Trapped to a married man

Trapped to a married man

Wewe bana sikiliza..!

Kwanza, wengi wanaojidai kukushangaa hapa hasa wanawake, wao wenyewe wanatembea na waume za watu!!

Pili kama ulivyosema wewe, maisha ni mafupi haya, wanaosema ooh vumilia sijui usiipe nafasi furaha ya muda mfupi... wee usiwasikilize hao wana stress zao. Bora furaha ya muda mfupi kuliko kukosa kabisa furaha. Hakuna zawadi utakayopewa kwa kuishi maisha ya tabu. Maisha ni hayahaya usipoenjoy sasahivi ndio basi tena.

Ushauri: We chakufanya, olewa na hako kakijana kanakokupenda ila usiachane na yule mume wa mtu. Badala ya kufunga ndoa kisirisiri ambapo itakulazimu kuachana na yule kijana, wewe olewa na kijana huku ukiendelea kumfaidi mume wa mtu. Nina uhakika mume wa mtu hatakua na pingamizi katika hilo. Hii itakua ni win win situesheni.
Una uhakika wanatembea na waume za watu???
 
Mimi ni mwanaume ninae ongea kwamaana tunajijua... mwanaume kamili shababi haridhiki na mwanamke mmoja....
nikweli mwanaume anaweza akawa anawake ata mia moja na bado haridhiki kutokana na matamanio yetu tuliyoumbiwa.

ndomana nikasema kuoa mwanamke zaidi ya mmoja hii jambo linapendeza kufanywa na mwanaume mwnye akili,msimamo na Imani thabiti.....na kuoa wake wengi sio kazi Ila kazi ipo kwenye kuwatendea haki sawaa..

Ukiona mwanaume kaoa mwanamke mmoja afu katulia hachepuki huyo mwanaume huenda anamatatizo either kiafya au kiuchumi.... over
Maneno ya kuambiwa na wewe ujichunguze sio kuingizwa kundi moja na watu usiorelate nao.

Sio kweli kuwa wanaume wote wanatamaa na wanawake na kutaka kuwa na multiple partners katika wakati m'moja.

Wapo wanaume ambao kudeal na mwanamke zaidi ya m'moja kwao ni kero. Yeye anataka utulivu, ajue tu ana mke, wanaelewana basi.... Hataki kelele zingine.

Muda mwingine kideal na wanawake wengi ni frustration especially at maturity age. Sasa unadhani mwanaume wa umri wa kuanzia miaka 35 anahangaika na wanawake wengi anapata nao wapi huo muda badala ya kudeal na mwanamke m'moja afanye nae maisha?!

Huo muda wa kuwa demanded na watu tofauti anaanza utoa wapi?!
 
Waume za watu sio wakuamini Yani hapo anafata tu papuchi mkewe Yuko busy na ulezi, ka msaliti aliyemzalia yeye Ni Nani jomoni anafikiri papuchi yake tu ndio inajua kufinyia eeeh, awe makini asije kuwa single mother
Hahaaa..papuchi kufinyia....loh
 
Huo ndo ukweli....aje apa mwanaume yoyote apinge huu ukweli.

Sasa wewe jifariji tuuh...
Nimeshafika..... Huo unaosema sio ukweli.....

Mimi hapa ni a living example. Kama haujui njoo nikufunze...... Mwanaume kuwa na tamaa ya wanawake wengi ni swala la kusikiliza na kufuata mihemko na tamaa za kibinadamu......

Unaweza kuridhika na mwanamke wako, na kipindi akianza kukukifu kuna vitu ukafanya nae mvuto ukarudi sawa.

Na nikwambie tu jambo, vinavyo kuvutia ukiwa katika teenage years, ni tofauti na 20's age na 30's kuendelea....

As una age na kumature and so will the perception yako juu ya mahusiano, wanawake na mapenzi kwa ujumla.

So usifikirie akili hizi za kubalehe utazitumia kukiwa unaingia utu uzima na majukumu ya familia.....
 
