Traffic police ni janga la kitaifa, wanazidisha ugumu wa maisha kwa wananchi

Unakuta kibao ni 50KPH wewe ukitembea 51KPH unaambiwa umezidisha mwendo na aidha uwape kitu kdg au wakuandikie fini 30,000 badala ya kuonya kwa vikosa vidogo. Hwa jamaa hapana!
Ila kama ni 50 we ukapiga 51 unakuwa umezidisha mkuu
 
Kitu kidogo kimepunguza uzito wa vitunguu safari ikaendelea.
 
Yaani njia nzima traffic ni yeye TU, wengine huko nyuma hawaaminik
 
Traffic anasahau kuwa maisha ni magumu hata kwa wengine.
 
Fedha zinakunjwa kunjwa ndani vipande vya karatasi ambayo ni uharibifu wa sarafu zenyewe,wanatupiwa nao wanaokota;Wanajidhalilisha.
Police waache kupokea RUSHWA na wanatakiwa kuwajibika.Hizo Rushwa ndiyo chanzo cha ajali za barabarani.
Traffic wa Gongo La Mboto wanakwambia pesa peleka pale kwa shoe shiner nitazikuta hapo.
 
Badala yake ufanye nini? maana hawa jamaa wanakwambia lete leseni yako halafu wanaondoka nayo kwenda kibandani kwao ili uwafuate huko,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…