smart mind69
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 227
- 377
Upo sahihi kabisa CAG katoa report ya uwizi wa mabillion hakuna kiongozi aliechukuliwa hatua, wanabanwa wafanyabiashara hela anaenda kufaidi mtu mmojaMfanyabiashara asipolipa kodi faini kubwa kubwa lkn wafanyakazi wa serikali wanafanya ufisadi hakuna hatua yoyote inachukuliwa
Kuna baadhi ya watu wanajifanya machinga wanatoa mzigo store wanasambaza Kwa vijana shida ndipo ilipoanzia hapoMachinga very soon mnafikwa na kitu kizito, kila mmoja awe na efd
Hili swala Siasa ndo imeingilia kati.Kuna baadhi ya watu wanajifanya machinga wanatoa mzigo store wanasambaza Kwa vijana shida ndipo ilipoanzia hapo
Ndio maana nchi hii mtu akiwa ana pesa anaonekana mchawi 😃ukiona mtu anafanya biashara Tanzania, na biashara yake imedumu kwa zaidi ya miaka mitano (5) ujue huyo mtu ana roho ngumu sana. Bila hivyo ndani ya miaka mitano lazma uwe chali.
Ili uweze kufanya baishara Tanzania lazima uwe kama John Wick au Rocky Balboa. Uwe na roho ya paka, na uwe na vitu vifwatavyo
1. Focus
2. Commitment
3. Sheer will
4. Perserverance
Wengi wanakuwa na number 1 na 2 na hao ndio wengi wanaishia njiani. Tanzania bila sheer will and perseverance, hufanyi biashara. Angalia watu unaopambana nao ukiwa mfanyabiashara Tanzania
1. TRA
2. Fire
3. OSHA
4. Manispaa
5. Bwana afya
6. Serikali za mitaa na madiwani
7. TMDA
8. Polisi
9. Wafanyakazi wako (muda wote wanawaza kukuibia)
10. Majirani, ndugu, na marafiki zako
11. Wafanyabiashara ambao mko sekta moja na ni majirani.
12. Majambazi na vibaka
13. Mafuriko na majanga ya moto
14. Maagano ya ancestors wako
na mengineyo mengi mno. Hapo inabidi uwe mwamba ndio utoboe!
Wauza nguo watafungia mizigo kabatini wasingie za kuvaa 😄Hawashindwi hawa kuja na majumbani mwetu wenye store kuanza kututoza kodi.
Urahisi wa uhakiki.Naona kuna watu watakimbia bidhaa zao soon
Wanajua mizigo inahifadhiwa sehemu nyingine
Hivi bidhaa zimeingia nchini zimelipiwa kodi sasa mimi nimeweka kwenye store inawahusu nini?
Kama kawaida yao