Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ni kawaida ili mradi kodi ziende kwenye maendeleoNa bado kila unachokiuza bado unakilipia kodi vile vile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kawaida ili mradi kodi ziende kwenye maendeleoNa bado kila unachokiuza bado unakilipia kodi vile vile.
Na wafanyakazi nao wenye ukwasi usioendana na kipato chao waangaliwe na wao sio kwa mfanyabiashara tuNi kawaida ili mradi kodi ziende kwenye maendeleo
[emoji16][emoji1]Tiaraei Sasa haina tofauti na mikopo ya kausha damu[emoji23][emoji23]
tunakaushwa haswaa
Hao ndio wakwepa kodi wakubwaKuna watu wanauzia stoo ie wachina wa viatu
Tena hao ndio wangelipa kodi kubwa zaidiNa wafanyakazi nao wenye ukwasi usioendana na kipato chao waangaliwe na wao sio kwa mfanyabiashara tu
ila mwisho wa siku wafanyabiashara hawalipi kodi maana mzigo wote unaangukia kwa mtumiaji wa bidhaa/huduma.Ila haya yote ni kwakuwa kodi haijawa rafiki bado kwa mfanyabiashara
Mfanyabiashara asipolipa kodi faini kubwa kubwa lkn wafanyakazi wa serikali wanafanya ufisadi hakuna hatua yoyote inachukuliwaTena hao ndio wangelipa kodi kubwa zaidi
Kama analipwa mshahara mkubwa sana wangekuwa wanakatwa hata 40%
Maana bado watakuwa take home yao kubwa tu
Machinga very soon mnafikwa na kitu kizito, kila mmoja awe na efd
Itabidi kuhifadhia mizigo majumbani [emoji87][emoji56]
Wanalindana sana haoMfanyabiashara asipolipa kodi faini kubwa kubwa lkn wafanyakazi wa serikali wanafanya ufisadi hakuna hatua yoyote inachukuliwa
Tutajua huko mbele kwa mbele🥴🙊🤒Ukiweka home sindo msala zaidi?? Kama unafanya biashara ya nguo hpo sawa
Wana mareporter wao kila kona.Wana data zote mkuu
Tena ukidanganya ndio kabisa
Kila kona wanazijua na ukihamisha wanatonywa pia
Yaani Google earth inawaleta mpaka hapo
Wao wanapewa location tu
Ardhi ni ya serikali chiefUtaratibu unatakiwa ubadilishwe kiwanja nimenunua nyumba nimeijenga mwenyewe kodi ya nn sasa
SijakataaArdhi ni ya serikali chief