Kwanza 51km/hr, hujazidisha. Kuna kitu kinaitwa instrument error. Kamera ya polisi,, kama inafanya kazi sawasawa, ina instrument error isiyozidi 10%.
Kwa hiyo instrument error ambayo mtengenezaji ameiruhusu ni kwamba camera inaposoma 55km/hr, inaweza kuwa ni 50km/hr au 60km/hr au soeed yoyote katika boundaries hizo. Ndiyo maana gari yoyote ambayo camera imeisoma inakwenda kwa speed ya 55km/hr, kiuhalisia haitakiwi kuadhibiwa.
Usikubali kulipa faini wala kuandikiwa ka speed yako haijazidi 55km/hr.