkwapua Million 700 bila tozo
TRA Tegeta wanashida sana. Ni wasumbufu sana kwa wafanyabiashara, na ni waonevu sana.Kasema mwenyewe Mond na kamtaja mpala Meneja wa TRA Tegeta Bi Husna kuwa alimlalamikia sana mpk mwisho wa siku Husna hakuwa anapokea simu
Jamaa anapenda lia likija swala la kodi.Mwambie alipe kodi,
Na muendele kuanika maburungutu
Yenu,macheni yenu mtandaoni
Ohh sijui nmenunua Mali za mln 300,700 sjui nmetoboa pua nmelipa mln 10,lipeni kodi
Ova
Ukiona wameidaka kubwa hivyo maana yake wanakudai kikubwa, hapo wanasubiria uende watakwambia nenda kakate rufaa, ukishindwa wanachukua pesa.Aisee huwa wanafyeka pia. Labda kama siku hizi wameacha
Huyo mama sindiyo alikuwa anawadanganya watu kuwa JPM alikuwa anapora mali za watu wasio na hatia kwa mtindo huo ...ila sasa ukweli utajulikana kwa sasa wazawa ndiyo wanao porwa mali kwa mtindo ule ule walio ukashifu huku mafisadi wakina singasinga, rostam gsm ,pateri, kuchubai, osman, nk wanakula bata kwa kutumia pesa za serikali watakavyo kisa siyo watu weusiAma kwa hakika uonevu na unyama huu uliofanyika na taasisi kubwa ya serikali yani TRA sio wa kufumbiwa macho.
Imepora sh million 700 kwenye akaunti binafsi za msanii Diamond Platnumz.
Hii imefanya Diamond aamue kulalamika baada ya uonevu huu kuzidi.
Haya mambo ndio yanafanya watu waichukie serikali ya Mama Samia sababu kuna watendaji wanamchonganisha na raia.
Mama Samia tunaomba uingilie kati tuondolee huyo DG wa TRA.
Acha roho mbaya na wivu WA kimasikiniNdo matokeo ya upuuzi wenu na ushamba.
Mara nanunua ndege,mara royce royce 2, mara mil 94 cheni, mara nna hela najjlikana,
Huku lofa mwingine anaiga ,nahonga range 2, mara nantombe mama na ntoto, mara nna ghorofa.
Mafisi yanawasoma tu huko ofisini yanapiga hesabu.
Sallam kashanusa soo lililoko mbele ndo mana kakaa "mguu tegua"
Hawana ruhusa ya kubeba hela tu kwenye account. Tribunal au mahakama ndio yenye uwezo wa kuchukua mali ya mtu baada ya kushinda kesi. Waache uonevu. Toa demand tubishane mshindi apatikane. They cant just forfeit peoples money.Ukiona wameidaka kubwa hivyo maana yake wanakudai kikubwa, hapo wanasubiria uende watakwambia nenda kakate rufaa, ukishindwa wanachukua pesa.
Usipoenda wanachukua pia
Sio kusuluhisha kwakua hakuna ugomvi, bali ameitwa ofisini apewe ufafanuzi juu ya kodi aliyokwepa na kupelekea account zake kufungwa ingawa tayari alishapewa ufafanuzi huo kwa njia ya maandishi.TRA, imeshatoa maelezo yake, infact hakuna uporaji, ni uzushi tu, bodi na bodi zitakaa kusuluhisha na yatakwisha bila shida.
Mwanasheria wake ndiyo yule Ricardo Momo??KWANI WANASHERIA WAKE WANASEMAJE?
Hakuna mtu amewahi shinda kesi dhidi ya TRAHawana ruhusa ya kubeba hela tu kwenye account. Tribunal au mahakama ndio yenye uwezo wa kuchukua mali ya mtu baada ya kushinda kesi. Waache uonevu. Toa demand tubishane mshindi apatikane. They cant just forfeit peoples money.
Angewekeza hizo nguvu kwenye kunya angeshakunya Hadi Moyo wake akafa kabisaMzee unapambana nae tangu najiunga jf hauchoki na jamaa anazid barikiwa. Kuna kitu hutaki jifunza kuhusu maisha chuki zimekuzidi nguvu
AristoooooteMwanasheria wake ndiyo yule Ricardo Momo??
Maslahi ya kununua lc300 maana pesa za vyoo tunakopa , miradi tunakopa nchi haina mwelekeo ile Hiroshima ingepigwa huku tupate akiliWanalazimisha watu kuficha fedha zao nje ya nchi.ni rahisi sana kuweka fedha zako nje ya nchi na kuzitumia nchini.Hasa kwa sasa ambapo techonologia ya miamala imekuwa..
Ila pia ukwepaji kodi ni uhujumu uchumi.Kama kuna kodi imekwepwa na ndugu Diamond basi Walichofanya TRA kwake ni kwa maslahi mapana ya nchi
😁😁 FinishedInawezekana ukawa huzijui CCTV Camera brother! Nimekuletea maana hujui kama kuna CCTV CAMERA na CCTV FOOTAGE
Una akili timamu? Kwamba hio pesa inakaa ndani na ulitaka zirekodiweMkuu hizo hizo wewe onyesha hapa hizo video za CCTV zikimuonyesha Bi Husna akipakua Million 700 za Mondi km huna kaa kimya
Huyo Kijana alikuwa anakwepa Kodi enzi za Mwendakuzimu kisa tu anaimba na kufanya Kampeni za Mwendakuzimu na CCM, Mpaka wakawa wanapigiana simu usiku kwenye Matamasha.Ama kwa hakika uonevu na unyama huu uliofanyika na taasisi kubwa ya serikali yani TRA sio wa kufumbiwa macho.
Imepora sh million 700 kwenye akaunti binafsi za msanii Diamond Platnumz.
Hii imefanya Diamond aamue kulalamika baada ya uonevu huu kuzidi.
Haya mambo ndio yanafanya watu waichukie serikali ya Mama Samia sababu kuna watendaji wanamchonganisha na raia.
Mama Samia tunaomba uingilie kati tuondolee huyo DG wa TRA.