Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maana ya service road? Au hujui kiingereza?Nashangaa sana haya mambo wanayofanya hasa hapa Mbezi Beach Massana mpaka Tanki Bovu gari ikipita service road wanaikamata.
Nauliza ile barabara matumizi yake ni nini?
Kwani nini maana ya Service road Mkuu?Nashangaa sana haya mambo wanayofanya hasa hapa Mbezi Beach Massana mpaka Tanki Bovu gari ikipita service road wanaikamata.
Nauliza ile barabara matumizi yake ni nini?
Matumizi yake ni kupiga madereva fainiNashangaa sana haya mambo wanayofanya hasa hapa Mbezi Beach Massana mpaka Tanki Bovu gari ikipita service road wanaikamata.
Nauliza ile barabara matumizi yake ni nini?
Service road kwa literal tranlation ni , ‘barabara ya kuhudumia’ , sasa kwanini wenye magari wasihudumiwe?Unajua maana ya service road? Au hujui kiingereza?
Hahahaaaa....... Una akili sana.Service road kwa literal tranlation ni , ‘barabara ya kuhudumia’ , sasa kwanini wenye magari wasihudumiwe?
Umeona yaaan kama hawajielewi kabisa mimi mwenyewe nimekutana nao nikawaambia na haraka kama vipi niwaachie gari na ufunguo ntalikuta kituoni wakaogopaFala sana hao jana wamenizingua nikamwambia naingia sheli Puma. Tukasumbuana na yule dada eti park gari nikamwambia nawai ofisini wewe chukua namba ya gari na namba nitakuja ofisini. Nikasepa
He he heeeeKuna ile ya Africana inayopita kwenye ghorofa la urithi la Mange Kimambi duh yule Awadh alitutesa sana!
Alishanikamata zaidi ya mara 10 baadae tukawa marafiki tu.
Hapo Shule kwa dogo janja huwa napita kama sijauona mkono vile!
Sirro alifumie tu jeshi lakeKatika idara ya polisi inayotakiwa kufumuliwa ni hii idara ya polisi wa usalama barabarani hawa ni donda sugu hasa katika kudai na kupokea ruswa. Service Road zimekuwa kero hasa kwa madereva. Morogoro road maeneo ya bucha na rombo ukipita salama basi mungu wako mkubwa.
Ifike mahala trafiki watumie akili tu maana wengi tunajua PGO zero lakini kupunguza msongamano wa magari pindi kunapotekea ajali. Unaweza kukuta gari limeharibika main road na karibu tu kuna service road unajiuliza kwanini asingetumia njia hiyo.
Kumbe wanaogopa faini za kijinga. TRAFIKI NI TATIZO. Wapo pale Shekilango karibu na kituo na wapo hapa Ubungo Tanesco. Jana nilipanda daladala tumesimamishwa mara 5 tena asubuhi.
Ni mtego wa pesa ya kiwiNashangaa sana haya mambo wanayofanya hasa hapa Mbezi Beach Massana mpaka Tanki Bovu gari ikipita service road wanaikamata.
Nauliza ile barabara matumizi yake ni nini?
Aliyepo ni mesenja🤣😂Hatuna IGP, aliyepo hatoshi
Aise jamaa hawa watu wa ajabu sanaUnajua maana ya service road? Au hujui kiingereza?