Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi sasa hivi inajiendea tu hakuna uwajibikaji.Hali tete
Jana wameweka kifusi kinenyeshewa linekuwa tope,Lori limepita gari ndogo haziwezi kupita tena! Ni upuuzi upuuzi tu.Barabara mhimu kama hiyo wanafukia kwa kifusi ambacho kinachimbika siku moja jaman
Pesa walipewa za marekebisho ya hiyo barabara lakini zimeliwa ...na kila mwaka wanaombaNchi sasa hivi inajiendea tu hakuna uwajibikaji.
Usikute hicho kifusi kuna mtu kajitolea.Barabara mhimu kama hiyo wanafukia kwa kifusi ambacho kinachimbika siku moja jaman
Ni mwendo wa kula kwa useful wa kamba.Pesa walipewa za marekebisho ya hiyo barabara lakini zimeliwa ...na kila mwaka wanaomba
Barabara kubwa wanajaza tope sehemu ambapo lami imeshindwa wao wanareplace na tope!Jana wameweka kifusi kinenyeshewa linekuwa tope,Lori limepita gari ndogo haziwezi kupita tena! Ni upuuzi upuuzi tu.
Yote kheri!!Mbuzi wa bwana Kheri shambani kwa bwana Kheri
Ndungulile nae anasubili hadi wakati kura za maoniYote kheri!!
Foleni inafika Kibada!Ndungulile nae anasubili hadi wakati kura za maoni
Ndiyo maana huwa sitamani kulipa kodi maana mijitu haitumii kodi vizuriHii Nchi bara bara tulizonazo utadhani hatuna kitu chochote Nchi ipo kisiwani ila kila kukicha utasikia sijui tembo kapandishwa huku kule mamba mkubwa kaning'inizwa kwenye mti yaani taflani tu..
Ngoja tumalize kuichangia taifa starMkuu hii sehemu hadi leo bado inasumbua kweli. Shimo moja linasababisha foleni kubwa miezi zaidi ya 6! Hii nchi sasa hivi ni bora liende tu
Mpaka mwanangu RRONDOHii Nchi bara bara tulizonazo utadhani hatuna kitu chochote Nchi ipo kisiwani ila kila kukicha utasikia sijui tembo kapandishwa huku kule mamba mkubwa kaning'inizwa kwenye mti yaani taflani tu..
Anasema anaaamka saa 10 kuwahi foleni inayochangiwa na uzembe wa hovyo
SawaNgoja tumalize kuichangia taifa star
Na kuwapanga wale wahamasishaji
Wawe vizuri kifedha
Ova
Aise lazima awakeAnasema anaaamka saa 10 kuwahi foleni inayochangiwa na uzembe wa hovyo
KabisaKIZIMKAZI hana muda na Watanganyika.tujipange kwakweli
Sahiv folen naambiwa ndeefu had kongowe kAise lazima awake
Ova