Yana over 18 upo chuo unatembea na mme wa mtu unasema cozi ulikuwa mdogo hujielewi? Endelea kutokujielewa
 
Najaribu vaa uhusika wa mshkaji aliye single muda anaowekeza,vipesa anavyokupa na mengine mengi anayokufanyia "why don't you tell him the truth" ya kwamba haumpendi na una mtu mwingine ili mwamba asonge mbele na mishe zake, aisee mapenzi yanauma sana ukikutana na mtu mwenye ndimi mbili.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kila binadamu hutamani vitu tofauti tofauti na binadamu haridhiki na kitu kimoja hata wewe mkeo humridhishi Ila kspiga kimya tu, kutulia huwa Ni matter ya maamuzi na self control hyo ya kusema hamuridhiki Ni Mila potofu tu za zamani za wanaume kujipendelea, hata nyie wanaume huwa hamturidhishi Ila tunaacha kuhangaika. So inshort hata wanawake tunapenda vitu tofauti, pia binadamu kuridhika ngumu
We nae acha siasa zako za Beijing, aliyekwambia wanawake wanaridhika ni nani?!

Wewe hapa umetazama maswala ya kitandani tu kama mzani wa kupima uvumilivu wa mwanaume na mwanamke, kwasababu aidha kwa kujua au bila kujua unasahau kuwa mgegedo ndio hitaji muhimu sana la mwanaume kwa mwanamke mwanamke yeye huwa anahitaji but kwa kipindi kifupi na ni nadra sana.

Ila ninyi pia mna maeneo yenu ya usumbufu ambayo sisi wanaume hatuonagi muhimu wake wala sababu ya ninyi kuhangaika nayo....

Na ni vitu vidogo vidogo ila vingi kweli kweli kiasi kwamba ukivijumlisha mtu m'moja hawezi kumpatia mwanaume ndio maana wanafika hatua wanakwenda tafuta utulivu nje.

So unapoongelea wanawake na wanaume jihakikishe kwanza kuwa una ufahamu wa kutosha juu ya tofauti za kimahitaji kwa mwanaume na mwanamke ndani ya uhusiano.
 
Speaking the honestly
Wew Dada unajidanganya unavo sema unawapenda wote wawili

Huyu Jamaa ambae yupo single humpendi, nakuomba muache na maisha yke akatafute wa kufanana nae

Life is too short Kama umeridhia kua na Mume wa mtu na moyo umekusuma nenda ( chochote kitakacho tokea ni your choice)

Ila single boy wa watu muache

Unaitaji ku enjoy maisha na kutafuta a truly love
True... Anawabania tu wadada wa watu wanaosugua goti kanisani huko....
 
Kama anaweza kuacha mke wake akuoe wewe hivyo hivyo hata wewe utakuja kuachwa utashuhudia kama mwenzio atakavyo shuhudia sasahivi.

May be tuseme amewahi kuoa mtu asie mpenda lakini unadhani wewe unapendwa hutoachwa ?

Nimemaliza.
 
Ndoa kweli is overrated,
Sasa kama mlioko kwenye ndoa mnadanga this much hadi mnashindwa kujinasua why should I get married na kuwa locked na hiyo so called ndoa ilihali nataka tena nje?

Ifikie point kama umeoa/kuolewa baki huko huko hizi mambo za kujifanya mnatoka nje ya hizo ndoa ndio yanaleta hiki kigugumizi.

Kama umependa mume wa mtu endelea kudanga nae tu ila one day kitanuka especially jahazi likianza kuzama upande wa pili. Battle lake litakua sio dogo kama unavyofikiria. Jiandae kung’oleawa kucha, kulogwa nk.

Kama unataka ndoa just go to that single boy na uanze familia.

I am pretty sure hata ukishirikisha familia yako kuhusu hili watakuona fala na hawatakua na wewe katika kuolewa kisiri na mume wa mtu unless imani zenu ziwe zinaruhusu.

BTW Pesa na ukuni ni hatari kwa ubongo wa wadada na ukivipata sehemu moja lazima uchanganyikiwe kama bibie huyu. Imagine hajui la kufanya kwa issue kama hii.
 
