Trailer ya Coming To America 2: Rotimi ndani, msishangae Vanessa Mdee akawa na soundtrack yake

Trailer ya Coming To America 2: Rotimi ndani, msishangae Vanessa Mdee akawa na soundtrack yake

Katika Coming to America 1, hakuna mtu hua ananifurahisha kama Baba yake Lisa 'Cleo Mcdowell', hasa ile scene akiwa nyumbani kwake baada ya kugundua Hakeem ni Prince, wakati anamsubiri Hakeem afike huku mchumba wake Lisa anagonga mlango, basi ile nenda rudi hadi akajikwaa, hua nacheka sana,

This weekend nitairudia sijui itakua ni mara yangu ya ngapi kuiangalia walai.
He is rich he is rich, the boy has got his own money, and baby when I say the boy has got his own money I mean the boy got his own money! This time you have hit the jackpot Lisa! Jamaa alinichekesha sana, hii ni movie naweza itazama miaka rudi miaka nenda pasipo kuichoka.

What kind of games do you play in Africa? Chase the monkeys
 
He is rich he is rich, the boy has got his own money, and baby when I say the boy has got his own money I mean the boy got his own money! This time you have hit the jackpot Lisa! Jamaa alinichekesha sana, hii ni movie naweza itazama miaka rudi miaka nenda pasipo kuichoka.

What kind of games to you play in Africa? Chase the monkeys
The Dad stole the show for this scene, [emoji3]

 
Ingawa alikua baba mwenye tamaa ya mali lakini aliweza kusimama na familia yake.
Sana alikuwa anampenda Lisa! hii movie kwa mara ya kwanza niliiona mwaka 95, japo nilikuwa mdogo chekechea nadhani ila hata mimi nilimuona kabisa Lisa kuwa ni mrembo. Halafu nilikuwa sielewi nini kinaendela kwenye story nilikuwa natazama tu
 
Sana alikuwa anampenda Lisa! hii movie kwa mara ya kwanza niliiona mwaka 95, japo nilikuwa mdogo chekechea nadhani ila hata mimi nilimuona kabisa Lisa kuwa ni mrembo. Halafu nilikuwa sielewi nini kinaendela kwenye story nilikuwa natazama tu
Mimi niliiona 1997, nilikua sielewi kinachoendelea lakini nikaja kuiona tena 2005 baada ya hapo nikawa naangalia kila mara na kuielewa vizuri na hatimaye imekua my favourite movie of all the time,

Lissa ni mrembo sana, tangu kipindi kile hadi sasa.
 
Mimi niliiona 1997, nilikua sielewi kinachoendelea lakini nikaja kuiona tena 2005 baada ya hapo nikawa naangalia kila mara na kuielewa vizuri na hatimaye imekua my favourite movie of all the time,

Lissa ni mrembo sana, tangu kipindi kile hadi sasa.
Yah ni classic movie, hata last weekend nimeitazama. Ipi movie nyingine ambayo ni classic kama hiyo?
 
Katika Coming to America 1, hakuna mtu hua ananifurahisha kama Baba yake Lisa 'Cleo Mcdowell', hasa ile scene akiwa nyumbani kwake baada ya kugundua Hakeem ni Prince, wakati anamsubiri Hakeem afike huku mchumba wake Lisa anagonga mlango, basi ile nenda rudi hadi akajikwaa, hua nacheka sana,

This weekend nitairudia sijui itakua ni mara yangu ya ngapi kuiangalia walai.
Noma..Mkuu hivi naweza ipata wapi iyo Part1?
 
vanessa na Ruby ni class nyingine hapa bongo sema huyo Ruby sijui kalogwaaa??maana naamini hakuna msanii wa bongo mwenye punch kama yeye na akifanya transpose zake hadi vinyweleo vya mwili vinasisimka, she is the best at the same time an idiot.

Ruby amekosa mtu wa kumuandikia nyimbo na producer makini wa kumrekodia melody kalii kila mara... bila kusahau hana mtu wa marketing pia mkaliii..

Zuchu ni wa kawaida sana ila sabab anaandikiwa nyimbo na ana watu wa marketing anapata sana pesa na heshima haraka kuliko ruby
 
Ruby amekosa mtu wa kumuandikia nyimbo na producer makini wa kumrekodia melody kalii kila mara... bila kusahau hana mtu wa marketing pia mkaliii..

Zuchu ni wa kawaida sana ila sabab anaandikiwa nyimbo na ana watu wa marketing anapata sana pesa na heshima haraka kuliko ruby

Zuchu anaandika mwenyewe mkuu
 
Yah ni classic movie, hata last weekend nimeitazama. Ipi movie nyingine ambayo ni classic kama hiyo?
tafuta za richard pryor zote kuna kazi nafanya hapa ngoja nitulie kama nusu saa nakutumia majina yote hata za kina Bill cosy na Danny glover za 70's ,80's zilikuwa poa sana aiseee,my name is dolemite ya Eddie Murphy umeicheki?
Zuchu anaandika mwenyewe mkuu
hata akiandika mwenyewe mkuu ogopa sana mtu anaimba unapata goosebumps,vinyweleo vya mikono hadi shingoni vinasisimuka, hapa bongo ni Ruby peke yake hakuna tena sema ndo hivyo kichwa chake cha moto
 
Ngoja nitazitafuta maana Bill Cosy sijatazama sana movies zake
tafuta za richard pryor zote kuna kazi nafanya hapa ngoja nitulie kama nusu saa nakutumia majina yote hata za kina Bill cosy na Danny glover za 70's ,80's zilikuwa poa sana aiseee,my name is dolemite ya Eddie Murphy umeicheki?

hata akiandika mwenyewe mkuu ogopa sana mtu anaimba unapata goosebumps,vinyweleo vya mikono hadi shingoni vinasisimuka, hapa bongo ni Ruby peke yake hakuna tena sema ndo hivyo kichwa chake cha moto
 
He is rich he is rich, the boy has got his own money, and baby when I say the boy has got his own money I mean the boy got his own money! This time you have hit the jackpot Lisa! Jamaa alinichekesha sana, hii ni movie naweza itazama miaka rudi miaka nenda pasipo kuichoka.

What kind of games do you play in Africa? Chase the monkeys
Hahahahahah DSTV mnet huwa wanairudia sana
 
Sana alikuwa anampenda Lisa! hii movie kwa mara ya kwanza niliiona mwaka 95, japo nilikuwa mdogo chekechea nadhani ila hata mimi nilimuona kabisa Lisa kuwa ni mrembo. Halafu nilikuwa sielewi nini kinaendela kwenye story nilikuwa natazama tu
Lisa mrembo aisee na lips denda
 
Back
Top Bottom