Trapped to a married man

Trapped to a married man

Kama Dini zenu zinaruhusu olewa tu na huyo mme wa mtu maana inaonekana huko utapata amani ya moyo na upendo. Usiogope ndoa ya mitala kikubwa ni upate upendo na amani.
 
Wewe cariha tusi la kumuita mume wako kama umeolewa au mzazi mwenzio kama umezaa nae tu mpumbavu chanzo chake ni nini na huyo mtoto wa kiume unayejimwambafai nae sperm zimetoka kwa baba mpumbavu duuh hii kali so kidume ni mwana mpumbavu uhoni tayari umeshamdesign your beleved son mpumbavu tayari huyo ataweza kuwa na positive attitude kweli wakati mama mtu una negative attitude kuhusu baba yake , Unajidanganya na unaota ndoto za mchana . Hapo juu ulisema katika family yako hakuna domestic abuse na hiyo ya kumuita mume wako mpumbavu na hana mamlaka ya kulea mtoto aliye kudonate sperm akazaliwa huyo son ni nini na umeleta GBV ( gender base violence) katika family yako mwenyewe kwa kumtenga mzazi mwenzio au mlikubaliana hivyo , umpanulie mapaja akukojolee then asepe zake wewe ubaki na sperm zake yeye atambae zake asikujue tena .

Umekosea kuzaa na mwanaume wewe ungeenda hospital ukapandikizwa mbegu hapo ungekuwa salama , lakini uzae na mwanaume halafu umwiite mpumbavu hana mamlaka ya kulea mwanenu unageuza mwanao , hutabaki salama unayejiona gumegume uliyeshindikana , unavimbishwa kichwa na hao akina cocastic mtaishia kusagana maana wote yaonyesha mna hasira kali kwa ME na nyie ndio wale mnafanya mazoezi ya kupindua meza kung’oa nafasi ya Baba kichwa cha familia mnajisikia vibaya inaposemwa baba ni kiongozi wa familia mnataka ijulikane mama ndiye kiongozi wa familia baba ni sperm donnor tu , endeleenj kupambana na Mungu , Mungu ninayemjua mimi hadhihakiwi kama wewe cariha unabisha na kama humjui Mungu maana Mungu wako wewe ana anaanzia na herufi ndogo ‘ mungu’ huyo ni lusifa sio Mungu YEHOVA ABA YEHOVA NISI YEHOVA SHAMAH , Mungu huona yote yaliomi mioyoni mwa wanadamu , huona hila zote , na hila kama hizo cariha utaweza fanikiwa tu kuwafanyia fujo wanaume lakini kwa Mungu ashushae vipigo kama alivyoshusha corona maana sodoma
Na gomora ilivyochomwa mtasema mlikuwepoo sasa hivi corona Dunia nzima imejua na wewe cariha umeshudia kwa barakoa ni hasira ya Mungu kwa kuadhibu wanadamu wenye uovu wa kila namna kinyume na maagizo yake nakuachia upambane na Mungu aliyeumba hao wanaume na akawapa mamlaka ya kuwatawala nyie wanawake lakini mmeamua kuwa wafuasi wa shetani kwa kujua au bila kujua walianza wazungu , tunaona wanavyokupita na corona na wameshafanikiwa kuvunja taasisi ya ndoa sasa wameamia Africa , mmeshapokea na dollar zao na mmeamua kujilipua , jilipueni pia lakini navyowajua waafrika na ninavyowajua watanzania hamtafanikiwa mtafanikiwa kupata pesa zao lakini hamtaweza kuiharibu jamii ya kitanzania na omba serikali hii ya awamu ya tano isiwashtukie mtaaibika.
Kuwa baba haimaanishi kuwa unakuwa free upumbavu mbona kwenye jamii wapumbavu wengi wametelekeza watoto wao humu hawajui wanaishije na Mimi nibaki kushindana na mpumbavu wa hivo na kumuendekeza zaidi nsmtupia kwenye Dustin akafie mbele huko, na sioni unachotetea hao wanaume wenzako irresponsible kulea na kufanya kuwa na ongezeko la watoto mtaani unataka wabembelezwe tu na utopolo wao sio?
Na mtoto wangu never siwezi mwacha awe na attitude za kishamba za kutokujiamimi Kama jamii ilivo ya watanzania wengi kuwa wanafiki na kujifanya wema kumbe sio, I want my kid kuwa wazi, Jambo likiwa black, site l black sio huu unafiki nafiki wa kujifanya malaika kumbe sio.
Pia Mimi naandika ninachokiamini Mimi so cocastic Ni my normal friend na ha influence chochote niandikacho.
[emoji23][emoji23]Hapo kusagana Ni choice ya mtu na Mimi kwanini niingilie starehe za watu who am I to judge others while I'm not a Jesus Christ, I'm not perfect hata nikifanya lolote Ni starehe yako, vile wewe hufanyi hyo kukoboana hakukufamyi wewe malaika, vile una sin differently, si unaona wewe kazi yako kuhukumu na kujiona malaika kumbe mkosefu tu ka wengine.
Then huyo Mungu mnayemsingizia kuhusu kuhalalisha uonevu wenu mlishamuona au Ni akili zenu fupi zimeshindwa kuelewa zana nzima ya Uungu!?. Yani Mungu akae kabisa kuandika vitu vya kijinga vya uonevu wenu, sijui kutawala Mara kile sijui Nini?
Halafu kila Jambo why mnasingizia wazungu huku Africa watu wanajaa makanisani na misikitini lakini waovu na wanafiki na wasio na utu Wala kuheshimu haki za binadamu na roho mbaya Ni wengi yet daily kusali huko ka sikujidaganya Nini?
 
