Trailer ya Coming To America 2: Rotimi ndani, msishangae Vanessa Mdee akawa na soundtrack yake

Muvi Ilisha tengenezwa toka mwezi wa 2 huko sidhani kama vanesa alipewa shavu...lazima ujue wenzetu wanajali sanaa professionalism sio kwakua unagonga dem basi ndo umpe mashavu
 
Muvi Irish are gene sea toka mwezi wa 2 huko na Hanna seven vanesa anapewa shavu...lazima ujue wenzetu sana professionalism sio kwakua unagonga dem basi ndo umpe mashavu

kwa davido imewezekana kupata part vanessa ishindikane kwa nini?kwanza si alishawahi ku act shuga ya mtv huyu na kuwa mtangazaji wa mtv?she is better actor kuliko hata davido,naamini insticts zangu huyu demu kama siyo kakipande ata act kama extra basi tutarajie kusikia wimbo wake kwenye hii kazi
anajua tulivyo wambeya tutakuwa tuansubiriwa kupewa suprise la kufungulia mwaka
and for your information wameanza kushuti AUGUST 2019

 
Sim ilikata ujumbe..cast wote wanajulikana tayari unaweza google
 
Sim ilikata ujumbe..cast wote wanajulikana tayari unaweza google
unajua maana ya extra??????minor roles yaani hata role ya mtu anapita njia ,mhudumu wa bar nayo itamshinda vanessa?most importantly apate hata kipande cha sekunde kadhaa cha nyimbo yake yoyote .
 
unajua maana ya extra??????minor roles yaani hata role ya mtu anapita njia ,mhudumu wa bar nayo itamshinda vanessa?most importantly apate hata kipande cha sekunde kadhaa cha nyimbo yake yoyote .
Mzee nadhani ungekua manager wa vanesa asingeacha mziki...rotimi extra then amuunganishe dem wake awe extra..dah
 
Mzee nadhani ungekua manager wa vanesa asingeacha mziki...rotimi extra then amuunganishe dem wake awe extra..dah
sioni faida ya wewe kunitukana wala sikutukani nashukuru ndugu yangu,naona mimi kusema kwamba vanessa ana possibility ya kuonekana kama extra imekuuma sana ukabisha nikatoa mfano wa davido ukadai ilishashutiwwa siku nyingi nikakumbusha kwamba production yake ilianza august 2019 na kuna hata picha vanessa alishapost kamsindikiza Rotimi kushuti Atlanta kwenye studio ya Tyler perry ilipofanyikia hiyokazi
Unajua maana ya I know somebody who knows somebody?
SAMAHANI KWA KUKUKWAZA najua hatupendani watanzania BASI NILIKUWA NATANIA BOSS VANESSA HAWEZI KUWA KWENYE HII KAZI KWANZA KABAYAAA HAKAJUI HATA KIINGEREZA..akwende zake..Are you happy sasa?
 
Mzee nadhani ungekua manager wa vanesa asingeacha mziki...rotimi extra then amuunganishe dem wake awe extra..dah
Hii hapa clip ya vanessa anaongelea hiyo issue ya kwenda kwa Tyler perry studio na for your information kuna watanzania wengi tu wako kwenye hiyo filam kama Extras, Rotimi hawezi kuwa extra hawezi kosa siyo chini ya scenes kama 6
 
Achaneni na mambo ya movie, mimi nilikuwa nasubiri Jux atoke mlangoni niingie ndani kabisa. Lakini sasa kuna brazameni kutoka Nigeria sijui wapi kabeba mzigo. Vannesa hatutendei haki kabisa sisi madereva wa daladala. We're the human beings too.
SUKA lives Matter
 
KUNA WATU HAPO NIKISEMA SUALA LA VANESSA WANACHEKA KWAMBA HAWEZI KUWA HATA EXTRA ,naomba mumcheki huyu dada anaitwa CHEMI CHE MPONDA kafanya pink panther ma kina beyonce, kacheza paul blart the mall cop kacheza na kina Adam sandler hata kama ni minor roles na hata kwenye hiyo clip ya interview na millard ayo vanessa anasema kwenye studio ya Tyler perry palikuwa watanzania wengi wakiwa wana act kama extras kwenye coming to america 2
mcheki huyu dada ana credit za kazi 34 za movies na series
 
Nirushie na mimi

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…