Trapped to a married man

Trapped to a married man

Apart from how unhealthy your relationship is, it will also result into heart aches and pain in the end. That married man might end up abandoning his family in the name of this new relationship, if you are a Christian, the Bible says, "....na alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe"

Usiwe chanzo cha machozi ya huyo mwanamke mwenzio kisa wewe.

Ushauri wangu kwako, distant yourself from him ukiweza hama huo mji na vunja huo uhusiano, its not too late to do that.

Usilopenda kutendewa usimtendee mtu mwingine
 
"kufunga ndoa ya siri" .
Ukielewa hapo kwenye hayo maneno, nadhan utakua ushatatua tatizo.
Yangu ni hayo tyuuuuh
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi
Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.
Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi,mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.
Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo
Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.
Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote.Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia
The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha
Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu.Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba,na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali,well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu
To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi
Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi ?Wanaume mlio oa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo
Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea
PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Rubbish
 
Amen kama ni pepo linitoke kwakweli
Wewe mwenyeo unataka likutoke ilo pepo kwani?

Kama wewe ni muislam, na mume muislam basi mnaweza kuoana lakini ni wajibu wa mke mwenza kujua na mume awe na ratiba na kutimiza wajibu wake kwa wake zake. Akifanya kiyume basi amemkosea Allah.

Ama kama wewe ni mkristo na mume mkristo kama nntakuwa sijakosea basi uke wenza hauruhusiwi na itakuwa mnaenda kinyume na maandiko yenu ya dini. kwaio apo utakuwa na ilo pepo alokwambia jamaa apo juu, na ili likutoke ni wewe mwenyewe kutaka pepo litoke ama kuliachia likopotoe
 
Huwajui wanaume wewe!

1. Jiandae kuwa single mama
2. Hakuna mwanaume anaweza telekeza familia yake kizembe na hajawahi kuzaliwa kinachotokea in tamaa tu za muda, akishakuzalisha leta mrejsho.
3. Anakuona was maana kwasababu kule bi mkubwa yuko busy na majukumu ya watoto kwahiyo hafiki kwenye level za mapenzi kwa jamaa anazotaka. Ukishazaa utabaki mwenyewe kwasababu utakuwa busy na mtoto
 
Waume za watu hawaaminiki aisee nakwambia from my experience,wewe mchune tu na hyo kufunga ndoa kisiri Ni garasha, be careful ukizaa tu atarudi kwa mumewe. Mume wa mtu wakudanga naye tu
Sikuona, hadi nika kutag daaaah. But umepotea mnooh, had nakumis moaah
 
Sikuona, hadi nika kutag daaaah. But umepotea mnooh, had nakumis moaah
Sio mbaya umenikumbuka best angu, ukiniona sionekani ujue Ni ubusy tu wa kazi mda mwingine sioni hata mada ya kunivutia
 
My dear Niko hapa mda tu mbona mume wa mtu Ni wakuchuna tu na Raha kuweka commitment Ni kujiweka kitanzi shingoni,
Mie nimeshangaa "kufunga ndoa ya siri", bas nkaona kabisa hata huyo mwanaume anajua wazi kuwa wana dangiana tyuuuh.
Hakuna future yeyote ktk mahusiano ya mapenzi yao.
 
Mimi mwenyewe nina mke ila kuna mdada natoka naye nampenda kinyama. Nina mpango wa kumuoa na yeye kakubali. So haya mambo yanatokea na huwezi kuyazuia kwa akili yako labda Mungu tu ndio azuie.
Samahani wewe ni dini gani?
 
Uisilamu ni dini ambayo ipo very updated na asilimia 100% ya watu ktk maisha yao wanagusa ibada za kiislamu...
SINA MAANA KUISIFIA DINI YANGU LAA HASHA.

Ila hilo swala dada yngu ingekuwa inafuata dini ya kiislamu lingepata jawabu jepesi sana...coz ata hyo ndoa isingekuwa ya siri tena...

Wanaume wote tumeumbwa hvyo kupenda wanawake,watoto na mali...
Hakuna duniani mwanaume anae ridhika na mwanamke mmoja never,ndo mana tukapewa options ya wanne.

Ushauri wangu:-
Tatizo sio kukuoa mke wa pili Ila tatizo linakuja Kwenye uadilifu wa kuwahudumia wake wawili hasa baada ya kufunga ndoa...kaa ukijua maisha ya uchumba yanatofautiana Sana na maisha ya ndoa pia yanatofautia zaidi Sana na maisha baada ya kupata watoto.
Mwanamke unapokubali kuongezwa au kuongezewa mke mwenza embu angalia huyo mwanaume akili zake na misimamo yake ikiwemo na Imani yake.

Ndoa ya uke wenza inahitaji mwanaume mwenye akili,Imani na misimamo thabiti sio wa kuyumbisshwa au kupelekeshwa.

Nahitimisha kwa kusema huyu mwanaume si wakumuamini mchunguze vzur kabla hamjafunga hyo ndoa ya SIRI.
 
Back
Top Bottom