ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Licha ya mgomo na Hujuma za wafanyabiashara waliochochewa Kisiasa ila TRA imeandika rekodi ya Kukusanya Shilingi Trilioni 7.3 robo ya mwisho wa mwaka (April-June) na pia imefanikiwa kukusanya Shilingi Trilioni 27.6 Kwa mwaka mzima kati ya lengo la kukusanya Trilioni 28.3.👇👇
---
Menejimenti ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi imesema katika kipindi cha Mwaka wa Fedha 2023/24, imefanikiwa kukusanya kiasi cha Tsh. trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa 97.67% ya lengo la kukusanya Tsh. trilioni 28.30.
Taarifa iliyotolewa leo July 01,2024 na Kamishna Mkuu wa TRA, Alphayo Kidato imesema “Makusanyo haya ni ongezeko la 14.50% ikilinganishwa na makusanyo ya Tsh. trilioni 24.14 katika Mwaka wa Fedha uliopita, 2022/23”
“Katika kipindi cha robo mwaka ya nne yaani Aprili - Juni, 2024, TRA imefanikiwa kukusanya kiasi cha Tsh. trilioni 7.09, sawa na ufanisi wa 99.46% ya lengo la kukusanya kiasi cha Tsh. trilioni 7.13, makusanyo haya ni ongezeko la 24% ukilinganisha na kiasi cha Tsh. trilioni 5.72 kilichokusanywa katika kipindi kama hicho kwa Mwaka wa Fedha uliopita 2022/23”
Tunaendelea kuweka rekodi sawa za Rais Samia.Alikuta Mapato ya Juu kabisa Kwa mwezi ni 1.5T(2020/2021) na Sasa ameyafikisha 2.5T(2024/25) yaani ongezeko la Trilioni 1 ndani ya miaka 4.
Kuna Marais wakiongeza Bilioni 500 tuu Kwa miaka 5 ila Makelele waliyokuwa wakipinga Sasa hatukunywa maji.
Saizi Wana wimbo wao Mpya Utasikia watu wanapiga sana hela awamu hii ila ukiwaambia wakati hawapigi hela pesa ziliwmda wapi wataishia kutukana 😂😂😂😂😂.
My Take
Hongera TRA Kwa kazi nzuri, Hongera Samia Kwa kukusanya Kodi kubwa na hongera walipakodi wote.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C85cFw2tnIh/?igsh=YWhram1xcGY4cjli
Mambo ya Kugoma sio dili ,tunajichelewesha na kuchelewesha maendeleo ya Nchi.
Samia Mama wa Taifa ndio gwiji wa Uchumi wa Kisasa ,mama Anatosha na chenji inabaki.👇👇
View: https://twitter.com/TRATanzania/status/1808786525653475627?t=sDE6atWbVdaO8dQVKhnZKA&s=19
Pia soma Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu
---
Menejimenti ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi imesema katika kipindi cha Mwaka wa Fedha 2023/24, imefanikiwa kukusanya kiasi cha Tsh. trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa 97.67% ya lengo la kukusanya Tsh. trilioni 28.30.
Taarifa iliyotolewa leo July 01,2024 na Kamishna Mkuu wa TRA, Alphayo Kidato imesema “Makusanyo haya ni ongezeko la 14.50% ikilinganishwa na makusanyo ya Tsh. trilioni 24.14 katika Mwaka wa Fedha uliopita, 2022/23”
“Katika kipindi cha robo mwaka ya nne yaani Aprili - Juni, 2024, TRA imefanikiwa kukusanya kiasi cha Tsh. trilioni 7.09, sawa na ufanisi wa 99.46% ya lengo la kukusanya kiasi cha Tsh. trilioni 7.13, makusanyo haya ni ongezeko la 24% ukilinganisha na kiasi cha Tsh. trilioni 5.72 kilichokusanywa katika kipindi kama hicho kwa Mwaka wa Fedha uliopita 2022/23”
Tunaendelea kuweka rekodi sawa za Rais Samia.Alikuta Mapato ya Juu kabisa Kwa mwezi ni 1.5T(2020/2021) na Sasa ameyafikisha 2.5T(2024/25) yaani ongezeko la Trilioni 1 ndani ya miaka 4.
Kuna Marais wakiongeza Bilioni 500 tuu Kwa miaka 5 ila Makelele waliyokuwa wakipinga Sasa hatukunywa maji.
Saizi Wana wimbo wao Mpya Utasikia watu wanapiga sana hela awamu hii ila ukiwaambia wakati hawapigi hela pesa ziliwmda wapi wataishia kutukana 😂😂😂😂😂.
My Take
Hongera TRA Kwa kazi nzuri, Hongera Samia Kwa kukusanya Kodi kubwa na hongera walipakodi wote.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C85cFw2tnIh/?igsh=YWhram1xcGY4cjli
Mambo ya Kugoma sio dili ,tunajichelewesha na kuchelewesha maendeleo ya Nchi.
Samia Mama wa Taifa ndio gwiji wa Uchumi wa Kisasa ,mama Anatosha na chenji inabaki.👇👇
View: https://twitter.com/TRATanzania/status/1808786525653475627?t=sDE6atWbVdaO8dQVKhnZKA&s=19
Pia soma Kodi zetu ndio Maendeleo ya Taifa letu