Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi.
Hii ni katika harakati za kuongeza mapato
Hii ni katika harakati za kuongeza mapato