TRAFFIC ENGINEERING: Ni vigezo gani huzingatiwa katika kufanya maamuzi ya kufunga "traffic lights" au kuweka "roundabout" kwenye makutano ya barabara?

TRAFFIC ENGINEERING: Ni vigezo gani huzingatiwa katika kufanya maamuzi ya kufunga "traffic lights" au kuweka "roundabout" kwenye makutano ya barabara?

Inategemea nani yuko madarakani, waziri wa fedha nani na waziri wa ujenzi nani. Hivi kwa akili yako ya std 1 unaweza kufanya maamuzi ya kujenga uwanja wa kimataifa chato badala ya kupanua wa mwanza na kuweka taa ule wa Mbeya ambao ndege hazitui usiku kwa kukosa taa?. Utaalamu ni ulaya sio afrika.
Acha siasa chafu katika masuala ya msingi
 
Uchafu uko wapi?
Uchafu ni hiki ulichoandika huko juu;

Hivi kwa akili yako ya std 1 unaweza kufanya maamuzi ya kujenga uwanja wa kimataifa chato badala ya kupanua wa mwanza na kuweka taa ule wa Mbeya ambao ndege hazitui usiku kwa kukosa taa?
 
Back
Top Bottom