Wewe cariha tusi la kumuita mume wako kama umeolewa au mzazi mwenzio kama umezaa nae tu mpumbavu chanzo chake ni nini na huyo mtoto wa kiume unayejimwambafai nae sperm zimetoka kwa baba mpumbavu duuh hii kali so kidume ni mwana mpumbavu uhoni tayari umeshamdesign your beleved son mpumbavu tayari huyo ataweza kuwa na positive attitude kweli wakati mama mtu una negative attitude kuhusu baba yake , Unajidanganya na unaota ndoto za mchana . Hapo juu ulisema katika family yako hakuna domestic abuse na hiyo ya kumuita mume wako mpumbavu na hana mamlaka ya kulea mtoto aliye kudonate sperm akazaliwa huyo son ni nini na umeleta GBV ( gender base violence) katika family yako mwenyewe kwa kumtenga mzazi mwenzio au mlikubaliana hivyo , umpanulie mapaja akukojolee then asepe zake wewe ubaki na sperm zake yeye atambae zake asikujue tena .

Umekosea kuzaa na mwanaume wewe ungeenda hospital ukapandikizwa mbegu hapo ungekuwa salama , lakini uzae na mwanaume halafu umwiite mpumbavu hana mamlaka ya kulea mwanenu unageuza mwanao , hutabaki salama unayejiona gumegume uliyeshindikana , unavimbishwa kichwa na hao akina cocastic mtaishia kusagana maana wote yaonyesha mna hasira kali kwa ME na nyie ndio wale mnafanya mazoezi ya kupindua meza kung’oa nafasi ya Baba kichwa cha familia mnajisikia vibaya inaposemwa baba ni kiongozi wa familia mnataka ijulikane mama ndiye kiongozi wa familia baba ni sperm donnor tu , endeleenj kupambana na Mungu , Mungu ninayemjua mimi hadhihakiwi kama wewe cariha unabisha na kama humjui Mungu maana Mungu wako wewe ana anaanzia na herufi ndogo ‘ mungu’ huyo ni lusifa sio Mungu YEHOVA ABA YEHOVA NISI YEHOVA SHAMAH , Mungu huona yote yaliomi mioyoni mwa wanadamu , huona hila zote , na hila kama hizo cariha utaweza fanikiwa tu kuwafanyia fujo wanaume lakini kwa Mungu ashushae vipigo kama alivyoshusha corona maana sodoma
Na gomora ilivyochomwa mtasema mlikuwepoo sasa hivi corona Dunia nzima imejua na wewe cariha umeshudia kwa barakoa ni hasira ya Mungu kwa kuadhibu wanadamu wenye uovu wa kila namna kinyume na maagizo yake nakuachia upambane na Mungu aliyeumba hao wanaume na akawapa mamlaka ya kuwatawala nyie wanawake lakini mmeamua kuwa wafuasi wa shetani kwa kujua au bila kujua walianza wazungu , tunaona wanavyokupita na corona na wameshafanikiwa kuvunja taasisi ya ndoa sasa wameamia Africa , mmeshapokea na dollar zao na mmeamua kujilipua , jilipueni pia lakini navyowajua waafrika na ninavyowajua watanzania hamtafanikiwa mtafanikiwa kupata pesa zao lakini hamtaweza kuiharibu jamii ya kitanzania na omba serikali hii ya awamu ya tano isiwashtukie mtaaibika.
