Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,086
- 2,576
- Thread starter
-
- #61
Nimeandika nikafuta, nikaandika nikafuta tena.. ngoja nikuache tuu.. nisije chuma dhambi buree.
~Eti lakini pia moyo wangu una hakii.. ~
Binadamu hajakomaa mpaka akili yake (being rational) itakapoizidi tamaa.. Wewe mtoa mada tamaa yako imezidi rationality ya akili yako.
Labda bhana hahahahaha.[emoji23][emoji23][emoji23]
Isijekuwa wewe ndio huyo mume wa mtu anayeongelea mleta uzi
Mambo haya ni magumu hata kutoa ushauri
Ndo huyo huyo bado na mkewe anapita humu[emoji23][emoji23][emoji23]
Isijekuwa wewe ndio huyo mume wa mtu anayeongelea mleta uzi
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi
Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.
Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi,mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.
Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo
Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.
Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote.Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia
The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha
Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu.Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba,na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine
Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali,well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu
To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi
Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi ?Wanaume mlio oa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo
Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea
PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Isijekuwa wewe ndio huyo mume wa mtu anayeongelea mleta uzi
Waume za watu hawaaminiki aisee nakwambia from my experience,wewe mchune tu na hyo kufunga ndoa kisiri Ni garasha, be careful ukizaa tu atarudi kwa mumewe. Mume wa mtu wakudanga naye tu
Nisaidie kumwambia, mimi naona hanielewi kabisaNaked truth asijione yeye Ni mrembo jamaa anamdanganyia ndoa amzalishe kufidia aluvonpatia, wanaume waliooa hutoka nje kwa starehe na huoa Hadi ndoa fake.
Kwanza kabisa, mimi ni mume wa mtu.
Kuna nukta sijaelewa, kama ukijibu swali hili, nitakupa ushauri mzuri sana. Huyo mdau ana maanisha abataka akuoe mke wa pili bila shaka au ?
Achana naye Tena anakudaganya mfunge ndoa kisiri pia kajua una mwanaume serious ndio anazidisha mapenzi, na usifanye vitu kwa majina yake wadada wengine wametapeliwa so be careful my friend, waume za watu wote wako hivo, hata wakimaliza tendo hujua, wanaume hufikiria tofauti na sisi so wewe wakutolea nyege tu.Ni kweli nalichukua hilo kichwani nisije kujuta badae
JF watu huficha identity hafu ukute na mkewe Yumo humu.Sio huyu nina uhakika
Maana msukuma wangu yupo hapa wala hayupo jf namchungulia
Ni wasukuma wawili tofauti sema wana story sawa[emoji28]
Msalimie ngosha mwenzangu. Kumbe upo naye hapo pembeni. Ngosha kakamatika hahahahaha.Sio huyu nina uhakika
Maana msukuma wangu yupo hapa wala hayupo jf namchungulia
Ni wasukuma wawili tofauti sema wana story sawa[emoji28]
Kama hivyo ndivyo, bibie kubali kuolewa, sababu na wewe unakuwa mke halali ila unakuwa wa pili tu. Moja, na mbili zote ni namba tu ili kubainisha na kujua nani kaanza nani kafata.Upo sahihi ulivyo elewa
Ndoa ya kisiri hahahahNdo huyo huyo bado na mkewe anapita humu
Hawajui wanaume vizuri hapo ukute mwanaume kashikwa na mchepuko mwingine kagombana na mkewe ndo kamkumbuka, na ukute kajua ana mwanaume serious kajirudisha, in short mwanaume mwenye mke ni wakula Raha basi hyo ya kujifanya nakupenda Ni uongo wao tu. Kwanza mwanamke kumpenda mwanaume ni kupoteza mda Hawa viumbe hawaridhikiNisaidie kumwambia, mimi naona hanielewi kabisa
Una mpotosha mwenzako.Achana naye Tena anakudaganya mfunge ndoa kisiri pia kajua una mwanaume serious ndio anazidisha mapenzi, na usifanye vitu kwa majina yake wadada wengine wametapeliwa so be careful my friend, waume za watu wote wako hivo, hata wakimaliza tendo hujua, wanaume hufikiria tofauti na sisi so wewe wakutolea nyege tu.
Mh...Basi mama huyo msukuma "wenu" hamtakuwa wawili tu, mapenzi upofu , na unaonekana ushapofokaSio huyu nina uhakika
Maana msukuma wangu yupo hapa wala hayupo jf namchungulia
Ni wasukuma wawili tofauti sema wana story sawa[emoji28]
Jf watu huficha identity hafu ukute na mkewe Yumo humu.