Transport infrastructure in Kenya

Mkuu mbona unachukia sana chama cha ccm..😀😀😀😀😎
 
Mnavyosumbua na hii road humu.
Kweli maskini akiokota......!![emoji85]
 
burukenge Yeah hiyo story iko jikoni yaandaliwa vilivyo kabisa na plan zake zitakuwa unveiled mwezini.Maana ni mradi mkubwa hadi zaidi ya kilomita 24 kuzingira jiji kuu la Nairobi,waziri wa miundombinu yuafanya mambo kwa kasi baada ya kuamriwa na Rais afanye halahala kwa uzinduzi wa Tram ya kisasa.Relocation ya watu haitakuwa manake huu mradi wajengwa kwenye nafasi zilizoachwa kwenye major roads hapa Nai.
 
Pole sana mkuu.
Punguza jazba!
 
game over ,Gere itakutoa mate machungu.Huu ni mwanzo tu,si bypasses umeziona hapa,na bado outering nailete hapa inapojengwa,bado SGR mbioni ntahakikisha nimeupload humu picha halisia,yaani real time,Bado western bypass ntalete humu,na kuweka halua kwenye keki,Tram ujenzi wa tram unaopangwa kuwa launched huu mwezi mie pia ntavisambaza mumu humu,una cha wapi wewe,katetemeke na utoke mbio ndani ya huu uzi manake kama ni wivu na kijicho unacho,na bila shaka mate yatakukauka kinywani....katafute kopo la maji chafu ukanywe!!!
 







__________________


more on southern Bypass-NAIROBI











__________________
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…