Mmmmh!
Jembe naona umeamua kutema nyongo, ila hawa wanawake ni wetu waache waongee tu ndio asili yao, sababu wanawake kwa kuongea tu hutawaweza sisi wanaume tuwapende, tuwahudumie, tuwalinde na tuwatunze kwani hawaishi lawama hiyo ndio nature yao sio mzungu sio muafrica sio mchina wanafanana kabisa mienendo, yapaswa tuishi nao kwa akili istoshe ni watu ambao Mungu alitupa kuwaongoza.
maneno jadi yao ukitilia maanani kila neno litokalo kwa mwanamke utakufa mapema broh....
 
Kwenye maisha kuna mambo mengi ambayo kwayo huwa tunajikuta tunakwama kujinasua pengine kwa kupuuzia ishara na viashiria tulivyoona mwanzoni na njiani au pengine kwa kujipuuza mwenyewe au pengine kwa kuupuzia wengine.

Pole kwa dilema uliopo, lazima uzingatie ukweli kwamba kama mtu yupo tayari kuitelekeza familia yake na mke wake wa ndoa kwa ajili yako, tegemea makubwa zaidi kwako muda sio mrefu. Huwezi kuwa na kinga na dawa ya kutibu usaliti alionao tayari.

Kilio cha mkewe na watoto wake haviwezi kukuacha salama. Kumbuka namna mtu anavyoacha mahusiano ya kwanza kwenda yapili ndio inayoamua hatima ya mahusiano ya pili.

For your age, i wont advise kujipeleka kwenye hilo janga. Kwa upofu wa mapenzi hutaona kwa sasa ila soon utagundua historia haisemi uwongo.

Experience is the best teacher ila tamani isiwe ni experience yako mwenyewe.
 
Mmmmh!
Jembe naona umeamua kutema nyongo, ila hawa wanawake ni wetu waache waongee tu ndio asili yao, sababu wanawake kwa kuongea tu hutawaweza sisi wanaume tuwapende, tuwahudumie, tuwalinde na tuwatunze kwani hawaishi lawama hiyo ndio nature yao sio mzungu sio muafrica sio mchina wanafanana kabisa mienendo, yapaswa tuishi nao kwa akili istoshe ni watu ambao Mungu alitupa kuwaongoza.
maneno jadi yao ukitilia maanani kila neno litokalo kwa mwanamke utakufa mapema broh....

Ashukuriwe Mola aliyepanga sisi wanaume tuwaongoze wanawake na asante kwa kunikumbusha maana Mungu amemtengenezea mwanaume mazingira mengi ya kumsaidia kuwa na uwezo kumuongoza mwanamke .
 
I understand your feelings lakini umejiuliza utaambia nini watoto wako baadae about that? what will you teach them about integrity? How about karma?
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi

Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,
kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi, mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote. Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu. Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine.

