Huu uzi kwamba hauonwi au mode wameu-hide!!
Tanzania tuna vipaumbele vyetu vya hovyo...lakini vya maana vinasubiriHuu uzi kwamba hauonwi au mode wameu-hide!!
Zarau tuNi aibu
Kumbe wanakwenda ku diversity miradi yao isiwe ya aina moja!!!Ukiona watu wanahamishwa wizara unaweza fikiria tupo serious sana
DuhKumbe wanakwenda ku diversity miradi yao isiwe ya aina moja!!!
Aisee! Hii nchi imeoza.Kumbe wanakwenda ku diversity miradi yao isiwe ya aina moja!!!
Mambo muhimu huwa si kipaumbele cha waTz.Huu uzi kwamba hauonwi au mode wameu-hide!!
Nilikuta jamaa wanacheza draft huku wanajadili hii badilibadili kama kete za draft nilicheka hadi wakanishangaa!Kila siku hamisha mawaziri hata havieleweki
Utazani TANROAD haina ofisi kigamboni..sasa sijui wanalipwa mishahara ya nnHuko Kigamboni bado bara bara ni ya vumbi tu kama huku kwetu Kijijini aisee...