njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
- Thread starter
- #21
Rotimi star anayejulikana marekani,vanessa akijipanga anapitia hapohapoRotimi na Vanessa washakua mabilionea ,pole JUX.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rotimi star anayejulikana marekani,vanessa akijipanga anapitia hapohapoRotimi na Vanessa washakua mabilionea ,pole JUX.
Yes Vanessa kashatoka kimaisha,hapo asilete viburi vya baadhi ya wanawake wa kibongo,hapo ale na kipofu asimshike mkono tu.Rotimi star anayejulikana marekani,vanessa akijipanga anapitia hapohapo
1988 hukoKwani coming to america original ilitoka mwaka gani?
Ni kawaida ya wachawiKitu kikipendwa na wengi au kusifiwa na wengi basi napoteza interest nacho. Mshaniharibia excitement yangu..
pole sana mkuu sasa unaishije nchii hii MAANA WAZEE WA MITANO TENA KILA SIKU WANAMSIFIA MKUU,wachungaji,mashehe,magazeti,tv,wasanii wote wanamsifia mkuu wa nchi UNAISHIJE SASA JAMENI ?BADO UNA EXCITEMENT YA KUISHI NCHII HII?Kitu kikipendwa na wengi au kusifiwa na wengi basi napoteza interest nacho. Mshaniharibia excitement yangu..
Kuna kipindi niliona Vanessa anaimba nyimbo yake na wapiga violin ilikuwa kama orchestrals, nimeona bwana wake Rotimi atakuwepo kwenye movie hii ya coming to america 2,nikakumbuka kazi imefanyikia kwenye film studio ya Tyler perry Atlanta
Ikumbukwe Terry alishatumia hadi nyimbo ya maria salome,anyway nahisi tu,ila mzigo utakuwa mtamu sana huu Eddie murphy kama kawaida,Rotimi,teyana taylor,rick ross,wesley snipes,may be Morgan freeman.......
symphony orchestra ya vanessa hii hapa,may be inaweza kuwa mojawapo ya nyimbo zitakazotumika huko koneksheni kila mahala dunia hii
Ni kawaida ya wachawi
Kuna kipindi niliona Vanessa anaimba nyimbo yake na wapiga violin ilikuwa kama orchestrals, nimeona bwana wake Rotimi atakuwepo kwenye movie hii ya coming to america 2,nikakumbuka kazi imefanyikia kwenye film studio ya Tyler perry Atlanta
Ikumbukwe Terry alishatumia hadi nyimbo ya maria salome,anyway nahisi tu,ila mzigo utakuwa mtamu sana huu Eddie murphy kama kawaida,Rotimi,teyana taylor,rick ross,wesley snipes,may be Morgan freeman.......
symphony orchestra ya vanessa hii hapa,may be inaweza kuwa mojawapo ya nyimbo zitakazotumika huko koneksheni kila mahala dunia hii
Ulikuwa bado hujazaliwa ... infact dingi yako ndo alikuwa anammendea mama yako. Usije kuniuliza nimejuajeKwani coming to america original ilitoka mwaka gani?
Ila yule dada aliingiza ile ya kwanza daahh alikuwa kisu balaaa
Nimecheka saivi Ni mama wa 50's huko ila bado Ni pisi Kali
vanessa na Ruby ni class nyingine hapa bongo sema huyo Ruby sijui kalogwaaa??maana naamini hakuna msanii wa bongo mwenye punch kama yeye na akifanya transpose zake hadi vinyweleo vya mwili vinasisimka, she is the best at the same time an idiot.Halafu kuna Mtu anamfananisha Vee na Zuchu
Atatumbuiza siku ya uzinduzi, ila hapendi show off, hamtamuona wala kumsikiaNa ya king kiba vipi haijasikika kwenye trailer....