INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
Mwaka huu kazi kazi. Tukiwa kwenye majonzi ya kodi ya nyumba hasa kwa wale wanaoishi kwenye maghorofa, TRA inawataka wafanyabiashara kusajili store zenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawaonea huruma wateja wangu wa Kariakoo. Hii taarifa imewatarget wao.Mdogo mdogo tutafika tu,
hatari sanaDuh! Itabidi wengine wahifadhi kwenye mahandaki maana si kwa ufuatiliaji huu.
Hili sio la kuulizia. Waliposema wapangwe hawakuelewa. Subiri soko la Kariakoo lifunguliwe itapitishwa kanuni hata muuza miwa na mchoma mahindi hawataamini.Machinga very soon mnafikwa na kitu kizito, kila mmoja awe na efd
kwa kuwa wafanyabiashara wengi hawatoi risiti maana yake kuwa mizigo haiuziki ila wanaendelea kuagiza. siku wakianza ukaguzi wa store ndiyo watajua mauzo halisi.Naona kuna watu watakimbia bidhaa zao soon
Wanajua mizigo inahifadhiwa sehemu nyingine
Hivi bidhaa zimeingia nchini zimelipiwa kodi sasa mimi nimeweka kwenye store inawahusu nini?
Kama kawaida yao
Ukiweka home sindo msala zaidi?? Kama unafanya biashara ya nguo hpo sawaItabidi kuhifadhia mizigo majumbani 🙊😇
Haikuhusu hioMtu hana stoo inakuaje sasa
Na siku hiyo wengi watakufa kwa pressure maana wengi wanalipa kodi ndogo tu ya hapo dukani kumbe ana mzigo wa 150m au zaidi store, tena mbaya zaidi mkopo wa bank kaweka rehani nyumbakwa kuwa wafanyabiashara wengi hawatoi risiti maana yake kuwa mizigo haiuziki ila wanaendelea kuagiza. siku wakianza ukaguzi wa store ndiyo watajua mauzo halisi.
Una kaa kimya tu unaangalia jirani akiliaMtu hana stoo inakuaje sasa
Naona hata wenye stoo wakisema hawanaHaikuhusu hio
Wana data zote mkuuNaona hata wenye stoo wakisema hawana