Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mtu wangu ana kazi nzuri tu lakini hajamfikia jamaa
Am not materialistic to be honest hii sio issue kubwa
Bado shida ni kwamba nawapenda watu wawili kwa wakati mmoja
Utakomaa as umri wako unavyoendelea kusogea. Utapevuka zaidi. Utagundua huu upumbavu unaoung'ang'ania kwakusema unampenda sana mume wa mtu its just a matter of maturity.Aisee unacho jibu hapa ni kama huyu jamaa,a very confusing situation to us christians nimeanza kuwaelewa waislam kwa hili
Natabiri utakuwa na umbo flani amazing, ngozi chocolate color flan hivi, matako malaini kama sufi, mtundu kitandani. Hiyo ndio sababu jamaa anataka kukuoa.
Olewa na huyo kijana single mwenzako, waume za watu wakikupenda wana ahadi kibao tena nzuri sana ila trust me mwisho wake hua sio mzuri na anakudanganya hawezi kutelekeza familia yake kwa ajili yako.
Ni dm namba zako kukushauri Kiutu uzima
Okay nilidhani ni yaleeeeee mambo yetu matamu ya 6 kwa 6 labda huyo mume wa mtu shughuli zake si za mchezo mchezo.
Fuata vile moyo wako unataka pamoja na kuwapenda wote wawili lakini ni lazima kuna mmoja unampenda zaidi na sababu unazijua.
Ila ukishaolewa usimfanye mwingine awe MCHEPUKO [emoji12][emoji12]
I hope I make the best decision
Life is too short
Utakomaa as umri wako unavyoendelea kusogea. Utapevuka zaidi. Utagundua huu upumbavu unaoung'ang'ania kwakusema unampenda sana mume wa its just a matter of maturity.
Kuwa matured ni sambamba na kusema hapana kwa jambo lisilo sawa(lisilo sahihi) hatakama linakufanya ujisikie vizuri.
Kweli adui wa mwanamke ni mwanamke.
Elewa kuna mwanamke mwenzio huko atatelekezwa na watoto. Elewa kuna watoto huko watakua kwenye risk yakua watoto wa mtaani kisa wewe umeshindwa kuzuia tamaa zako ukakubali kuiiba furaha ya familia nyingine.
Please I beg you, mshauri, airudie familia yake.
Atakuzalisha, atakuzoea, vagina yako itatanuka, hautakua na ladha kama uliyonayo sasa. Ataanza kukuona kama anavyomuona mke wake sasahivi.
Nimejitahidi kuandika kwa lugha yakawaida, ila nimejisikia kukutukana matusi yote
Nimeandika nikafuta, nikaandika nikafuta tena.. ngoja nikuache tuu.. nisije chuma dhambi buree.Hatelekezi familia anaendelea kuhudumia familia kama kawaida
Na nimejiwekea boundaries siwezi kumuingilia bi mkubwa
As much as I want to feel guilty about this lakini pia moyo wangu una haki pia
daah nakuonea huruma unavyozidi kupotezwa na huyu form six leaverAisee unacho jibu hapa ni kama huyu jamaa,a very confusing situation to us christians nimeanza kuwaelewa waislam kwa hili
Mwambie huyo mume wa mtu, asikubali kukuoa kiri siri, akae na mkewe wayajenge ufunge nae ndoa ya wazi, then uwe mke halali..mjenge one big family..!!
Ila tuu omba sana asipate mwingine, maana nawewe utapandishwa cheo kuwa mke mkubwa!!
Kumbuka tu hakuna mapenzi matamu kama ya mbali, na ya wizi!!! So try to figure OUT miaka 10 mbele kama bado utakuwa favourite wife kwa huyo mume wenu...au la!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi mwenyewe mkiristo ila ndio hivyo nafsi yangu ndio imefikia maamuzi ya kuoa mke wa pili. Nimemwambia tutafunga ndoa hata kwa kujificha, kama ndoa haitawezekana basi tuishi bila ndoa. Cheti cha ndoa ni makaratasi tu wala hayachangii chochote kwenye kupendana.
kesho kutwa atatafuta mwingine wa kuoa baada ya wewe kulogwa na mke wake wa kwanza
Inawezekana ndio au hapana nimeshindwa kuifafanua situation hii vizuri
Lakini naomba tu nikwambie nipo wakati mgumu
Umeshawahi kupenda watu wawili kwa wakati mmoja?
Naked truth asijione yeye Ni mrembo jamaa anamdanganyia ndoa amzalishe kufidia aluvonpatia, wanaume waliooa hutoka nje kwa starehe na huoa Hadi ndoa fake.Utakomaa as umri wako unavyoendelea kusogea. Utapevuka zaidi. Utagundua huu upumbavu unaoung'ang'ania kwakusema unampenda sana mume wa mtu its just a matter of maturity.
Kuwa matured ni sambamba na kusema hapana kwa jambo lisilo sawa(lisilo sahihi) hatakama linakufanya ujisikie vizuri.
Kweli adui wa mwanamke ni mwanamke.
Elewa kuna mwanamke mwenzio huko atatelekezwa na watoto. Elewa kuna watoto huko watakua kwenye risk yakua watoto wa mtaani kisa wewe umeshindwa kuzuia tamaa zako ukakubali kuiiba furaha ya familia nyingine.
Please I beg you, mshauri, airudie familia yake.
Atakuzalisha, atakuzoea, vagina yako itatanuka, hautakua na ladha kama uliyonayo sasa. Ataanza kukuona kama anavyomuona mke wake sasahivi.
Nimejitahidi kuandika kwa lugha yakawaida, ila nimejisikia kukutukana matusi yote