Trapped to a married man

Trapped to a married man

Nimeandika nikafuta, nikaandika nikafuta tena.. ngoja nikuache tuu.. nisije chuma dhambi buree.

~Eti lakini pia moyo wangu una hakii.. ~

Binadamu hajakomaa mpaka akili yake (being rational) itakapoizidi tamaa.. Wewe mtoa mada tamaa yako imezidi rationality ya akili yako.

Sawa Asante naelewa unachosema ila ujue sio rahisi ingekuwa rahisi nisinge kuja hapa
Nitachukua ushauri wako worry not
 
Karma is a "bit..." Vaa viatu vya mwenye Mmewe, waza japo it's True mbeleni nawe utapitia same pain, ukiona utamudu maumivu basi "aluta continua" Kumbuka ni kifo tuu Ndio kita watenganisha "Israel in action you"
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi
Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.
Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi,mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.
Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo
Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.
Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote.Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia
The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha
Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu.Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba,na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali,well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu
To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi
Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi ?Wanaume mlio oa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo
Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea
PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu

Kwanza kabisa, mimi ni mume wa mtu.

Kuna nukta sijaelewa, kama ukijibu swali hili, nitakupa ushauri mzuri sana. Huyo mdau ana maanisha anataka akuoe mke wa pili bila shaka au ?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Isijekuwa wewe ndio huyo mume wa mtu anayeongelea mleta uzi

Sio huyu nina uhakika
Maana msukuma wangu yupo hapa wala hayupo jf namchungulia
Ni wasukuma wawili tofauti sema wana story sawa[emoji28]
 
Waume za watu hawaaminiki aisee nakwambia from my experience,wewe mchune tu na hyo kufunga ndoa kisiri Ni garasha, be careful ukizaa tu atarudi kwa mumewe. Mume wa mtu wakudanga naye tu

Ni kweli nalichukua hilo kichwani nisije kujuta badae
 
Naked truth asijione yeye Ni mrembo jamaa anamdanganyia ndoa amzalishe kufidia aluvonpatia, wanaume waliooa hutoka nje kwa starehe na huoa Hadi ndoa fake.
Nisaidie kumwambia, mimi naona hanielewi kabisa
 
Kwanza kabisa, mimi ni mume wa mtu.

Kuna nukta sijaelewa, kama ukijibu swali hili, nitakupa ushauri mzuri sana. Huyo mdau ana maanisha abataka akuoe mke wa pili bila shaka au ?

Upo sahihi ulivyo elewa
 
Ni kweli nalichukua hilo kichwani nisije kujuta badae
Achana naye Tena anakudaganya mfunge ndoa kisiri pia kajua una mwanaume serious ndio anazidisha mapenzi, na usifanye vitu kwa majina yake wadada wengine wametapeliwa so be careful my friend, waume za watu wote wako hivo, hata wakimaliza tendo hujua, wanaume hufikiria tofauti na sisi so wewe wakutolea nyege tu.
 
Ndo huyo huyo bado na mkewe anapita humu
Ndoa ya kisiri hahahah

Halafu kuna jamaa single nae katangaza ndoa, bado mtu anakosa maamuzi kweli!!!???

Anadhani huyo mume wa mtu hayo mafanikio kazaliwa nayo, amehangaikia huku mkewe akiwa anamsaidia kumpikia, kumfulia, kumuandalia sehemu nzuri ya kulala, kumshauri pia.

Ni heri amtengeneze mumewe.

Hali nzuri ya kiuchumi ya mume wa mtu haihusiani na hali ya maisha yake na huyo mume wa mtu, pesa ni zake sio za wote.

Na waume za watu wanavuta tu mtu ili wampate, akishazaa hakuna rangi hataiona, atamzoea na hapo mwanaume atakumbuka jinsi alivyosota na mkewe na atarudi kutulia na mkewe

Kijana single anakuwa kashaoa.

Single mom anaongezeka mtaani.
 
Nisaidie kumwambia, mimi naona hanielewi kabisa
Hawajui wanaume vizuri hapo ukute mwanaume kashikwa na mchepuko mwingine kagombana na mkewe ndo kamkumbuka, na ukute kajua ana mwanaume serious kajirudisha, in short mwanaume mwenye mke ni wakula Raha basi hyo ya kujifanya nakupenda Ni uongo wao tu. Kwanza mwanamke kumpenda mwanaume ni kupoteza mda Hawa viumbe hawaridhiki
 
Achana naye Tena anakudaganya mfunge ndoa kisiri pia kajua una mwanaume serious ndio anazidisha mapenzi, na usifanye vitu kwa majina yake wadada wengine wametapeliwa so be careful my friend, waume za watu wote wako hivo, hata wakimaliza tendo hujua, wanaume hufikiria tofauti na sisi so wewe wakutolea nyege tu.
Una mpotosha mwenzako.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Sio huyu nina uhakika
Maana msukuma wangu yupo hapa wala hayupo jf namchungulia
Ni wasukuma wawili tofauti sema wana story sawa[emoji28]
Mh...Basi mama huyo msukuma "wenu" hamtakuwa wawili tu, mapenzi upofu , na unaonekana ushapofoka
 
Back
Top Bottom