Trafiki kama kupita service road ni makosa basi muwaambie Tanroads wasizijenge

Trafiki kama kupita service road ni makosa basi muwaambie Tanroads wasizijenge

Naona utaratibu huo upo nchi nzima ni new form of taxation. Road service ni Bus Lane kwa kwetu huku eti leo hii sisi tunaoishi kijijini eti tupande pikipiki hadi mjini (stand kuu) ili upande basi na wakati mabasi hayo yanapita huku huku kijijini kwetu
 
Pamoja na mapungufu ya traffic lakini ukweli utabaki ukweli kuwa service sio barabara ya kusafiria. Gari inatumia service road km 10 ili iweje. Wapi na wapi. Ile ni barabara unayoingia ili kwenda kwenye maeneo ya pembezoni mwa barabara au kuchepuka kabisa. Au kama kuna uharibifu wa gari.
Laumuni lakini tumieni barabara kuu. Mmejengewa muitumuie hizo barabara kuu. Kama una haraka ondoka mapema ili ufike mapema.
 
Pamoja na mapungufu ya traffic lakini ukweli utabaki ukweli kuwa service sio barabara ya kusafiria. Gari inatumia service road km 10 ili iweje. Wapi na wapi. Ile ni barabara unayoingia ili kwenda kwenye maeneo ya pembezoni mwa barabara au kuchepuka kabisa. Au kama kuna uharibifu wa gari.
Laumuni lakini tumieni barabara kuu. Mmejengewa muitumuie hizo barabara kuu. Kama una haraka ondoka mapema ili ufike mapema.
Wapi Tz hii unaweza kutembea km 10 kwenye service road
 
Naona utaratibu huo upo nchi nzima ni new form of taxation. Road service ni Bus Lane kwa kwetu huku eti leo hii sisi tunaoishi kijijini eti tupande pikipiki hadi mjini (stand kuu) ili upande basi na wakati mabasi hayo yanapita huku huku kijijini kwetu
Boss iyo Ni kawaida maana bus kusimama hovyo sehemu ambapo sio stendi Ni kero, Assume umetoka kwenu ukaenda airport kupanda ndege ukiwa unarudi ndege itapapita kwenu kwenda kitua airport. Hivyo na bus linatakiwa kusimama stendi.
 
Boss iyo Ni kawaida maana bus kusimama hovyo sehemu ambapo sio stendi Ni kero, Assume umetoka kwenu ukaenda airport kupanda ndege ukiwa unarudi ndege itapapita kwenu kwenda kitua airport. Hivyo na bus linatakiwa kusimama stendi.
Mfano wako sijauelewa
 
a subsidiary road running parallel to a m
Nashangaa sana haya mambo wanayofanya hasa hapa Mbezi Beach Massana mpaka Tanki Bovu gari ikipita service road wanaikamata.

Nauliza ile barabara matumizi yake ni nini?
Service road; a subsidiary road running parallel to a main road and giving access to houses, shops, or businesses.
"the new site would include a car park, service road, and landscaping"


mbona Tanzania wajinga wanaongezeka kwa kasi sana ? kweli kwenye wale maadui watatu wa Baba wa taifa kwenye ujinga tutachelewa sana kuushinda
 
Nashangaa sana haya mambo wanayofanya hasa hapa Mbezi Beach Massana mpaka Tanki Bovu gari ikipita service road wanaikamata.

Nauliza ile barabara matumizi yake ni nini?

matrafic wengi hawana elimu juu ya usalama barabarani kupita service road kwa nini wakamate wakati watu wamepata nafasi ya kupita ili wawahi makazini na kuijenga taifa letu wao wanataka mkae kwenye foleni masaa yoote ndio furaha yao. ningeishauri serikali kazi ya utrafic ikabidhi kampuni binafsi ishughulike na kusimamia magari. na pia kudhibiti dawa za kulevya waaunde jeshi tofauti kusimamia dawa za kulevya na wapewe meno bila kuingiliwa
 
Pamoja na mapungufu ya traffic lakini ukweli utabaki ukweli kuwa service sio barabara ya kusafiria. Gari inatumia service road km 10 ili iweje. Wapi na wapi. Ile ni barabara unayoingia ili kwenda kwenye maeneo ya pembezoni mwa barabara au kuchepuka kabisa. Au kama kuna uharibifu wa gari.
Laumuni lakini tumieni barabara kuu. Mmejengewa muitumuie hizo barabara kuu. Kama una haraka ondoka mapema ili ufike mapema.

hoja yako dhaifu sana kwani lazima kila moja aondoke mapema na wakiondoka wote mapema si itakuwa yaleyale foleni
 
Naomba nianze kwa masikitiko makubwa, kuwa askari wetu wamekuwa wanatumia hizi service roads kutengeneza pesa tena si pato la taifa bali maslahi yao maana wengi wanaowakamata wanaoshia kuwahonga.

TANROADS wamefanya vizuri sana kwenye hii Bagamoyo road, wanapanua kwa kuongeza service roads ambazo zingepunguza foleni lakini Askari wetu wanazitumia kama fursa kwao.

Tufike mahali watanzania tufanye kazi kizalendo na si kimaslahi,

Cha kuchekesha unakuta mainroads kuna foleni iliyojaa kweli halafu askari wetu wako mstari wa mbele kukamata wanaopita service roads, wakati kwa akili yangu ndogo tu, polisi wetu wangetumia service roads kama fursa ya kupunguza foleni.

Inasikitisha uzalendo uko wapi?
Wajumbe wa kamati Kuu ya CCM wamekusikia watalifanyia kazi 😂😂😂
 
matrafic wengi hawana elimu juu ya usalama barabarani kupita service road kwa nini wakamate wakati watu wamepata nafasi ya kupita ili wawahi makazini na kuijenga taifa letu wao wanataka mkae kwenye foleni masaa yoote ndio furaha yao. ningeishauri serikali kazi ya utrafic ikabidhi kampuni binafsi ishughulike na kusimamia magari. na pia kudhibiti dawa za kulevya waaunde jeshi tofauti kusimamia dawa za kulevya na wapewe meno bila kuingiliwa
Umesema
 
Pamoja na mapungufu ya traffic lakini ukweli utabaki ukweli kuwa service sio barabara ya kusafiria. Gari inatumia service road km 10 ili iweje. Wapi na wapi. Ile ni barabara unayoingia ili kwenda kwenye maeneo ya pembezoni mwa barabara au kuchepuka kabisa. Au kama kuna uharibifu wa gari.
Laumuni lakini tumieni barabara kuu. Mmejengewa muitumuie hizo barabara kuu. Kama una haraka ondoka mapema ili ufike mapema.
Una gari? Au huwa unaendesha gari?? Labda tuanzie hapo kwanza?

Sent from my SM-A920F using JamiiForums mobile app
 
Nashangaa sana haya mambo wanayofanya hasa hapa Mbezi Beach Massana mpaka Tanki Bovu gari ikipita service road wanaikamata.

Nauliza ile barabara matumizi yake ni nini?
Polisi huwa hawatumiii akili ya kutoka kwenye ubongo bali akili za masaburini.
Swala la msingi ni kupunguza foleni, na hizi barabara za pembeni zinasaidia kupunguza, sasa mfano ijumaa asubuhi hawa majitu mavivu kufikiri yanesababisha foleni kuanzia IMTU kisa eti watu wamepita service road, wakati kama mapolisi yakiw hayapo hakuna foleni.
Mi naomba mheshimiw mama ufute hili jeshi lianze upya na kila anaeajiriwa kiwango cha elimu kiwe shahada ya kwanza
 
Back
Top Bottom