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali, well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Update
Japo nashambuliwa lakini nawashukuru mnaniongezea nguvu ya kufanya maamuzi although yanauma.Nyie nipeni ukweli tu ukweli ni dawa itakayo niponya
So far naona kuna dalili ya kumtumia huyu mume wa mtu since anataka mwenyewe why not,hii sio final ila kutokana na ushauri ninaona nipite namna hio
duuu!!, kwanza pole sana kwa kua katikati ya vitu viwili vigumu vya kuamua, na pili hongera kwa kuomba ushauri maana yawezekana ukapata mwanga wa magumu unayopitia.
nianze kwa kusema hivi, familia ndo msingi mkubwa wa kila jamii hapa duniani na ukiharibu familia ndo umeharibu jamii nzima, hii inamaanisha nini wewe kama mwanamke unatakiwa uwe mwangalifu kwenye swala zima la kuchagua mume maana maamuzi yako leo ndo maisha yako kesho, kumbuka wazungu wanasema 'whats goes arround comes arround' , kama leo hii huyo mwanaume ana mke na bado anaweza diriki taka funga ndoa nawe, ujue inaweza tokea akapata mwingine tena ambae watashibana zaidi,kwahyo siyo mwanamme sahii kwako kwanza
1.si mwaminifu kabisa,
2.hana uwezo wa kuthibiti hisia zake za mwtamanio ya mwili.
kuna vitu ambavyo hua vinatokea kwenye maisha hususani ukiwa umeoa au umeolewa na ni vizuri ukawa mwangalifu moja ya hvo ni kwamba mtu atakutana na watu bora za attractive zaidi yake baada ya kuolewa/kuoa so hapo ndo kipimo cha uaminifu wake kwenye kiapo cha ndoa.
na kumbuka mtu ataoa/kuolewa kwa sababu zifuatazo ili aishi maisha matamu na yenye upendo na furaha.
Ten healthy reasons for marriage:
• God’s will
• Expressing God’s love to the other person
• Expressing personal love for the other person
• To fulfill sexual needs and desires in a godly way
• The desire to begin a family
• Companionship
• To share all things together with the other person
• To work together to fulfill each other’s needs
• To maximize each person’s potential
• Enhancement of spiritual growth
 
Inawezekana ndio au hapana nimeshindwa kuifafanua situation hii vizuri
Lakini naomba tu nikwambie nipo wakati mgumu
Umeshawahi kupenda watu wawili kwa wakati mmoja?
Heri yako wewe. Mimi nawapenda wadada kumi na mbili. Nawataka wote wawe nyumba ndogo.
 
Kuwa baba haimaanishi kuwa unakuwa free upumbavu mbona kwenye jamii wapumbavu wengi wametelekeza watoto wao humu hawajui wanaishije na Mimi nibaki kushindana na mpumbavu wa hivo na kumuendekeza zaidi nsmtupia kwenye Dustin akafie mbele huko, na sioni unachotetea hao wanaume wenzako irresponsible kulea na kufanya kuwa na ongezeko la watoto mtaani unataka wabembelezwe tu na utopolo wao sio?
Na mtoto wangu never siwezi mwacha awe na attitude za kishamba za kutokujiamimi Kama jamii ilivo ya watanzania wengi kuwa wanafiki na kujifanya wema kumbe sio, I want my kid kuwa wazi, Jambo likiwa black, site l black sio huu unafiki nafiki wa kujifanya malaika kumbe sio.
Pia Mimi naandika ninachokiamini Mimi so cocastic Ni my normal friend na ha influence chochote niandikacho.
[emoji23][emoji23]Hapo kusagana Ni choice ya mtu na Mimi kwanini niingilie starehe za watu who am I to judge others while I'm not a Jesus Christ, I'm not perfect hata nikifanya lolote Ni starehe yako, vile wewe hufanyi hyo kukoboana hakukufamyi wewe malaika, vile una sin differently, si unaona wewe kazi yako kuhukumu na kujiona malaika kumbe mkosefu tu ka wengine.
Then huyo Mungu mnayemsingizia kuhusu kuhalalisha uonevu wenu mlishamuona au Ni akili zenu fupi zimeshindwa kuelewa zana nzima ya Uungu!?. Yani Mungu akae kabisa kuandika vitu vya kijinga vya uonevu wenu, sijui kutawala Mara kile sijui Nini?
Halafu kila Jambo why mnasingizia wazungu huku Africa watu wanajaa makanisani na misikitini lakini waovu na wanafiki na wasio na utu Wala kuheshimu haki za binadamu na roho mbaya Ni wengi yet daily kusali huko ka sikujidaganya Nini?

