Trapped to a married man

Trapped to a married man

Cariha umalaya umekupofusha , na ww ni mkristo wa kuzaliwa ila majini ya kishetani ndio yalikutawala moyo wako na bora unyamaze kimya kuliko kuendelea kupotosha watu.

Mada zako zote unashadidia usingle mother , ubinafsi , kuchepuka , kudanga , kuwa huru , unasema wewe mkristo na unaongozwa na ndoa ya kikristo unalijua neno la Mungu wewe ?

Neno la Mungu linasema huna haki wala uhuru kwa mwili wako unapoolewa au kuoa , kwenye ndoa mke ni mume ndiye aliyeshika uhuru wako na mume ni mke ndiye aliyeshika uhuru wako , sasa nyie akina cariha kizazi kilichopotea kwa kukosa malezi na kuongozwa na tamaa zenu mmekuwa mstari wa mbele kupinga mpango wa Mungu aliounzisha kuhusu ndoa , mmejawa na mafundisho ya kishetani ni wepesi kutoa ushauri wa kishetani kama unavyomshauri binti huyu ambaye naye nafsi yake inaongozwa na tamaa kali inayozidi hata kweli na hofu ya Mungu .

Wanawake wote wanaofanikiwa kujenga ndoa ni wale wanaomtegemea Mungu kwa kufuata kweli ya neno la Mungu kwani mwanamke ( Hawa) ndiye aliyedanganywa na shetani na si mwanaume mpaka dhambi na mauti ikaingia ulimwenguni , wanawake wanaojitambua wanajua hilo na hupingana na shetani usiku na mchana na wengi wao ndio hao wenye ndoa imara , watoto wenye malezi bora na watoto wao huwa baraka katika jamii , akina cariha mkae mkijua hamtaweza kamwe kumshinda Mungu katika mipango yake, lakini Mungu atabaki kuwa Mungu wamwaminio wapo na nyie mnaomwamini shetani kwa mgongo wa ukristo wa kuzaliwa endeleenj na maisha yenu ya kipagani.

Hamjachelewa kumbukeni kumrudia Mungu kabla hamjaswaliwa , saidieni jamii sio kuipotosha .
[emoji23][emoji23][emoji23]kwahyo umalaya wangu unahusikaje na hii mada, Tena nimemshauri tu amchune huyo mwanaume akiweza amfilisi Ila asikubali naye ndoa asije akafia kwake.
Mimi msimamo wangu uko pale pale duniani tumekuja kula Raha na mema ya nchi hayo ya single mother mtu azae akitaka mwenyewe Mimi Nani wakumpangia.
 
we data embu jipe namba zako MUNGU HAPENDI WE KUKAA MPWEKE
 
wengi wanaishia pabaya .Nina ndugu yangu sjui walimloga kawa Kama chizi saivi yupo nyumbani na yule mwanaume akamkimbia karudi kwa mkewe saivi anaongea mwenyewe mara avue nguo mara Alie tu Yani ni vitu vya ajabu wamesha mzungusha Kila mahali [emoji28] naona alipigwa bab kubwaa .

Si mshauri mtoa mada .
Maskini jamani.
 
Wakati wengine wanatafuta waume wanaandika na matangazo wengine mko njia panda na ndoa 2
Ama kweli mwenye nacho ataongezewa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nimecheka had mbavu zinauma.
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi

Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,
kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi,mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote. Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu. Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba,na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali,well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
[emoji23][emoji23][emoji23] wadada bhan "Eti wote wawili unawapenda" hivi unawezaje kumpenda mume wa mtu tena amekwambia kabisa kuwa ameoa na ana familia alafu ww eti unasema umempenda, any way usikilize moyo kwa sababu unataka usikie kauli za kukufariji kwenye maamuzi yako but xometimes you have to think Critically maana huyo mume wa mtu akishakuzoea na kukuona wa kawaida ataongeza mwingine tena wa 3 na 4 n.k kwa hiyo mtakuwa tu wengi kwa hiyo usijali kuhusu hilo, na pia kumbuka mke wa huyo mwanaume huyo inabidi umwonee huruma kidogo maana ni mwanamke mwenzio [emoji846][emoji846][emoji846]
 
Wanaume wakiwa wanapata free papuchi wanaweza kukuhaidi hata bombadia ya Magufuli huku wakikusifia uongo na kweli na kumkandia mama mjengo
Yaaan mie huu uzi ndo najua mitazamo ya watu mbalimbali hasa wanaume, ubinafsi na u mimi umewajaa hao lol.
 
Siamini kwenye limbwata mkuu. Ninachoamini kuna wanawake wengine watamu sana na pia ni warembo. Ukikuta mtoto mrembo halafu ni mtamu pia sio mchoyo kukupatia basi hilo ndio limbwata unalolisema.
True... Very true
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kwahyo umalaya wangu unahusikaje na hii mada, Tena nimemshauri tu amchune huyo mwanaume akiweza amfilisi Ila asikubali naye ndoa asije akafia kwake.
Mimi msimamo wangu uko pale pale duniani tumekuja kula Raha na mema ya nchi hayo ya single mother mtu azae akitaka mwenyewe Mimi Nani wakumpangia.
Dea Leo naona unampa kiupole, hebu mfokee bhana apate kuelewa, hilo povu lake apeleke huko. Khaaaaah [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Asie nacho atanyang'anywa kabisa[emoji23][emoji23][emoji23] Maisha hayako Fair
awagawie wahitaji
Ndo hapo yee anabania fursa wakati watu wanao hitaji wapo.
Aache uchoyo awagawie na wenzie, hizo baraka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mtu wangu ana kazi nzuri tu lakini hajamfikia jamaa
Am not materialistic to be honest hii sio issue kubwa
Bado shida ni kwamba nawapenda watu wawili kwa wakati mmoja
Tengua hiyo kauli ya kupenda watu wawili kwa wakati m'moja, sababu hakuna kitu kama hicho. Na ukiona huo ndio mtazamo wako then u are not matured enough kuwa hata mpenzi wa mtu. Unachofanya sasa hivi ni kugawa kama biscuit
 
Dea Leo naona unampa kiupole, hebu mfokee bhana apate kuelewa, hilo povu lake apeleke huko. Khaaaaah [emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23] namhurumia tu bi shost atatapeliwa hebu awe ana msoma idd makengo apate case study za wenzake
 
Yaaan mie huu uzi ndo najua mitazamo ya watu mbalimbali hasa wanaume, ubinafsi na u mimi umewajaa hao lol.
Eti wao kujiridhisha sawa Ila wanawake hapana, wao wameumbiwa wanawake wengi loh, only in Africa
 
Who are we to judge you when we have done worse. But jiulize, for how long will you continue to be a secret? Would you wish your kids to be hidden?

Did your Mama raise you to be a second best forgone opportunity?

Forget about the bond you have with that married man. Turn a blind eye to his riches and properties.

Run!

You will look back in a couple of years to come and you will be proud of yourself.
 
Sawa Asante kwa Ushauri wako nitauweka katika maamuzi yangu
Wewe unaonekana unataka unachokifanya. It means intentionally unataka kuendelea kuwa na huyo mume wa mtu. So to be on the clear go ahead and be married to him.

Kuna msemo nautumia, "when an ignorant person comes for an advise, give him wisdom because they need it, but when a fool comes for an advise, give him/her a fool's advise because they want it"!
 
Back
Top Bottom