hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
[emoji16][emoji16][emoji16] CCM Ni wachawiWakati huo huo mwenye kitanda kalipa kodi na anaekuja kulala nae alipe kodi ? ...Si bora mtunyonge! [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16] CCM Ni wachawiWakati huo huo mwenye kitanda kalipa kodi na anaekuja kulala nae alipe kodi ? ...Si bora mtunyonge! [emoji1787]
Hutaki taarifa za kuongeza mapato ya nchi ?Mkuu erthrocyte yani unaongoza kwa kutafta habari zenye mlengo hasa wa kuonyesha taswira mbaya kwa serikali kuwa eti " hali ni mbaya"
Hongera kwa hilo😂😂😂
Huyo ni waziri wa nini ?Nadhani Dr Kigwangalla atalifafanua hili!
Usishangae sana mkuu. Watu wana chuki, tena wana chuki hadi kwa wanaowapa ulinzi wanapokua wamelala.yani huyu dada hajawahi post eti "magufuli awanyoosha mabeberu...." mwikoooo yeye yale mabaya tu ,daah kuna watu wanaroho ngumu aisee 😂😂😂😂😂
Nimejikuta tu sina cha ku-comment
Kwahiyo hali ni nzuri siyo?Mkuu erthrocyte yani unaongoza kwa kutafta habari zenye mlengo hasa wa kuonyesha taswira mbaya kwa serikali kuwa eti " hali ni mbaya"
Hongera kwa hilo[emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😃 mkuu we mchokozi sana aiseeHutaki taarifa za kuongeza mapato ya nchi ?
watalii itawalazimu waje na mikeka yao ya kulalia
mitano tena
Wasisahau na ya kiti
hata kama lakni huyu dada unamfuatilia lkn???🤔
Hivi aliyeongea na TV zote za Tanzania na mimi niliyeleta kipande tu cha taarifa hapa JF nani aliyesambaza ?Usishangae sana mkuu. Watu wana chuki, tena wana chuki hadi kwa wanaowapa ulinzi wanapokua wamelala.
Kuna dada wa bongomovie aliwahi sema kwenye media hana mama, akadadavua mamake alishakufa ilihali mamake mzazi yuko hai na anamsikiliza sembuse huyu
Dunia inaenda kasi sana hii
🤣🤣🤣yani huyu dada hajawahi post eti "magufuli awanyoosha mabeberu...." mwikoooo yeye yale mabaya tu ,daah kuna watu wanaroho ngumu aisee 😂😂😂😂😂
Weka taarifa nzima kuhusu hiyo kodi usiweke vile unavyovipenda tuuHivi aliyeongea na TV zote za Tanzania na mimi niliyeleta kipande tu cha taarifa hapa JF nani aliyesambaza ?
Halafu kwanini taarifa kama hizi mnataka zifichwe , zina ubaya gani kama lengo ni kuongeza mapato ya nchi ?
Au ndio sababu mshahara wa mwezi huu sijauelewa elewa hizo namba Kama zimeongezeka kidogo hivi!!!😂🤣😂Ni jambo la kheri kama wamepunguza PAYE kwenya mishahara ya wafanyakazi, na ikepelekwa sehemu nyingine. Ni kweli serikali inahitaji pesa kwa ajili ya maendeleo. Sasa wapunguze PAYE halafu wasiwachaji wageni?
Nimejikuta tu sina cha ku-comment