TRA yotoa ufafanuzi wa madai ya kutengeneza mfumo wa kuingiza mizigo nchini usio halali

Ujengewe sanamu mkuu, na ndivyo ilivyo, jamaa anatapatapa na TRA wakifanya kama anavyotaka lazima kkoo tulianzishe
 
TRA imekuwa ikiua Biashara Nchini na kuwafanya Watanzania kuwa Hohehahe, hii taasisi ivunjwe isukwe upya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…