Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Leoo nilikuwa nasubiria kaka na gari la kutoka Moshi
Saakumi usiku..BAADA ya mda nkashangaa hapatikan
Nkakaa mpaka saa mbili akanipigia aisee sorry ndio tunakuja tumepata ajali
Hee kivipi mbona MASAA mengi akasema walikuwa wameshapita bagamoyo
BAADA ya mda wakasimamishwa na traffic
Traffic akaenda usawa wa dreva wakachukua zaidi ya dk Tano awaondoki
Ikapita Lori Moja inatoka nyuma yaoo na MBELE KUNA Lori imewaka inakeenda maeneo ya msata
Fuso AKAOMBA Bora amalizane na basi akaanza kumkwaruza kuanzia kati traffic akapitiwa
Wakashangaa Yuko MBELE kama anakata roho anahangaika
Dreva WA Lori akaongeza speed akaenda kasimamisha Lori kumbe kuna traffick anaifwatilia AKAOMBA jamaa WA pikipik wamfwate nyuma
Jamaa alipoona anawashiwa TAA akaona kinanuka....akasimamisha akimbie
Doh aisee anakwambia pikipik zilimfukuza HATARE na nusu wakamweka wakati akajaaa
Wamemuaa na Yeye...daaa sijui HAPO kesi inaenda kwa nani
Nawaomba tu hasa usiku msiwaamini sana malori usiku NDUGU ZANGU Hawa sio WATU usiku n wanyama..usishangae kusikia ajali kila siku na wengi Wa madreeva wanakuwa wamekulaa bangi na mirungii usiku
Ushauri
Saakumi usiku..BAADA ya mda nkashangaa hapatikan
Nkakaa mpaka saa mbili akanipigia aisee sorry ndio tunakuja tumepata ajali
Hee kivipi mbona MASAA mengi akasema walikuwa wameshapita bagamoyo
BAADA ya mda wakasimamishwa na traffic
Traffic akaenda usawa wa dreva wakachukua zaidi ya dk Tano awaondoki
Ikapita Lori Moja inatoka nyuma yaoo na MBELE KUNA Lori imewaka inakeenda maeneo ya msata
Fuso AKAOMBA Bora amalizane na basi akaanza kumkwaruza kuanzia kati traffic akapitiwa
Wakashangaa Yuko MBELE kama anakata roho anahangaika
Dreva WA Lori akaongeza speed akaenda kasimamisha Lori kumbe kuna traffick anaifwatilia AKAOMBA jamaa WA pikipik wamfwate nyuma
Jamaa alipoona anawashiwa TAA akaona kinanuka....akasimamisha akimbie
Doh aisee anakwambia pikipik zilimfukuza HATARE na nusu wakamweka wakati akajaaa
Wamemuaa na Yeye...daaa sijui HAPO kesi inaenda kwa nani
Nawaomba tu hasa usiku msiwaamini sana malori usiku NDUGU ZANGU Hawa sio WATU usiku n wanyama..usishangae kusikia ajali kila siku na wengi Wa madreeva wanakuwa wamekulaa bangi na mirungii usiku
Ushauri