Usijali cariha nitakufurahisha zaidi tu na wewe wajua 🥂[emoji304] na pia naungana na wewe kulaani wanaume wenzangu wote wanaotelekeza watoto wao , kuna haja kwa wazazi wa sasa kuandaa watoto watakao weza kuja kuwa na
elimu bora , maisha bora , ndoa bora na malezi bora kwa watoto wao na katika kutekelekeza hili lazima pamoja na yote kumtanguliza Mungu maana kizazi cha sasa kinapitia changamoto za mmomonyoko mkubwa sana wa maadili.
 
Maya Angelou
Iko hivi.......
Sio wote walioingia kwenye ndoa walipendana na kuamini ni Muumba aliwakutanisha
Sikulaumu (ingawa si vyema kuwa na mume was mtu) kama upo trapped kwa huyu mume wa mtu inawezekana mnapendana kihalisia....maybe you have things in common or it was meant to be your hubby

Malengo na nia ya kuoa na kuolewa inategemea mtu na mtu
Wengi wanaoa kwa muonekano wa nje wa mtu wengine ni material huwasukuma kutamani ndoa
Wengine wanaingia kwenye kutafuta umaarufu kufurahisha wapendwa
Ni wachache sana walio kwenye NDOA za kweli wengi wanasindikiza

Muulize Mungu ni nani katika hawa wawili ni chaguo la moyo wako
Ndoa ni Upendo Huruma Furaha na Amani
Jitahidi sana usimuumize Mwanamke Mwenzako
Nakuombea Heri Mungu akuongoze
 
Katika hili wewe sio wa kwanza wala hautakuwa wa mwisho.
Nikusifu kwa uthubutu wako wa kuja kulieleza hili hapa.
Wengi tunapitia nyakati ngumu za kufanya maamuzi kila siku.
Zingatia kitakachokupa furaha.
 
Maya Angelou
Iko hivi.......
Sio wote walioingia kwenye ndoa walipendana na kuamini ni Muumba aliwakutanisha
Sikulaumu (ingawa si vyema kuwa na mume was mtu) kama upo trapped kwa huyu mume wa mtu inawezekana mnapendana kihalisia....maybe you have things in common or it was meant to be your hubby

Malengo na nia ya kuoa na kuolewa inategemea mtu na mtu
Wengi wanaoa kwa muonekano wa nje wa mtu wengine ni material huwasukuma kutamani ndoa
Wengine wanaingia kwenye kutafuta umaarufu kufurahisha wapendwa
Ni wachache sana walio kwenye NDOA za kweli wengi wanasindikiza

Muulize Mungu ni nani katika hawa wawili ni chaguo la moyo wako
Ndoa ni Upendo Huruma Furaha na Amani
Jitahidi sana usimuumize Mwanamke Mwenzako
Nakuombea Heri Mungu akuongoze

Asante sana dear
Ubarikiwe kwa mchango wako[emoji8]
 
Katika hili wewe sio wa kwanza wala hautakuwa wa mwisho.
Nikusifu kwa uthubutu wako wa kuja kulieleza hili hapa.
Wengi tunapitia nyakati ngumu za kufanya maamuzi kila siku.
Zingatia kitakachokupa furaha.

Asante
Nina nafasi moja tu ya kufanya maamuzi
Nachukua muda kabla sijafika mwisho wa chaguo langu
 
Back
Top Bottom