Nimesoma ushauri wako
Kuna mengi umeyaandika ni kweli I have to consider them
Najua hii mada inapelekwa in a very emotional way na wanawake wengi I understand na mnisamehe Kama nawakwaza
Kuna vingi sijavielezea hapa
Kwanza mimi sijamroga huyu mwanaume wala kutumia dawa yoyote atleast hapo am not guilty
Nimetambulishwa kwa ndugu zake,mama mkwe na mawifi,marafiki
Usiri ninao usemea hapa ni mke asijue maana hana kosa she doesn’t deserve kuumia kwasababu ya maamuzi yetu ila in future lazima atakuja kujua
All in all kuna vitu umeongea ni point sana
Bado sijafanya maamuzi I can still change my situation before it becomes complicated
Mwanakulifind mwanakuliget.... Ipo siku utalewa urefu wa shimo unalong'ang'ania kuingia....
 
Binti Maya Angelou humu wengi walichokushauri usiolewe na mume wa mtu wapo sahihi , maisha ya uke wenza utaishia kulogwa na kujitafutia laana na mikosi isiyo ya lazima kutoka kwa mke wake na watoto ambao watakosa huduma
bora kutoka kwa baba yao ingawa unajifanya umejiandaa kukabaliana na hali ya uke wenza na ndio upagani wenyewe huu tunaosema .Huyo kijana single humpendi kwa kuwa unamuona hataweza kufulfil your desired future life ukilinganisha na huyo married man ambaye kachuma na mkewe ndio maana unamuona kanawiri na mzoefu katika kuchepuka tofauti na huyo single , kwa kuwa mlishaanza mapenzi naye ukiwa binti mdogo yawezekana ndiye alifungua mlango , omba sana kwa kufunga na kumaanisha Mungu akuondolee kifungo cha kumkumbuka huyo mwanaume mme wa mtu kwani usipofanya hivyo hata ukija kuolewa na kijana single utajikuta kila akikuita for s.. unamfuata kama mbwa anavyofuta kuliwa na chatu .Usikubali mafundisho ya kura raha na wanaume za watu , kuchuna wanaume za watu hata maisha ya kudanga , hayo waachie wenyewe wanawake wengi walioamua mfumo huo wa maisha na angalia sana saloon unazokwenda na epuka marafiki wote wenye tabia hizo , nakutakia utulivu na upate wako mtayejenga maisha yenu uje kuwa na ndoa bora sio bora ndoa au bora kuzaa tu.
True... Umemshauri vizuri sana. Ulichokisema ndicho anatakiwa fanya. Watoto wakike wanakuwa wazuri sana kushauriana upuuzi halafu mwenzao anapokwama hawapo tena kumsaidia wanabakia pembeni wakimng'ong'a na kumcheka huku wakilaumu mwanaume kuwa ndie msababishaji wa matatizo.
 
Nimeshafika..... Huo unaosema sio ukweli.....

Mimi hapa ni a living example. Kama haujui njoo nikufunze...... Mwanaume kuwa na tamaa ya wanawake wengi ni swala la kusikiliza na kufuata mihemko na tamaa za kibinadamu......

Unaweza kuridhika na mwanamke wako, na kipindi akianza kukukifu kuna vitu ukafanya nae mvuto ukarudi sawa.

Na nikwambie tu jambo, vinavyo kuvutia ukiwa katika teenage years, ni tofauti na 20's age na 30's kuendelea....

As una age na kumature and so will the perception yako juu ya mahusiano, wanawake na mapenzi kwa ujumla.

So usifikirie akili hizi za kubalehe utazitumia kukiwa unaingia utu uzima na majukumu ya familia.....
Hahaha ahsante sana mwanamume wewe.
Mimi hapa nimeshafika mbona haunioni.... Au hadi nikulambe kofi ndio ujue nimefika.
 
Jamani wewe kaka
Maneno ya kuambiwa na wewe ujichunguze sio kuingizwa kundi moja na watu usiorelate nao.

Sio kweli kuwa wanaume wote wanatamaa na wanawake na kutaka kuwa na multiple partners katika wakati m'moja.

Wapo wanaume ambao kudeal na mwanamke zaidi ya m'moja kwao ni kero. Yeye anataka utulivu, ajue tu ana mke, wanaelewana basi.... Hataki kelele zingine.

Muda mwingine kideal na wanawake wengi ni frustration especially at maturity age. Sasa unadhani mwanaume wa umri wa kuanzia miaka 35 anahangaika na wanawake wengi anapata nao wapi huo muda badala ya kudeal na mwanamke m'moja afanye nae maisha?!

Huo muda wa kuwa demanded na watu tofauti anaanza utoa wapi?!
 
Back
Top Bottom